Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hongereni sana wakuu kwa kupunguza idadi ya mabao! khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!

Wacha fujo wewe nenda kamuuguze Drog the bar .... ...... ...... .... referee ni Webb au siyo mchezaji wa 12 wa Manure ..... ..... Red card Jenkinson .... ... mwaka wa red cards huu ... ...
 
Nina wasiwasi kwamba hawa watoto wanafanya mgomo.

Without doubt ninaweza kusema kwamba hawa wachezaji hawamtaki Arsene Wenger.

Kama anafahamu hilo ni lazima afikirie juu ya nafasi yake ya umeneja wa Arsenal.

For the first time in 20 years of being an Arsenal fan, I see this as unacceptable.

Sio kwamba wachezaji hawamtaki Wenger bali hapo ndio mwisho wa uwezo wao.
 
I didnt see this comming . Arsenal VS Man U scoring more than five goals btn them
 
Hii inaweza kumsaidia Wenger kufanya maamuzi haraka sana kabla ya jumatano sio mambo ya kusubiri mpaka last minute.
 
Back
Top Bottom