Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23] jitoe akili tu, hivi Asaninyau bado mnategemea msimu huu nataongoza ligi hata kwa siku 3?
Mkuu sasahivi ni suala la muda tu watoto wadogo Spurs wa draw tu sisi turudi pale nafasi yetu Rasmi....halafu tutawaonesha nn maana ya kuvuta tela😀😀😀...na City asijichanganye akafungua gepu kama la mwaka jana...ndo itakuwa imeisha hyo hasahasa Timber akirudi
 
Mbona inajulikana ,kila anayezaliwa Ni shabiki wa Arsenal,huko kwingine huwa Ni kupotea tu

Mfano Flano Ni mshabiki wa Arsenal,ila anajifanya Ni wa manjesta sababu ya shemeji yake
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
kukaa kwa shemeji Hadi una b transformed kiakili na kihisia
 
[emoji23][emoji23][emoji23] jitoe akili tu, hivi Asaninyau bado mnategemea msimu huu mtaongoza ligi hata kwa siku 3?
Habari mbaya kwenu mpaka Sasa bado hatujaanza na our strongest front 3 (Saka, Jesus, Martinelli) na tupo pale juu

Na mpaka Sasa hatujaanza game yeyote with our strongest midfield (Partey, Rice, Ødegaard) na tupo pale juu



Perspective
 
Best defences so far this season (least xG conceded):

[emoji1628] Man City - 5.58(xG)
[emoji1627] Arsenal - 6.55(xG)
[emoji1626] Chelsea - 8.64(xG)
 
[emoji599][emoji599] EXCLUSIVE

[emoji599]Arsenal wamepanga mpango wa kumfanyia mazoezi Bukayo Saka katika jitihada za kuhakikisha yuko fiti kukabiliana na Chelsea .

[emoji599]Winga huyo amerejea Arsenal na atakuwa na mazoezi pamoja na wachezaji wengine wa kikosi cha Arsenal ambao hawapo kwenye majukumu ya kimataifa, .

[emoji599]Saka atarejea katika kambi ya mazoezi ya Arsenal huko London Colney Jumatatu huku akitarajiwa kuwa fiti kucheza na Chelsea kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.

[@sr_collings]
 
[emoji2403]USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

[emoji1621] Nianze kusema Makosa Yapo Mchezaji anaweza fanya kosa kwenye given task kimchezo hii ipo sana tu

[emoji1621] Ila hapa nataka Nizungumzie kitendo cha Raya kuchelewesha kupiga goal kick je ni makusudi au ilikuwa kitu gani?

[emoji1621] Maana karibu mara 2 kidogo wapinzani wamcatch kwenye upigaji wa mpira Tuzungumze kimbinu Zaidi ili swala!

[emoji1621] Ukingalia Tactical Eye utagundua Raya kuchelewesha kupiga kule mpira ilikuwa ni maelekezo alipewa acheze hivyo

[emoji1621] Lengo la Kufanya vile ilikuwa kukaribisha press ya Man city na kuacha gapes nyuma yao ambazo tulitakiwa kutumia, yaani wakija kupress Basi ipigwe ndefu inaswe na CF ambaye alikuwa nketiah

[emoji1621] Sema shida inaonekana kama Raya alikosea ila iisue sio Raya issue ilikuwa effective pressing ya City ilikuwa ya hali ya juu

[emoji1621] Kingine Arteta alihitaji kubeat hiyo press ya City kwa kupiga mipira mirefu Shida ikawa ni Nketiah kuwin ile mipira mbele sijui kimo au positioning

[emoji1621] Ila Second half baada kuingia Kai nadhani sasa tulielewa Concept Why Raya alikuwa anapiga long balls hii iliwavuruga City na press yao kuwalazimu warudi chini kuitafuta mipira

[emoji1621] Na mipira Mingi baada kuingia Kai aliwin mipira mingi kule mbele kufanya Arsenal kuretain posession

[emoji1621] Baada ya mechi Guadiora akihojiwa alisema

" Raya ni mzuri kucheza Short and long balls hivyo ni vigumu kuzuia mfumo wao uliosababisha sisi Kufungwa"

Pep Guardiola on Arsenal:

"David Raya has the ability to play short and long so it’s not easy to control these balls.

They’re a fantastic team and they played really well."

[emoji1621] ukiwa na systeam sahihi utafanya chochote kile ufanikiwe

Amigos
20231009_053654.jpg
 
[emoji2403]USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

[emoji1621] Nianze kusema Makosa Yapo Mchezaji anaweza fanya kosa kwenye given task kimchezo hii ipo sana tu

[emoji1621] Ila hapa nataka Nizungumzie kitendo cha Raya kuchelewesha kupiga goal kick je ni makusudi au ilikuwa kitu gani?

[emoji1621] Maana karibu mara 2 kidogo wapinzani wamcatch kwenye upigaji wa mpira Tuzungumze kimbinu Zaidi ili swala!

[emoji1621] Ukingalia Tactical Eye utagundua Raya kuchelewesha kupiga kule mpira ilikuwa ni maelekezo alipewa acheze hivyo

[emoji1621] Lengo la Kufanya vile ilikuwa kukaribisha press ya Man city na kuacha gapes nyuma yao ambazo tulitakiwa kutumia, yaani wakija kupress Basi ipigwe ndefu inaswe na CF ambaye alikuwa nketiah

[emoji1621] Sema shida inaonekana kama Raya alikosea ila iisue sio Raya issue ilikuwa effective pressing ya City ilikuwa ya hali ya juu

[emoji1621] Kingine Arteta alihitaji kubeat hiyo press ya City kwa kupiga mipira mirefu Shida ikawa ni Nketiah kuwin ile mipira mbele sijui kimo au positioning

[emoji1621] Ila Second half baada kuingia Kai nadhani sasa tulielewa Concept Why Raya alikuwa anapiga long balls hii iliwavuruga City na press yao kuwalazimu warudi chini kuitafuta mipira

[emoji1621] Na mipira Mingi baada kuingia Kai aliwin mipira mingi kule mbele kufanya Arsenal kuretain posession

[emoji1621] Baada ya mechi Guadiora akihojiwa alisema

" Raya ni mzuri kucheza Short and long balls hivyo ni vigumu kuzuia mfumo wao uliosababisha sisi Kufungwa"

Pep Guardiola on Arsenal:

"David Raya has the ability to play short and long so it’s not easy to control these balls.

They’re a fantastic team and they played really well."


[emoji1621] ukiwa na systeam sahihi utafanya chochote kile ufanikiwe

AmigosView attachment 2777788
Hapa ukiwa na CF anayeweza kupokea hii mipira na kukimbia nayo golini au kuchenga beki mmoja/wawili na kuendelea kwenda golini au kutoa pass Kwa advancing teammate, tutafaidi zaidi hizo long balls.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom