Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duh kweli maisha magumu.

Ebwana nilioversee neno Liverpool.

Anyway, then you can take your subjected opinions, wrap it up around and shove it far up your ass you dumb ass bitch
Chambuzi

Cha goat

Cha mee
 
Duh kweli maisha magumu.

Ebwana nilioversee neno Liverpool.

Anyway, then you can take your subjected opinions, wrap it up around and shove it far up your ass you dumb ass bitch
Brother nifanyie mpango wa connection ya kazi hapo ofisini kwako, kitaa mambo magumu.
 
Vyura vyura wote wanaotembeza domo bila kujua wanachokisema ni kuwekwa ignore list tu pambafu
 
Arsenal are hoping to sell Ghana midfielder Thomas Partey, 30, and Italy international Jorginho, 31, as they attempt to bring in Fluminense's 22-year-old Brazil international Andre. (Football Insider)
Karata ya Arteta na Edu itarudi kwa Douglas Luiz.
 
Kuna ushuhuda ulituma huku, wa kupata kazi nzuri baada ya kusota.
Huwezi amini a month after lilitokea tukio nikapost humu kilichotokea ofisini.

Kuna jamaa akaja inbox akaniambia ingawa lengo lilikua kuonyesha inawezekana ila kuna watu wana roho mbaya. So nijifunze next time
 
F9HeIZKXcAAHjR3.jpeg
 
Acheni kujitekenya wenyewe, walioumia sare ni chelsea. Kwa game ilivyokua upande wa chelsea. chelsea kudraw ni sawa na kufungwa tu.

Mnasema Arsenal haikua bora kwnye ule mchezo, ni kwa sababu gani Arse88 wali under perform?
Sisi tumeshazoea kuwa nyie ni wateja wetu na sehem yetu ya kuchotea points 6 Kwa msimu. Msimu huu badala ya kutupa 6 mmetupa 4. Nakasirika maana pia naona msimu huu unaelekea utakuwa mbaya zaidi kuliko uliopota Kwa yale niliyoyana, hivyo sitaki kupoteza points hovyo hovyo namna hii.
 
Huwezi amini a month after lilitokea tukio nikapost humu kilichotokea ofisini.

Kuna jamaa akaja inbox akaniambia ingawa lengo lilikua kuonyesha inawezekana ila kuna watu wana roho mbaya. So nijifunze next time
Pole bro
 
Back
Top Bottom