Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakati Tunawalaza Man City na Viatu jana Mikel Arteta alivalia saa Yake ya Rolex GMT Master II,

Bei yake elekezi ni kati ya TZS 45,000,0000 hadi 100,000,000 kwa fedha za kitanzania. Picture by Getty Image
IMG-20231009-WA0010.jpg
 
Maneno ya mwalimu Mikel Arteta katika mkutano wake na waandishi wa habari baada ya game alipoulizwa kwanini Tomiyasu alicheza mbele


"_Alimuingiza Tomiyasu kudhibiti hatari ambazo zingeweza sababishwa na Doku(mzee wa kaliua). Hata hivyo Pep Guardiola alimuhamisha Doku kwenda kushoto,

Arteta akamSwitch Tomiyasu acheze juu(mbele) zaidi)" maana abaki nyuma kufanya Nini Tena mzee wa kaliua kamkimbia..

.Na ni Tomiyasu ambaye aliWin mpira wa juu kwenda kwa Kai Havertz kabla Havertz hajapika goli la Martinelli
IMG-20231009-WA0011.jpg
 
Against Arsenal your most clinical finisher hajapiga shot.

The whole team imepiga shots nne.

Sisi tumekubali Arsenal ni timu ndogo. Swali langu kwako ni utajipiga ban au ulikua unanogesha stori?
kma amekujbu naomba nitag
 
Usijidanganye sana Arsenal ya msimu huu kuna utofauti ukilinganisha na msimu uliopita kuanzia squad depth na upambanaji na bado tutasajili tena january aisee msimu huu tutaona mafanikio Zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Kauli ya "Arsenal ya msimu huu imebadilika" tumeisikia tangu enzi za babu Wenger.

Ila mwisho wa msimu wote tunajua script itavyomalizika.

👉Arsenal ni ile ile miaka nenda miaka rudi tutarudi hapa May kuona same script mkiwa mnalia mwisho wa msimu
 
Hii Kauli ya "Arsenal ya msimu huu imebadilika" tumeisikia tangu enzi za babu Wenger.

Ila mwisho wa msimu wote tunajua script itavyomalizika.

Arsenal ni ile ile miaka nenda miaka rudi tutarudi hapa May kuona same script mkiwa mnalia mwisho wa msimu
Nyumbu Ni nyumbu msimu huu muishie nafasi ya 10
 
Hii Kauli ya "Arsenal ya msimu huu imebadilika" tumeisikia tangu enzi za babu Wenger.

Ila mwisho wa msimu wote tunajua script itavyomalizika.

Arsenal ni ile ile miaka nenda miaka rudi tutarudi hapa May kuona same script mkiwa mnalia mwisho wa msimu

Gary Neville:

“Sidhani kama Manchester United itamaliza tano bora msimu huu,ikitokea itakuwa maajabu.
 
Leandro Trossard ameachwa nje ya kikosi cha timu ya taifa ya Ubelgiji kutokana na hali ya Majeraha aliyonayo.
 
Kuna matumaini kwamba jeraha la Leandro Trossard sio baya na kujiondoa kwake ni tahadhari zaidi.

Gabriel Martinelli pia hatajiunga na Brazil.


William Saliba ana imani kuwa atakuwa fiti kwa ajili ya mchezo wa London derby dhidi ya Chelsea wiki ijayo.
 
Imekua ni tabia tukipata goli tunakimbilia kulilinda na kujikuta tunashambuliwa unnecessarily lakini jana hata baada ya lile goli tulikua watulivu na hata tukaonyesha tunataka goli la pili.

Raya alivyotaka kuchomesha mtangazaji akasema 'Raya ajiangalie kwakua Ramsdale sasa hivi yupo benchi kwavile distribution yake ina mashaka lakini ni bora kua na distribution yenye mashaka kuliko kipa anayeweza kukufungisha'

Sasa nikakumbuka quote ya Henry iliyoletwa humu kwamba Raya kaja kumuweka benchi Ramsdale na siyo kupokezana. Notice Ramsdale alivyomuweka bench Leno wengi tulidhani watapokezana lakini hapana.
 
OFFICIAL: Bukayo Saka has pulled out of the England squad due to injury.

He will take a rest for the next two weeks as he fights to be fit to face Chelsea.
 
You wish. Mechi nane mmejitangazia na ubingwa tayari

Yaani watu kumfunga man city washatoa na kauli kwamba kati ya makombe mepesi kubeba ni UEFA .

Kauli hii imetolewa baada ya ushindi wa game ya 8 kati ya 38, mtu anayesema UEFA ni kombe jepesi kubeba timu yake haijabeba kombe hilo kwa miaka 80+ na EPL miaka 20+.

False hopes hazitaisha mpaka ukamilifu wa dahari.
 
Back
Top Bottom