GenerationY
Senior Member
- Sep 12, 2020
- 174
- 325
Duh Chelsea kumfunga Arsenal?? Tatizo watu wengi msio mashabiki wa Arsenal hamuangalii mechi za Arsenal mnaangalia matokeo livescore na mnahisi Arsenal anabahatisha.....Arsenal ina quality ya wachezaji na wanacheza mpira 'Technical'.......Chelsea kushinda hiyo mechi ni bahatiKwa ligi ilipo sasa hata huyu man utd mnaemdharau aki turn around akashinda mechi 5 mfululizo bado anaweza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa na mta staajabu.
Ngoja tuwape benefit of doubt kwa sasa ila Chelsea nadhani atawashangaza akicheza kwa kujiamini tarehe 21 after int'l break.
Punguzeni matumaini kwa sasa mwendo bado mrefu.

Arsenal expect Bukayo Saka to be fit for their clash with Chelsea after the international break.
