kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
Leo arsenal .. anashinda... it’s either arsenal win or City lose basi....
Mtu katoka majeruhi mzeeArteta ni boya sana..
Kwahiyo zile mbwembwe zote ndo maana yake nini?
Halafu kati anaanzaje Jorginho na Partey yupo?
Dah! Ukocha kazi kweli kweli!
Big what 😆😆😆Huyu joginho c juzi tu hapa alitoa Boko, partey angeanza tu ata Kama ametoka majerui
Nketiah wa Nini Sasa wakati unae Kai, mchezaji ambae anajua kucheza big games
Arteta kwenye pre-match press anasema Partey na Martinelli wote hawakuwa tayari kuanza mechi.Huyu joginho c juzi tu hapa alitoa Boko, partey angeanza tu ata Kama ametoka majerui
Nketiah wa Nini Sasa wakati unae Kai, mchezaji ambae anajua kucheza big games
Wa kwanza ni MimiNataka kuona comments za watu wakisema bora angeanza Havertz![]()
Kai Matunda 😆😆Wa kwanza ni Mimi
Angeanza Kai
Partey angechezeshwa hivyo hivyo ata Kama hayupo fit
Then martinel angetokea sub, no problem
Saka kupumzika pia no problem
Partey si alikuwa majeruhi, anarudi taratibu.Arteta ni boya sana..
Kwahiyo zile mbwembwe zote ndo maana yake nini?
Halafu kati anaanzaje Jorginho na Partey yupo?
Dah! Ukocha kazi kweli kweli!