Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kiukweli kai bado hajafikia mchango wa alichokitoa xhaka. Kwa upande wangu kama martineli hatakuwepo ningependa Kai acheze 9 jesus na saka pembeni
Hili swali mbona lilijibiwa Sana

Kai sio Replacement ya Xhaka

Anayefikiria Kai Ni replacement ya Xhaka hajui Arsenal inachezaje,na ndio hao timu ikidrop point wanachojua kutukana kumlalamikia Kai


Arsenal tuna LCM watano, Rice,Smith Rowe,kai,Vieira , Trossard

Kila mmoja hapo akicheza hilo eneo wanacheza tofauti na kila mmoja huwa anacheza kwa malengo tofauti na mwengine akicheza hapo


Sasa ukiona mtu anasema Kai Ni replacement ya Xhaka , anakuwa haelewi Arsenal inachezaje ,inajengaje mashambulizi,akicheza Rice je malengo ni yapi ,akicheza Kai malengo ni yapi

K
 
utawaaminisha ujinga na kuwalisha matangopori haohao mazezeta wenzako,hujui lolote kwenye Mpira zaidi ya kuzungusha makalio tu
Toa fact tukuelewe ,

Ndio Maana mnajenga Sana chuki

Kama unataka kujadili na Mimi

Jiandae kwa evidence za takwimu,picha ,hata na video


Kusema tu mm muongo, na matusi mengine

Ni kiashirio huna hoja

Na Kama huna hoja unatakiwa ukae mbali na Mimi ,maana utaniona adui
 
Kiukweli kai bado hajafikia mchango wa alichokitoa xhaka. Kwa upande wangu kama martineli hatakuwepo ningependa Kai acheze 9 jesus na saka pembeni
Arteta aliwahi kusema hajmaleta Kai Kama mbadala wa Xhaka,

Bali Ni Arsenal ibadilike kutoka kucheza na Xhaka na kucheza vingine


Na wengi wanaomlaumu Kai Ni wanaomfananisha Kai na Xhaka

Kai hajafikia kucheza vzr sana Wala vibaya

But sio kweli kwamba Hakuna mazuri anayofanya na ndiyo yanampa nafasi kuanza
 
Mikel Arteta confirms Bukayo Saka is in contention to play against Manchester City on Sunday.

He also confirms Thomas Partey is back and will be in the squad.

While Pep Guardiola has said John Stones is not fit for the game this weekend.

We can do this. #afc
 
Kama unafanya analysis vzr kabisa eneo la LCM wapo watu ambao wanaweza kukupa Radha tofauti na Kai na wanastahili kuanza ,vile vile kama unataka kumtumia Kai as CF na una nketiah, Kai ana faida kubwa

Labda uweke chuki ambazo sijui zinatoka wapi,

Mech na city, Community shield, Kai alicheza vzr tu as CF, na ni nafasi ambayo naona atatumika Sana sababu karejea Partey ,hivo Rice atashift LCM,

Kwa malayman wa soka ukimwambia mtu umuhimu wa Duels(aerial na ground) hawez kuelewa kamwe, mfano manjesta kwasasa timu nyingi zinawazid maeneo hayo ,ndio maana wanafikiwa kirahisi ,hawashindi mipira ya 50/50 ,


Unapocheza na City unahitaji kummatch maeneo mengi ,kwenye kiungo utamuhitaji CF wako arudi kusaidia ,Je nketiah anaweza hiyo kazi?

Utahitaji kiungo wa phase ya 2 wawe angalau wawili kupokea mipira ,Nketiha anaweza Hilo?

Pale mbele ukiwa na Jesus ,Kai una uhakika wakupora mipira au kuzuia isiende maeneo hatarishi ,sio nketiah
Cha-mbuzi

Cha- goat

Cha-mmeeee
 
Arteta aliwahi kusema hajmaleta Kai Kama mbadala wa Xhaka,

Bali Ni Arsenal ibadilike kutoka kucheza na Xhaka na kucheza vingine


Na wengi wanaomlaumu Kai Ni wanaomfananisha Kai na Xhaka

Kai hajafikia kucheza vzr sana Wala vibaya

But sio kweli kwamba Hakuna mazuri anayofanya na ndiyo yanampa nafasi kuanza
Hakuna anaye mfananisha na xhaka, ila jamaa uwezo bado mdogo sana Hakuna alicho ongeza kwenye Team.
-Angalia sajili ya Rice na ina impact gani kwenye Team.
-Same kwa Timber kabla ya injury unaona kabisa kuna kitu tuna benefit uhitaji kutumia akili nyingi.
-Sasa uyu KAI Mnajikuta mnachambua Details za kijinga ambazo hazina mchango wowote kwenye Team.
 
