Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I have no evidence for this but I’m pretty sure this was Arteta’s plan for the UCL KOs and big PL games at Etihad/Anfield:

Tomi-Saliba-Gab-Timber
Partey - Rice

Rock solid.

Tomiyasu & Timber having the ability to switch sides depending on where we want to invert is so good.
20231011_203334.jpg
 
Gabriel Jesus:

“Nina majukumu mengi Arsenal. Nilipochagua kuhama kutoka City kwenda Arsenal, Edu na Arteta walizungumza nami na niliweka wazi kwamba ningependa kucheza 9. Lilikuwa wazo la Arsenal, mimi kucheza 9.

Msimu huu umekuwa tofauti, tumekuwa na majeruhi na katika michezo michache iliyopita nilicheza katika nafasi zote tatu za mbele.

Kwa muda nilifikiri nilitaka tu kucheza 9, lakini niko hapa kusaidia timu. Nimebarikiwa na Mungu kuwa na kipaji hiki na uwezo wa kucheza nafasi zote tatu za mbele. Napendelea kutochagua. »View attachment 2779050
Mwanangu wa nguvu, mtu hatari.
 
REMINDER;

Tafuta mchezaji yeyote kwenye kikosi unayemkubali sana halafu kuwa mwanasheria wake mtetee against agenda zozote usikubali asemwe vibaya kila game tafuta comp za mazuri yake tu achana na mabaya.

Usikae kizembe View attachment 2778412
Mie wanangu partey, jesus, saliba.. wateja hawa sina haja ya kwenda mahakamani, naweza shinda kesi kupitia video call tu,
 
Arsenal's defensive lineup is packed with young talents:

William Saliba, Gabriel Magalhaes, Ben White, Alex Zinchenko, Jurrien Timber, Takehiro Tomiyasu, and Jakub Kiwior – all under 26!

The future is bright for the Gunners' defense. #Arsenal
20231009_144804.jpg
 
Arsenal Player of the Month winners so far this season:

August: Declan Rice 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
September: Bukayo Saka 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

#afc
 
I have no evidence for this but I’m pretty sure this was Arteta’s plan for the UCL KOs and big PL games at Etihad/Anfield:

Tomi-Saliba-Gab-Timber
Partey - Rice

Rock solid.

Tomiyasu & Timber having the ability to switch sides depending on where we want to invert is so good.View attachment 2779203
Nimemsikia huko zenzychenko anahojiwa akaulizwa kati ya partey na rodri nani mkali akasema partey Rio akataka kubisha,amemtolea analysis nzuri sana,amesema rodri ni mchezaji wa system wakati partey ni mchezaji mwenye quality anafit kokote,akamwambia Rio kama anabisha aje amtazame Partey wakiwa mazoezini
 
Nimemsikia huko zenzychenko anahojiwa akaulizwa kati ya partey na rodri nani mkali akasema partey Rio akataka kubisha,amemtolea analysis nzuri sana,amesema rodri ni mchezaji wa system wakati partey ni mchezaji mwenye quality anafit kokote,akamwambia Rio kama anabisha aje amtazame Partey wakiwa mazoezini
Nimeona hiyo interview ,pia wakati Partey na Rodri wapo Atletico ,Rodri alikuwa haanzi mbele ya Partey.
 
Guardiola:

"Arsenal wana kocha mzuri atakayedumu kwa miaka mingi na anaipenda sana klabu yake".

"Mafanikio yote aliyonayo ni ya kwake na klabu yake, sio mimi. Watu wengi wanasema Arteta alikuwa na Pep na alijifunza mengi Lakini mimi Niamini nilijifunza pia mengi kutoka kwake".

20231010_221825.jpg
 
Nimemsikia huko zenzychenko anahojiwa akaulizwa kati ya partey na rodri nani mkali akasema partey Rio akataka kubisha,amemtolea analysis nzuri sana,amesema rodri ni mchezaji wa system wakati partey ni mchezaji mwenye quality anafit kokote,akamwambia Rio kama anabisha aje amtazame Partey wakiwa mazoezini
Octopus yule jamaa ni mido kweli kweli

Katika pass 7 maybe mbili ndio back pass
Anaweza kucheza tough na soft touches

Nilishawai kuandika, Kama unataka uone ubora wa martinel, saka, odegard
Basi mtu mweusi partey akae pale dimbani awafanyie kazi chafu
 
Octopus yule jamaa ni mido kweli kweli

Katika pass 7 maybe mbili ndio back pass
Anaweza kucheza tough na soft touches

Nilishawai kuandika, Kama unataka uone ubora wa martinel, saka, odegard
Basi mtu mweusi partey akae pale dimbani awafanyie kazi chafu
Arsenal kwakujua umuhimu wake huwa akisafiri ,anapewa daktari maalumu wa klabu awe nae

Arsenal physio Simon Murphy has travelled with Thomas Partey on international duty again.
20231012_154458.jpg
 
Back
Top Bottom