But false 9 mzuri anatakiwa aweze kusogea hadi mid awe ana nguvu za kuhold defense ili kuruhusu wingers na mid ya mtindo wa Vieira au Odegaard kuscore.Kwa mfumo wetu Ni either umtumie Kama False 9 au LCM au RCM ,
labda tu switch 4-4-2 au 4-2-3-1 kitu ambacho Sioni kikitokea kwasasa ili atumike Kama SS na AM Kama ilivyokuwaga Ozil kipind kile .
Kwa mfumo huu wa 4-3-3 , anaonekana ana impact eneo la false 9 kuliko LCM,
Wazia Benzema, Firmino au Jesus. Sioni kama Kai atatoa hivyo vyote akiwa pale. Mainly atapose threat kwamba hapa kuna player mrefu na ana pace but hatooffer enough kufanya wingers na mid ziwe at peace kushambulia.



