Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sami Mokbel81 Moja ya chanzo Cha ukweli kwa habari za Arsenal , kaongea kumbe Arsenal ipo serious na Toney na Toney anaitaka Arsenal


Arsenal inamtamani sana. Inafahamika kuwa Toney anaitamani Arsenal pia.

Kwa upande wake Mikel Arteta, Toney anafaa kabisa kwa Arsenal.

Umbile lake huweka alama kwenye sifa nyingi anazohitaji Arteta

[@SamiMokbel81_DM]
 
Arsenal are stronger this season with strapping superstars, new physicality and bringing in Ivan Toney could help them push Man City all the way

@SamiMokbel81_DM
 
Ian Wright mshabiki mkubwa wa Eddie Nketiah amemuomba Arteta amtumie Kai as CF badala ya Nketiah

Screenshot_20231009-200008_1.jpg
 
Gabriel Jesus

When Saka was unavailable, Jesus played LW.

When Martinelli was unavailable, Jesus played RW.

When Martinelli and Saka are unavailable, Jesus plays CF.

That's some special ability of a player! Rare kind!
 
Historia ambayo huwezi kuambiwa
• The longest winless streak between Arsenal and Manchester City was between 1992 and 2006, as Manchester City was unable to beat Arsenal during this period.

• The two teams faced off 19 times during this period, with Arsenal winning 16 times and drawing 3 times. During this period, Arsenal scored 39 goals against Manchester City, while City scored 9 goals.

• There were no direct confrontations between the two teams in the league in the years 1997, 1998, 1999 and 2000 due to Manchester City’s relegation to the lower division. [@EPLworld ]
 
• The longest winless streak between Arsenal and Manchester City was between 1992 and 2006, as Manchester City was unable to beat Arsenal during this period.

• The two teams faced off 19 times during this period, with Arsenal winning 16 times and drawing 3 times. During this period, Arsenal scored 39 goals against Manchester City, while City scored 9 goals.

• There were no direct confrontations between the two teams in the league in the years 1997, 1998, 1999 and 2000 due to Manchester City’s relegation to the lower division. [@EPLworld ]
Ni muda muafaka wa kuweka heshima yetu sawa Sasa
 
Mechi na Kenge FC tunaanza kuijadili lini

Wana hatari gani kwasasa

I believe tutawafata tukiwa full house
Tukiijadili mapema Kenge watajipiga ban
Ata huyu anaeitwa olashoga siku hizi unamuona humu?

Kenge atakula chuma 4+ under ceteris peribus
 
Sami Mokbel81 Moja ya chanzo Cha ukweli kwa habari za Arsenal , kaongea kumbe Arsenal ipo serious na Toney na Toney anaitaka Arsenal


Arsenal inamtamani sana. Inafahamika kuwa Toney anaitamani Arsenal pia.

Kwa upande wake Mikel Arteta, Toney anafaa kabisa kwa Arsenal.

Umbile lake huweka alama kwenye sifa nyingi anazohitaji Arteta

[@SamiMokbel81_DM]
Tabia zake naona zinaenda kinyume na anachotaka Arteta
 
Ian Wright mshabiki mkubwa wa Eddie Nketiah amemuomba Arteta amtumie Kai as CF badala ya Nketiah

View attachment 2777305
Kwenye zile mechi 10 miyeyusho tulilia na kusaga meno kwamba tucheze back 3. Na miongoni mwa vilio vya back 3 vilitoka kwa Ian.

Arteta alitia pamba sikioni na kupiga kanyaga twende la haja.

Sidhani kama hili atafanya kama haukua mpango wake. Hata hivyo Kai siyo CF hajawahi kua, AM na SS na utakula mema ya nchi
 
Kwenye zile mechi 10 miyeyusho tulilia na kusaga meno kwamba tucheze back 3. Na miongoni mwa vilio vya back 3 vilitoka kwa Ian.

Arteta alitia pamba sikioni na kupiga kanyaga twende la haja.

Sidhani kama hili atafanya kama haukua mpango wake. Hata hivyo Kai siyo CF hajawahi kua, AM na SS na utakula mema ya nchi
Kwa mfumo wetu Ni either umtumie Kama False 9 au LCM au RCM ,

labda tu switch 4-4-2 au 4-2-3-1 kitu ambacho Sioni kikitokea kwasasa ili atumike Kama SS na AM Kama ilivyokuwaga Ozil kipind kile .

Kwa mfumo huu wa 4-3-3 , anaonekana ana impact eneo la false 9 kuliko LCM,
 
Kwanini ? Sio kwamba Toney atatupa kitu tofaut

Hewani
Hold up
Uwezo wakufunga
Namaanisha tabia za nje ya uwanja. Kubet, kutukana klabu anayochezea na vitu kama hivyo.

Kuhusu uwezo hakuna atakayepinga uwezo wake. He is good, hana skills za kutisha ila haogopi kulifuata box, ana pace, ana vision na nguvu
 
Back
Top Bottom