Nafuu...aseno wanapat la pili .vanmpas
4-1............
Hongereni sana wakuu kwa kupunguza idadi ya mabao! khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!
Kwa nini??Hii si haki wajamen.
Nina wasiwasi kwamba hawa watoto wanafanya mgomo.
Without doubt ninaweza kusema kwamba hawa wachezaji hawamtaki Arsene Wenger.
Kama anafahamu hilo ni lazima afikirie juu ya nafasi yake ya umeneja wa Arsenal.
For the first time in 20 years of being an Arsenal fan, I see this as unacceptable.
Wacha boy braza upoooo?, tutaongea kesho leo apana...
Kwani limeongezwa limgine???yanayozidi hapo sio yangu yangu yalikuwa 6