Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukisema ashinde kinamna yoyote labda alitakiwa afanye nini? Unafikiri yeye Arteta hakutaka kushinda?

Halafu huyo Masingeli ndio huwa anawaponza kw hayo magrafu yake. haya atupe na magrafu ya Sevila mapema tujue.

Ile game ilikua zaid upande wa chelsea mpk kipa alipowarudsha mchezoni. Ingekua ni City mngeshakula 5, na magrafu yenu yangesomama hivyo hivyo.
Field tilt haikuonyesha mchezo umechezwa zaidi kwenye half ya chelsea? possession haikuwa juu kwa arsenal? tulikuwa wajinga kwa kutocreate chances though. Na kipa wenu namtetea kidogo maana kuna watu wawili wangeweza kupokea ile pass yake sema walikuwa wachovu na Rice alikuwa sharp kuuwahi ule mpira na kutumia akili kushoot. Bahati nzuri mpira uliingia golini ila ungeweza kwenda nje pia. Goli la kujaribu, tofauti na goli la kubahatisha la Mudi
 
Na sio hio game mmoja tu, kwa akili ya Arteta naimani kuna games nyingine nyingi tu mtazipoteza kwa uzembe huohuo
Ile Mentality ya mid table team hapo Arsenyau haiwezi kuisha kwenye hio Academy yenu. View attachment 2791197
J2 hii vipara wawili wanakutana🤠🤠...mmoja ana ndonga kama ya baba Ubaya...Sasa tunataka kuona ni kipara gani siku hiyo atakuwa ana akili kumzidi mwenzake
 
Mudi alikuwa anataka kupiga cross akakosea ila bahati nzuri akafunga...ila humu wangetamba utadhani alifunga kwa kujaribu kufunga na kumfanya aonekani naye mchezaji,
Nakumbuka Saka had a similar situation last year vile kama sijasahau
 
Nakumbuka Saka had a similar situation last year vile kama sijasahau
Sikumbuki ila nakumbuka ya misimu 2 au 3 nyuma Saka alimchop Mendy wa chelsea. Nadhani tulishinda 4-1 kama sikosei. Saka akaulizwa kwenye post-match interview kuhusu goli lake akasema alimuona Mendy ametoka kwa mbele ya mstari wake akaona ajaribu kumchop.

BTW, magoli ya bahati nayo ni maoli muhimu tu ila tunawashambulia tu hawa chelkenge kwa goli lao la Mudi kishabiki tu. Sisi wenyewe tumempiga Man City kwa sababu mpira ulideflectiwa na AKE. Labda kipa wa City angeuwahi mpira na kuokoa goli kama siyo kwa ile deflection. Cha muhimu ni kushinda mechi
 
J2 hii vipara wawili wanakutana...mmoja ana ndonga kama ya baba Ubaya...Sasa tunataka kuona ni kipara gani siku hiyo atakuwa ana akili kumzidi mwenzake
Jumapili mbali sana tuzungumzie kwanza mechi ya leo, vipi msimamo wenu bado ni uleule kua matokeo ni mawili tu Arsenyo ashinde au Sevilla ushindwe au safari hii mmekuja na slogan nyingine?
 
Jumapili mbali sana tuzungumzie kwanza mechi ya leo, vipi msimamo wenu bado ni uleule kua matokeo ni mawili tu Arsenyo ashinde au Sevilla ushindwe au safari hii mmekuja na slogan nyingine?
Ni kama ulivyosema. Ni Arsenal ashinde au Sevilla afungwe
 
Timu mbili zimeombwa sana msamaha na PGMOL msimu huu Arsenal na Brighton.

Baada ya mechi dhidi ya Chelsea Arsenal inatarajiwa kuombwa tena msamaha kutokana na kipa wa Chelsea alichofanya kwa Jesus na penati ya Saliba kuonekana haikua fair.

Agenda all over.

Naona mmetafuta pa kujifichia. Ila leo mnashinda
 
Sikumbuki ila nakumbuka ya misimu 2 au 3 nyuma Saka alimchop Mendy wa chelsea. Nadhani tulishinda 4-1 kama sikosei. Saka akaulizwa kwenye post-match interview kuhusu goli lake akasema alimuona Mendy ametoka kwa mbele ya mstari wake akaona ajaribu kumchop.

BTW, magoli ya bahati nayo ni maoli muhimu tu ila tunawashambulia tu hawa chelkenge kwa goli lao la Mudi kishabiki tu. Sisi wenyewe tumempiga Man City kwa sababu mpira ulideflectiwa na AKE. Labda kipa wa City angeuwahi mpira na kuokoa goli kama siyo kwa ile deflection. Cha muhimu ni kushinda mechi
Sharp memory mkuu, kabisa alikuwa ni Mendy. Ngoja nipite YouTube hapa.
 
Jumapili mbali sana tuzungumzie kwanza mechi ya leo, vipi msimamo wenu bado ni uleule kua matokeo ni mawili tu Arsenyo ashinde au Sevilla ushindwe au safari hii mmekuja na slogan nyingine?
Leo tunashinda...hatuna kawaida ya kutoshinda gemu mbili mfululizo...huo utamaduni hatuna 🤠🤠🤠
 
Nimeshangaa mpaka dakika hii Masingeli cha-mbuzi nguli la Fifa bado halijatuwekea takwimu za kumfunga Sevilla.
Labda bado ana shock kidogo na vile chelkenge walivyobahatika kupata sare. Nketiah angefunga ile last minutes tungeshinda 3-2. Ungemuona sana Hamis leo
 
Sio kwamba mlikuwa ovyo sema Chelsea waliwafanya muwe ovyo maana walikuwa compact, wakawanyima space na walikuwa wana win mipira ya kugombania
Hawatak kusema tulikua bora zaid yao, wanazunguka zunguka tu.
F9I3O0eWgAoR8ac.jpeg
watakwambia kwa kuwa Partey hakucheza, utaletewa na magrafu hapa ushangae.
 
Field tilt haikuonyesha mchezo umechezwa zaidi kwenye half ya chelsea? possession haikuwa juu kwa arsenal? tulikuwa wajinga kwa kutocreate chances though. Na kipa wenu namtetea kidogo maana kuna watu wawili wangeweza kupokea ile pass yake sema walikuwa wachovu na Rice alikuwa sharp kuuwahi ule mpira na kutumia akili kushoot. Bahati nzuri mpira uliingia golini ila ungeweza kwenda nje pia. Goli la kujaribu, tofauti na goli la kubahatisha la Mudi
Ukisema mlikua wajinga kutokucreate chances, una maanisha nini? Ina maana hawakutaka au kuna sababu zilizochangia wao kushindwa kucreate hizo chances?

Goli kipa wa chelsea alikua mduanzi, hata usimtetee, alikua na side ways pasi mbili either kushoto au kulia wachezaji walikua wenyewe, akaamua kupiga staight kwa Rice, na rice akatuadhibu, ndivyo inavyotakiwa ukipata chance adhibu. Sio wenzetu na mie wakina wako jacko.
 
Back
Top Bottom