Cha muhimu amefunga goli, sio penalt kama ya mwenetu Kai😂😂 halafu ile krosi angalia alitumia upande gani wa kiatu ndio utajua hujui.Jamaa alipiga cross mbovu iliyogeuka kuwa goli zuri kibahati baharti. Acha na yeye apate ku shine kidogo tumemuandama sana

