HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Field tilt haikuonyesha mchezo umechezwa zaidi kwenye half ya chelsea? possession haikuwa juu kwa arsenal? tulikuwa wajinga kwa kutocreate chances though. Na kipa wenu namtetea kidogo maana kuna watu wawili wangeweza kupokea ile pass yake sema walikuwa wachovu na Rice alikuwa sharp kuuwahi ule mpira na kutumia akili kushoot. Bahati nzuri mpira uliingia golini ila ungeweza kwenda nje pia. Goli la kujaribu, tofauti na goli la kubahatisha la MudiUkisema ashinde kinamna yoyote labda alitakiwa afanye nini? Unafikiri yeye Arteta hakutaka kushinda?
Halafu huyo Masingeli ndio huwa anawaponza kw hayo magrafu yake. haya atupe na magrafu ya Sevila mapema tujue.
Ile game ilikua zaid upande wa chelsea mpk kipa alipowarudsha mchezoni. Ingekua ni City mngeshakula 5, na magrafu yenu yangesomama hivyo hivyo.



