Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi unaelewa kwamba Hazard legend wa the blues alikuwa shabiki la washika mtutu wa london!

Eden Hazard in February 2021: “For me, the players I looked up to were Zinedine Zidane & Thierry Henry. It’s difficult for me to admit because of my relationship with Chelsea, but I really liked the Arsenal team at the time. They had players like Pires, Wiltord & Vieira.” #afc
Kuna picha yupo na mdogo wake, wamevaa uzi wa ufaransa wa mwaka 98.
 
Arsenal walikasirishwa na kuvuja kwa taarifa za kikosi (kinachoanza) wiki za nyuma hivyo Saka alisafiri na timu (kwenye mchezo wa Man City) kama geresha.

Hakuwa tayari wala karibu kucheza mchezo huo alisafiri ili kuona taarifa zitavuja kwa kiasi gani.

Arsenal pia waliwaambia England kuwa Saka atacheza mechi moja (ili aitwe) kutokana na Ghana kuvujisha taarifa za majeruhi ya Partey ndio maana Saka akaitwa kufanyiwa tathmini na madaktari wa timu ya taifa ya Uingereza wenyewe.

@leakedlineups

#coyg
 
Hadi Sasa EPL hatujawahi kukitumia hiki kikosi ,kinatarajiwa kutumika vs Chelsea kuwanyoa dredi

20231011_074637.jpg
 
REMINDER;

Tafuta mchezaji yeyote kwenye kikosi unayemkubali sana halafu kuwa mwanasheria wake mtetee against agenda zozote usikubali asemwe vibaya kila game tafuta comp za mazuri yake tu achana na mabaya.

Usikae kizembe View attachment 2778412
Masingeli banaaa kwa kua wewe binafsi unamkubali Kai Harvez basi unatafuta uhalali wa kumtetea kwa njia yoyote na kuwaaminisha mashabiki ili nao wamkubali.
Mchezaji akiwa mzuri wala haina haja ya kutumia nguvu nyingi kumtetea, atajitetea mwenyewe uwanjani kwa kuwaprove wrong wote wanaomkosoa.
Hata ukija na matakwimu yako uchwara ya Aerial duel, Interchange, flexibility na pressing Kai bado ni mzigo na ataendelea kua mzigo kwenye timu yenu.
Kai ni kama fenesi tu, ukiliweka ndani hata ufukize kwa marashi ya kila aina bado litaendelea kunuka tu ndani ya nyumba.
Fzu12VEX0Bg5ncw.jpg
1696595465041.jpg
 
Masingeli banaaa kwa kua wewe binafsi unamkubali Kai Harvez basi unatafuta uhalali wa kumtetea kwa njia yoyote na kuwaaminisha mashabiki ili nao wamkubali.
Mchezaji akiwa mzuri wala haina haja ya kutumia nguvu nyingi kumtetea, atajitetea mwenyewe uwanjani kwa kuwaprove wrong wote wanaomkosoa.
Hata ukija na matakwimu yako uchwara ya Aerial duel, Interchange, flexibility na pressing Kai bado ni mzigo na ataendelea kua mzigo kwenye timu yenu.
Kai ni kama fenesi tu, ukiliweka ndani hata ufukize kwa marashi ya kila aina bado litaendelea kunuka tu ndani ya nyumba. View attachment 2778470View attachment 2778471
Sijamuaminisha mtu aisee

Kai ana goli 1 na assist 1


Mount ana goli 0 assist 0

Rashford ana goli 1 na assist 1
 
Achana na long ball aliyopiga partey
Achana na harder ya tomiyasu kwa Kai
Achana na goal la martinel

Angalia ile pass aliyotuliziwa martinel kwa umakini

 

Attachments

  • VID-20231009-WA0004.mp4
    3.4 MB
Gabriel Jesus:

“Nina majukumu mengi Arsenal. Nilipochagua kuhama kutoka City kwenda Arsenal, Edu na Arteta walizungumza nami na niliweka wazi kwamba ningependa kucheza 9. Lilikuwa wazo la Arsenal, mimi kucheza 9.

Msimu huu umekuwa tofauti, tumekuwa na majeruhi na katika michezo michache iliyopita nilicheza katika nafasi zote tatu za mbele.

Kwa muda nilifikiri nilitaka tu kucheza 9, lakini niko hapa kusaidia timu. Nimebarikiwa na Mungu kuwa na kipaji hiki na uwezo wa kucheza nafasi zote tatu za mbele. Napendelea kutochagua. »
20231011_133543.jpg
 
Back
Top Bottom