



Shida sio kumaliza na 12points, shida ni uliziaminisha Kondoo za humu kua hamtafungwa wala kutoa draw mpaka mtakapoongoza group kwa points 15 - 18 halafu ukawaambia kabisa kua ni Uhakika.
Juzi mlivyogongwa na Lens mlikua na points ngapi?
Masingeli nakukumbusha tu hii ni Uefa ndugu yangu, haya sio mashindano ya FA wala Emirates cup, timu zote unazoziona humu ni ile cream iliyochujwa vizuri kutoka kwenye ligi mbalimbali za ulaya, ukija na matokeo yako ya mfukoni utaishia kujipiga ban tu mwenyewe.
View attachment 2773148