OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Nawaombea aseno musimu huu wawe mabingwa😀😀😀
Wakandwe na Mudryk ndio vizur ili iwaume zaid.Jacksoniii mapema tu lazima awalambe kijambio awa arse8😂😂😂😂
Kwa mechi chache nilizomuona szoboszlai,namuona ni bora mara 10 kwa KAI.The way Liverpool fans been trying so hard to make everyone care about Szoboszlai you'd think he'll at least have a higher G&A than HavertzView attachment 2777266
Huyu ni pimbi tu, mguuni mie naweza kuwa bora mara 3 yake.🤣🤣Southgate tumekuruhusu umtumie Nketiah unavyotaka.. Na akiumia ubaki nae huko huko.View attachment 2777277
Olashoga mama la mamaJacksoniii mapema tu lazima awalambe kijambio awa arse8😂😂😂😂
Kuna picha yupo na mdogo wake, wamevaa uzi wa ufaransa wa mwaka 98.Hivi unaelewa kwamba Hazard legend wa the blues alikuwa shabiki la washika mtutu wa london!
Eden Hazard in February 2021: “For me, the players I looked up to were Zinedine Zidane & Thierry Henry. It’s difficult for me to admit because of my relationship with Chelsea, but I really liked the Arsenal team at the time. They had players like Pires, Wiltord & Vieira.” #afc
Mtu ana goli 1 mechi 50 ,aje afunge vs ArsenalWakandwe na Mudryk ndio vizur ili iwaume zaid.
Shemeji yake Ni shabiki wa manjesta, hivo inabidi a pretend na yeye Ni manjesta ,Kwamba Flano anaishi Kwa shemeji na bwashee anajua ID yake ya JF?
Mwaka Jana ulikimbia ,We endelea kuziongepea hizi kondoo, mkizagamuliwa. Usikimbie
Hawa jamaa inabidi tusiwaonee huruma ,nafasi zitumike vzrUnyama unyama tu
Tuwakande za kutosha ili heshima iendelee

️Atleast hilo goli moja kafunga kw juhudi, sio la penalt.Mtu ana goli 1 mechi 50 ,aje afunge vs Arsenal
Hizi kelele zenu pigeni wiki 2 hizi ,maana tutakuja kuwaaibisha geton kwenu
Nasema hivi tunakuja kuwanyoa drediAtleast hilo goli moja kafunga kw juhudi, sio la penalt.
Mashabiki wa Chelsea hawatarudi mapumzikoHadi Sasa EPL hatujawahi kukitumia hiki kikosi ,kinatarajiwa kutumika vs Chelsea kuwanyoa dredi
View attachment 2778402
REMINDER;
Tafuta mchezaji yeyote kwenye kikosi unayemkubali sana halafu kuwa mwanasheria wake mtetee against agenda zozote usikubali asemwe vibaya kila game tafuta comp za mazuri yake tu achana na mabaya.
Usikae kizembeView attachment 2778412


Masingeli banaaa kwa kua wewe binafsi unamkubali Kai Harvez basi unatafuta uhalali wa kumtetea kwa njia yoyote na kuwaaminisha mashabiki ili nao wamkubali. Sijamuaminisha mtu aiseeMasingeli banaaa kwa kua wewe binafsi unamkubali Kai Harvez basi unatafuta uhalali wa kumtetea kwa njia yoyote na kuwaaminisha mashabiki ili nao wamkubali.
Mchezaji akiwa mzuri wala haina haja ya kutumia nguvu nyingi kumtetea, atajitetea mwenyewe uwanjani kwa kuwaprove wrong wote wanaomkosoa.
Hata ukija na matakwimu yako uchwara ya Aerial duel, Interchange, flexibility na pressing Kai bado ni mzigo na ataendelea kua mzigo kwenye timu yenu.
Kai ni kama fenesi tu, ukiliweka ndani hata ufukize kwa marashi ya kila aina bado litaendelea kunuka tu ndani ya nyumba. View attachment 2778470View attachment 2778471
Gabriel Jesus: