Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,112
- 16,164
Kila siku tunafungwa na City mnatuzomea.
Jana tumeshinda mnasema hatutafika mbali.
Tunashangilia ushindi wetu mnasema tunashangilia kama tumechukua ubingwa.
Mashabiki wa Arsenal tuwe na utaratibu wa kuomba dua usiku mana wachawi ni wengi😁
Jana tumeshinda mnasema hatutafika mbali.
Tunashangilia ushindi wetu mnasema tunashangilia kama tumechukua ubingwa.
Mashabiki wa Arsenal tuwe na utaratibu wa kuomba dua usiku mana wachawi ni wengi😁