Nasubiri evaluation yako kaka ya Kai as RCMI like to see Kai as RCM
Midfield ya Leo
Kai Rice Rowe
But sijajua Nani atakuwa RCM na LCM
Moja ya nafasi nyingine ya Kai Ni RCM , anaijua vzr kuliko LCM
Smith Rowe pia Ni LCM na RCM
Rotation ni muhimu huwezi tumia first 11 hiyo hiyo kila wiki huwezi shinda ligi maana risk ya injury ni kubwaArteta aelewe kuwa hatuna 1st eleven nyengine zaidi ya ile tuliyozoea, so hakuna haja ya kupumzisha wachezaji muhimu.
Matusi!! Naona katu prove wrong leo. Ila Havertz ni mzigo kwa kweli, pass mbovu anacheza kivivu kama hana motisha.Hizi ndio mechi za kuclose gap la magoli, yeye anapumzisha wachezaji.
Tujiandae kwa matusi mengi ya Nketiah.
Matokeo vipi hukoHii mechi Arteta kaidharau. Kitendo cha kuwaacha wachezaji muhimu nje kinadhihirisha hilo.
Tusishangae tuka struggle kupata matokeo leo. Tumeona hilo dhidi ya promoted teams last year, refer mechi dhidi ya Bournemouth.
Haya mambo Kocha hua anayaelewa. Mashabiki ndio tuna wenge. Dogo anaondoka na mpta wakeMatusi!! Naona katu prove wrong leo. Ila Havertz ni mzigo kwa kweli, pass mbovu anacheza kivivu kama hana motisha.
Magoli yamepatikana Kaka, tumwamini kocha, tuiamini timu na tujiamini sisi wenyewe.Hizi ndio mechi za kuclose gap la magoli, yeye anapumzisha wachezaji.
Tujiandae kwa matusi mengi ya Nketiah.
Yan nilivyokua najua unauelewa wa football kumbe unaogopa mchezaji kucheza saana ili asiumie duuh???Sawa utaelewa wakianza umia hapo January. Squad depth ni muhimu ndio maana Man City hawashikiki maana wanaweza pumzisha first 11 nzima na usione tofauti!!
Japo unatuchukia ila sisi kesho tupo na nyny ndugu zetu....Manchester is red...GGMU🤠🤠🤠Braza Kai labda apewe tena penalty ndio atafunga.
Leo naiona kabisa draw nyingine.
Muwe na akiba ya maneno wazeeHizi ndio mechi za kuclose gap la magoli, yeye anapumzisha wachezaji.
Tujiandae kwa matusi mengi ya Nketiah.
Kuna mda inabidi wapumzike, ligi ni marathon nadhani Arteta amegundua hiloYan nilivyokua najua unauelewa wa football kumbe unaogopa mchezaji kucheza saana ili asiumie duuh???
Kama kuumia wachezaji wanaumia hata mazoezini
Anaepaswa kucheza acheze na atoe A perfomance sio swala la kupumzishana kisa kuhofia kuumia
5-0 vs. Sheffield Utd
2-2 vs. Chelsea
1-0 vs. Man City
0-4 vs. Bournemouth
2-2 vs. Spurs
0-1 vs. Everton
3-1 vs. Man Utd
2-2 vs. Fulham
0-1 vs. Crystal Palace
2-1 vs. Nottingham Forest
.