Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usijali tutakuja full nondo

Score 1-4 (Dozi kama ile ya Baku)

--------------Victor O---------------

Mudryk --------Nkunku---------Palmer

----- Caicedo ----------Enzo----------

Chilwell ----Colwill/Badi---Silva/Disasi ---James

------------Petrovic-----------------


Your browser is not able to display this video.
 
Read between the lines Ukiangalia kishabiki huwezi kuielewa hii comment
Sikiliza mkuu....mpira huwa hauongelewi kwa namna hiyo....form ya timu ndo huwa ina determine watu kusema mechi ijayo timu itashida au laaa...sasa nyny mnazungumza kishabiki vitu ambavyo havipo....hivi kwli kqbisq unasema nyukesto sijui West Ham ni giants pale uingereza tena unasema watamfunga arsenal...unakuja unasema sijui tumedraw na timu kubwa kama Fulham kwli????....na Man city naye aliyebondwa na Wolves na sisi...utasema kesho kutwa akikutana na Manunu atabondwa kisa kafungwa na hzo timu...its about the form na the way timu inavyocheza sio ushabiki...ww sasahvi unasema Manunu anarudi top 4 lakini kiuhalisia hilo hatulioni kwa namna mnavyocheza....kuna timu zinacheza vzuri sana kuliko nyny na zipo pale juu....sasa ukitaka kuzungumza kishabiki that's fine ila kimpira kabisa...tactically...sioni miujiza kwa ndugu zangu Manunu na Chelsea haka karatiba kao kwakwli...mungu awalinde
 
Jesus acheze CF but kwa mech za kawaida, ukiangalia Silva na Colwill ni warefu Sana ,

Tungeanza na Kai CF Wala wasingemsumbua ,Kai alipoingia akiwa dominate Silva na Colwill, tukaanza kupata nafasi
Sasa kwanini Jesus acheze kwenye nafasi ambayo Kai anafanya vizuri Zaidi?

Bro, sahivi CBs wengi ni warefu, and if your CF can't go in the air, you got no chance. Unarahisisha mazingira ya mpinzani wako kukuzuia, watu wana adopt M2M press na mchezo unaishia hapo.
 
Endeleeni kujitafuta na haka karatiba kenu....mtapata point 4-5 maximum....hamvuki hapo...na next time mkija Imarate....tunawakumbusha msimu ulioisha zilikuwa 3....safari hii ni nne...kutufunga nyny ni mpk mwaka 2030πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Tutapeleka muswada wa dharura, ili mruhusiwe kufanya usajili mwezi huu.

Maana kipindi wenzenu wanasajili, nynyi mlikuwa likizo
Dogo humu tunaongea habari ya Arsenal kuwa the invincibles, habari ya Arsenal kudominate Anfield / Etihad, habari ya Arsenal ku compete dhidi ya Pep Guardiola kwenye makombe, hapa hatuongei habari ya 'ooh tumecheza vizuri mechi nne zilizopita' sijui oooh bla bla bla. Understand?
 
Endeleeni kujitafuta na haka karatiba kenu....mtapata point 4-5 maximum....hamvuki hapo...na next time mkija Imarate....tunawakumbusha msimu ulioisha zilikuwa 3....safari hii ni nne...kutufunga nyny ni mpk mwaka 2030πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Pumba grade F
 
January tuingie sokoni Kuna watu watupishe

Kai Jana nimemkubali, na alivyoingia Kai tu Raya akaanza kucheza mipira kirefu
Rowe is player inabidi tumtunze at all cost

Nketiah Kama bahari, kupwa na kujaa
 
Achana na mambo ya Form bana, Jana Arsenal walikuwa Terrible vibaya mno lakini still waliweza ku managed to come back from 2 goals down .
Biggest rivals wako anachomoa goal 2 nyumbani kwako bado mnaona ni kitu cha kawaida.
Sio kitu cha kawaida ila ninachosema mimi sikutegemea hata kuwa na uongozi wa goli mbili kwa bila dhidi ya Arsenal kwa hiyo hata mlipofanya comeback kulevel sikua shocked kutokana na mwenendo wetu toka ligi inaanza. Nyinyi wenyewe najua mliamini mnakuja kushinda darajani
 
Hii ni kwel kabsa kai anaanza kua mtamu sasa
 
January tuingie sokoni Kuna watu watupishe

Kai Jana nimemkubali, na alivyoingia Kai tu Raya akaanza kucheza mipira kirefu
Rowe is player inabidi tumtunze at all cost

Nketiah Kama bahari, kupwa na kujaa
Naunga mkono hoja Rowe abaki jaman kwa gharama yyte ile
 
Tactic aliyoingia nayo pochetino ni kamata odegaard, arsenal itacheza kwa taabu

Ninyi mlishindw nini kumkamata Caicedo?

Naona aliwatia mfukoni. Ohoo chelse hawatagusa hata mpira moja kati kati pale alisikika mchambuzi uchwara moja ivi masingeli
 
Saka hayuko fit lakini ametoa Assist mbele ya Cucurella aliyemkamia!

Leo nimeamini Chelsea fans hawajui mpira kwahiyo Cucurella kamficha Unfit Saka with Assist

Mkuu tatizo siyo hatujui mpira wewe ndiyo hujui mpira tena kwenye mpira upo empty brain.

Una uhakiki yule aliyecheza ni yule martineli unayemuongea kila siku? Au alikuwa kopi yake? Je alitoka uwanjani saa ngapi?

Je Od ni yule yule au jana hajacheza?

Msiwe mbajipa false hope za kidwazi.

Haya umemnyuka chelsea goli 5.
Tupe uchambuzi wa jumanne kati ya arsenal na sevila mtamfunga ngapi?
 

Kwahiyo unakiri kwamba partey ndiyo ingine ya arsenal kwamba kina Ode martineli wanatumia kivuli chake uwanjani? Vip mkiwa na majeruhi kama Chelsea mtafurukuta kweli kama mechi moja tu partey hajacheza mnatoa ulimi ivi na kumlilia
 
Hamna timu pana ninyi, asingecheza Saka hiyo assist angetoa nani? RW angecheza nani
Na hii ndiyo itakayoifanya Arsenal msimu huu mshindwe hata kubaki top 4, mkikumbwa na majeruhi kama yetu ndipo akili yenu itaelewa maana ya deep squad
Note hii

Chelsea ikimaliza juu ya Arsenal/kuingia top four naacha kutumia jf

Lolote kati ya hayo mawili likitokea naacha kutumia jf
 
Hii nchi ndo maana inashindwa kupata maendeleo sababu kwenye bongo za watu kumejaa funza tu

Hivi anaeshangilia draw ya jana ni arsenal au kenge? Kwa arsenal draw tunahesabu tumeangusha alama ila kenge zinaona ni ushindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…