hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,302
- 26,696
Hili swali mbona lilijibiwa SanaKiukweli kai bado hajafikia mchango wa alichokitoa xhaka. Kwa upande wangu kama martineli hatakuwepo ningependa Kai acheze 9 jesus na saka pembeni
Kai sio Replacement ya Xhaka
Anayefikiria Kai Ni replacement ya Xhaka hajui Arsenal inachezaje,na ndio hao timu ikidrop point wanachojua kutukana kumlalamikia Kai
Arsenal tuna LCM watano, Rice,Smith Rowe,kai,Vieira , Trossard
Kila mmoja hapo akicheza hilo eneo wanacheza tofauti na kila mmoja huwa anacheza kwa malengo tofauti na mwengine akicheza hapo
Sasa ukiona mtu anasema Kai Ni replacement ya Xhaka , anakuwa haelewi Arsenal inachezaje ,inajengaje mashambulizi,akicheza Rice je malengo ni yapi ,akicheza Kai malengo ni yapi
K