kucheza na city inabidi uwe timamu kimwili na umakini wa hali ya juu katika dk zote tisini.

hakuna kocha ambae anaweza kumzuia pep asicheze mpira wake anoutaka.

muhimu kuvizia nafasi ikipatikana unatia kamba watu wanarudi kati ila kucheza nao kwa kushindana ni ngumu..
 
Kiukweli kai bado hajafikia mchango wa alichokitoa xhaka. Kwa upande wangu kama martineli hatakuwepo ningependa Kai acheze 9 jesus na saka pembeni
9? Wakati kufunga hawezi....!! Ni mara 10 tumuweke Trossard kama 9 na ESR kama left wing ila sio hii takataka haina msaada wowote yupo slow sana kwenye attacking.

Tutazidi kupoteza mechi kila tukiforce kum accommodate kwenye mechi.
 
kucheza na city inabidi uwe timamu kimwili na umakini wa hali ya juu katika dk zote tisini.

hakuna kocha ambae anaweza kumzuia pep asicheze mpira wake anoutaka.

muhimu kuvizia nafasi ikipatikana unatia kamba watu wanarudi kati ila kucheza nao kwa kushindana ni ngumu..
Hili sio kwa Arsenal hii ya ku overload na ku win aerial duels.

Easy game kwa False Hopes Fc. Li-tarakalishi kubwa kabisa(supercomputer) limetabiri Arsenal anashinda 3 kwa 1.

Huku Kai master akiwa na goli na assist
 
Screenshot_20231006-153049.png
 
kucheza na city inabidi uwe timamu kimwili na umakini wa hali ya juu katika dk zote tisini.

hakuna kocha ambae anaweza kumzuia pep asicheze mpira wake anoutaka.

muhimu kuvizia nafasi ikipatikana unatia kamba watu wanarudi kati ila kucheza nao kwa kushindana ni ngumu..
Nasemaje! City wakitaka kupishana tutapishana.. Lakini lazima tucheze mpira wetu.

Mambo ya kukaa nyuma tuwaachie nyumbu.
 
Kwa hali ya majeruhi ya kikosi cha City,Gunners mna nafasi kubwa sana ya kushinda mechi ya kesho msipoweka ujinga wa kupress na kuwin aerial duels kupitia Kai. Chezeni direct football kwa kutumia viberenge wenu kama mnataka matokeo na sio sifa za kijinga za kushinda with style.
 
Martinelli ana pace, Saka ana pace, Jesus ana pace, Trossard ana pace.

Trossard na jesus wanaweza kucheza upande wowote. Kocha mwenye hawa wachezaji 4 akiamua kufocus na ushindi na siyo kutaka kutunishiana msuli angeacha lcm akae Trossard. Kulia Saka, kushoto Martinelli na katikati Jesus.

Kisha mid ni Rice na Partey

Backline ile ile ya siku zote.

Hao wanne wanakua hatari kwa kaunta na kufosi.

Erlki kichwa ngumu angekua na hao wanne yale maneno ya jeuri aliyoanza nayo angekua anayatoa kila siku
 
Martinelli ana pace, Saka ana pace, Jesus ana pace, Trossard ana pace.

Trossard na jesus wanaweza kucheza upande wowote. Kocha mwenye hawa wachezaji 4 akiamua kufocus na ushindi na siyo kutaka kutunishiana msuli angeacha lcm akae Trossard. Kulia Saka, kushoto Martinelli na katikati Jesus.

Kisha mid ni Rice na Partey

Backline ile ile ya siku zote.

Hao wanne wanakua hatari kwa kaunta na kufosi.

Erlki kichwa ngumu angekua na hao wanne yale maneno ya jeuri aliyoanza nayo angekua anayatoa kila siku
Halafu De li capitano ode asicheze au?
 
Back
Top Bottom