Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,087
- 16,085
Kila siku tunafungwa na City mnatuzomea.
Jana tumeshinda mnasema hatutafika mbali.
Tunashangilia ushindi wetu mnasema tunashangilia kama tumechukua ubingwa.
Mashabiki wa Arsenal tuwe na utaratibu wa kuomba dua usiku mana wachawi ni wengiš
Jana tumeshinda mnasema hatutafika mbali.
Tunashangilia ushindi wetu mnasema tunashangilia kama tumechukua ubingwa.
Mashabiki wa Arsenal tuwe na utaratibu wa kuomba dua usiku mana wachawi ni wengiš

Arsenal expect Bukayo Saka to be fit for their clash with Chelsea after the international break.

