Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Let's focus on suturday match

️ Arteta: “Emile Smith-Rowe will be out for weeks due to knee injury”.

“I’m responsible for the result tonight, I’m very disappointed”.
 
Hehehe tumefungwa carabao hadi shabiki wa nyukesto kaja.

Juzi tunamuita anapita kimya kimya
 
Wadau mnalalamika jaman

Sheffield, Burney, na type ya timu hizo kwa Arsenal hii sio timu za kutusumbua ,Sisi sio Manjesta iliyopakishwa Basi na Sheffield , Burney


Rotation muhimu wachezaji walianza kupata fatigue

Hata Saka bado hajarejea vzr


Kai Leo kacheza role ya Ødegaard

Raha ya timu yetu wachezaji wengi wanapiga namba karibu tatu tatu

Kai anaua LCM,RCM na CF

Smith anaua LCM,LW na RCM

Viera anaua LCM na RCM


Kuna mechi za wapiga Domo next week ,jumatano tuna CARABAO Cup na Westham

Tunayataka mataji yote

West ham 3 vs Arsenal 1

Mmebakisha makombe 3 kati ya nne.

FA, Epl na Champion hizi ndiyo target zenu carabao siyo size yenu.
 
Kai,Viera na Jorginho kuwaweka wacheze pamoja ni kutumia akili za makalio,wote style yao ya uchezaji inafanana na wapo lainilaini sana,ilikuwa ni ujinga unacheza na Westham halafu unapanga viungo wote lainilaini,unaacha kumsajili mpambanaji Kudus unamsajili Kai Harvetz kwa pesa ndefu
 
Kai,Viera na Jorginho kuwaweka wacheze pamoja ni kutumia akili za makalio,wote style yao ya uchezaji inafanana na wapo lainilaini sana,ilikuwa ni ujinga unacheza na Westham halafu unapanga viungo wote lainilaini,unaacha kumsajili mpambanaji Kudus unamsajili Kai Harvetz kwa pesa ndefu
Tulisema tangu mwanzo KAI NI MZIGO in all matches has played ana goal 1 pekee la penalty ya kupewa hata assist hazizidi 2
 
Back
Top Bottom