Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Lugha za matusi hazina faida wakuu, tujadili hoja matusi tuwaachie kina Kenge na Manyumbu
Naunga mkono hoja matusi tuwaachie nyumbu
IMG_20231006_221212.jpg
 
6 na 8 yupo anko Tom na Rice
Odegard juu yao anachezesha timu

Zinchenko anakuja Ku-overload midfielders

Saka na martinel wanatanua uwanja


Daah ila wazee huwa mna mikwara sana yaani ingekuwa mpira ni maneno saivi mngekuwa na kombe sijuii la ngapi mfululizo.

Nimecheka sana hapo zincheko anakuja ku overload midfielders yaani kocha akisikia maneno yenu haya anaweza asilete team uwanjani.
 
Sources have indicated that there is hope Saka can train as normal on Saturday at the club’s London Colney HQ. How Saka’s body reacts to the final session before the game against the champions will be a key factor towards his level of involvement against City.

[@SamiMokbel81_DM]
 
Naunga mkono hoja matusi tuwaachie nyumbuView attachment 2773961
Nakereka sana na mashabiki wa manjesta ambao Ni wanafiki ,timu lenu limekuwa bovu haliwezi hata kupiga pass 10


Mmebaki kuwa wapiga ramli ,wachawi, wazandiki


Mmehama jukwaa lenu mnakuja Huku kupiga ramli ,kufanya uchonganishi ,


Sasa nawatangazia Vita Kenge nyie
 
Saka atakuwepo Kesho but Arsenal watakaa na FA ili apumzike mechi za kimataifa

BREAKING Bukayo Saka cleared to play against Man City despite #UCL injury

@IsaanKhan_ & @SamiMokbel81_DM
 
Saka Ni monster

Bukayo Saka has played in each of Arsenal's last 87 Premier League games, a club record streak of uninterrupted appearances in the competition.

He's in contention to make 88 in a row.
20231006_183449.jpg
 
Arteta (Arsenal record vs City recently)


“I think (we can) change it. When I came here it was so many years at Old Trafford, and also at Stamford Bridge and we've done it. So let's change it”
 
Kwenye tuzo ya coach Bora wa mwezi September
Kati ya hawa lazima mmoja aibuke kinara
Kati Mikel arteta au postecoglou wa Tottenham
Hawa wengine mwezi September walipoteza match moja kila mmoja
 
Kwenye tuzo ya coach Bora wa mwezi September
Kati ya hawa lazima mmoja aibuke kinara
Kati Mikel arteta au postecoglou wa Tottenham
Hawa wengine mwezi September walipoteza match moja kila mmoja
akiwa Arteta ina faida gani kwa Arsenal??
 
Hili swali linaulizwa na mtu aliyeenda shule kweli?

Hivi Ni lazima nihangaike na comment zangu kujibu utumbo ?
Akiwa Arteta Kocha Bora kuanzia January mpaka December,itaiongezea Arsenal points za kuchukua UBINGWA??kwamba kuna advantage ya Points 10 za bure kwa ARTETA kuwa Kocha Bora wa mwezi??wewe ndio unaleta taarifa UHARO zisizo na faida kwa mashabiki
 
Akiwa Arteta Kocha Bora kuanzia January mpaka December,itaiongezea Arsenal points za kuchukua UBINGWA??kwamba kuna advantage ya Points 10 za bure kwa ARTETA kuwa Kocha Bora wa mwezi??wewe ndio unaleta taarifa UHARO zisizo na faida kwa mashabiki
Wewe unawashwa, nimekutag ?ukiona haikufahi ujue haikuhusu

Acha usenge
 
The only Midfield I wanna see tomorrow...
Put Kai Havertz on top, Jesus wing and saka wing then we'll cook
20231007_084425.jpg
 
Back
Top Bottom