
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

Nianze kusema Makosa Yapo Mchezaji anaweza fanya kosa kwenye given task kimchezo hii ipo sana tu

Ila hapa nataka Nizungumzie kitendo cha Raya kuchelewesha kupiga goal kick je ni makusudi au ilikuwa kitu gani?

Maana karibu mara 2 kidogo wapinzani wamcatch kwenye upigaji wa mpira Tuzungumze kimbinu Zaidi ili swala!

Ukingalia Tactical Eye utagundua Raya kuchelewesha kupiga kule mpira ilikuwa ni maelekezo alipewa acheze hivyo

Lengo la Kufanya vile ilikuwa kukaribisha press ya Man city na kuacha gapes nyuma yao ambazo tulitakiwa kutumia, yaani wakija kupress Basi ipigwe ndefu inaswe na CF ambaye alikuwa nketiah

Sema shida inaonekana kama Raya alikosea ila iisue sio Raya issue ilikuwa effective pressing ya City ilikuwa ya hali ya juu

Kingine Arteta alihitaji kubeat hiyo press ya City kwa kupiga mipira mirefu Shida ikawa ni Nketiah kuwin ile mipira mbele sijui kimo au positioning

Ila Second half baada kuingia Kai nadhani sasa tulielewa Concept Why Raya alikuwa anapiga long balls hii iliwavuruga City na press yao kuwalazimu warudi chini kuitafuta mipira

Na mipira Mingi baada kuingia Kai aliwin mipira mingi kule mbele kufanya Arsenal kuretain posession

Baada ya mechi Guadiora akihojiwa alisema
" Raya ni mzuri kucheza Short and long balls hivyo ni vigumu kuzuia mfumo wao uliosababisha sisi Kufungwa"
Pep Guardiola on Arsenal:
"David Raya has the ability to play short and long so it’s not easy to control these balls.
They’re a fantastic team and they played really well."

ukiwa na systeam sahihi utafanya chochote kile ufanikiwe
Amigos
View attachment 2777788