Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Home advantage itawasaidia kupunguza idadi ya mabao.
Lakini we need a disciplined team, jambo ambalo naona msimu Mikel kafanikiwa ku-instill
Home advantage itawasaidia kupunguza idadi ya mabao.
Ni kweli kabisa.. Nidhamu ya Saliba, White na Gabriel ndio inafanya defence yetu kuwa imara kuliko last season.Lakini we need a disciplined team, jambo ambalo naona msimu Mikel kafanikiwa ku-instill
jambo ambalo linaweza lisijirudie tenaHakuna atakaecoment hapaHuu uzi umeanzishwa mwaka 2006 lakini mpaka leo hamjawahi kunyenyua UEFA haya basi hata EUROPA ndio imewashinda jamani??
Sasa mnadiscuss nini humu?
SidhaniMawazo yangu yananambia Arteta anaweza anza na Jorginho, itategemea na kuwahi na fitness ya Partey.
But I'd always choose Partey over Jorginho.
Arteta pia anaweza akamuanzisha Jorginho kutokana na uhusiano wake na Chelsea.
So tutemee kuanza kwa either Kai au Jorginho.
Yaani acha bro. Sadly Niko mkoani. Simba kama simba Haina maana yoyote ila imejikuta imebahatika kupata mgeni mkubwa kama Mzee Wenger bila kustahili. Na wengine Sasa wamepata fursa ya kukutana na le Prof, le tout puissant, le magnifique, le grand magicien, Arsene Wenger.Najiandaa kwenda kumuona Baba yetu wa team Arsene Wenger Taifa Stadium nijambo ambalo linaweza lisijirudie tena
Yaani acha bro. Sadly Niko mkoani. Simba kama simba Haina maana yoyote ila imejikuta imebahatika kupata mgeni mkubwa kama Mzee Wenger bila kustahili. Na wengine Sasa wamepata fursa ya kukutana na le Prof, le tout puissant, le magnifique, le grand magicien, Arsene Wenger.


Mkuu hapo umesahau kuweka na kile cheo kikubwa kabisa alichopewa na José Mourinho "specialist in failure"Mshajiandaa kumtukana Kai?
Hapo baada ya kupigwa chuma 3 huku Kai akikosa magoli 4 ya wazi


Hizi Kima zimemsimanga sana mtoto wa Zelensky kesho lazima awaonyeshe kwa nini aliwakataa Arsenyau na akaamua kujiunga na Blue Army (The Pride of London) Yule dogo Hana uelewa wowote na footballMatokeo ya Mechi ya Simba na Ahly yawe fundisho kwa mechi ya kesho ya Arsenal na Chelsea,wengi walijua Simba atafungwa magoli mengi lakini haikuwa hivyo,sasa matumaini ya KIPUUZI tunayoaminishwa na kina Hamis humu kwamba eti kesho ni USHINDI kirahisirahisi tu kana kwamba wachezaji wa Chelsea wana mguu ni vema yapuuzwe,Mpira una matokeo ya ajabu sana
,Acha kuifananisha Arsenal na upuuzi wa Afrika.Matokeo ya Mechi ya Simba na Ahly yawe fundisho kwa mechi ya kesho ya Arsenal na Chelsea,wengi walijua Simba atafungwa magoli mengi lakini haikuwa hivyo,sasa matumaini ya KIPUUZI tunayoaminishwa na kina Hamis humu kwamba eti kesho ni USHINDI kirahisirahisi tu kana kwamba wachezaji wa Chelsea wana mguu ni vema yapuuzwe,Mpira una matokeo ya ajabu sana
Tunatanguliza shukrani za dhati darajani Kwa points 3 watakazotutunuku kesho.Matokeo ya Mechi ya Simba na Ahly yawe fundisho kwa mechi ya kesho ya Arsenal na Chelsea,wengi walijua Simba atafungwa magoli mengi lakini haikuwa hivyo,sasa matumaini ya KIPUUZI tunayoaminishwa na kina Hamis humu kwamba eti kesho ni USHINDI kirahisirahisi tu kana kwamba wachezaji wa Chelsea wana mguu ni vema yapuuzwe,Mpira una matokeo ya ajabu sana

Mwanangu una hali mbaya Sana ,umegeuka kuwa mpiga ramli tu Kila Arsenal inapocheza ,jukwaa la manjesta hulitaki TenaHizi Kima zimemsimanga sana mtoto wa Zelensky kesho lazima awaonyeshe kwa nini aliwakataa Arsenyau na akaamua kujiunga na Blue Army (The Pride of London)
#Mudryk Hatrick
#Kai 2 Aerial Duel
Walio serious na ubingwa Ni manjesta yako na kocha 7hagUkiwa mgeni hapa JF halafu bahati mbaya ukaingia kwenye hili jukwaa la ARSENAL ukamsikiliza hamis77 na wafuasi wake unaweza kudhani wako serious sana na ubingwa msimu huu,kumbe wanapoteza muda na bando zao tu.
Kwa picha za Jana mazoezinMawazo yangu yananambia Arteta anaweza anza na Jorginho, itategemea na kuwahi na fitness ya Partey.
But I'd always choose Partey over Jorginho.
Arteta pia anaweza akamuanzisha Jorginho kutokana na uhusiano wake na Chelsea.
So tutemee kuanza kwa either Kai au Jorginho.