Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuna tatizo la kutokua na shot takers wa nje ya boksi.

Odegaard alipofika alikua ana hilo tatizo. Akalifanyia kazi shida inakuja kwamba ni peke yake kafanyia kazi na siyo constant shot taker. Anaweza akashoot mara moja na asirudie tena.

Same na Saka.

Naamini kuna kitu tunakosa
 
Yaan mtu anaamini tukae nyuma tuvizie kaunta

Huo ujinga tuwaachie manjesta na kina Burney

Huyo Mancity mechi ya mwisho tulimpakisha Basi Hadi akakubali kutoa goli

Arsenal Ni mwiko kukaa nyuma ,ujanja wote wakumpakisha mtu Basi tunaujua


Pep juzi alisema the secret of big teams huwa Ni ku overload upande mmoja Kisha wanashambulia ule upande ulio weak

Tena Tutakuwa na Uncle Tom , Rice ,Jesus ,Zinny, unaanzaje kupaki Basi


Huo ujinga waachiwe manjesta ,Luton, Burney na kina Everton

Hata Chelsea alipocheza na Liverpool msimu huu aligoma kujifanya anamuheshimu

Narudia huo ujinga aachiwe ETH na Genge lake
 
Yaan tupaki Basi ,huo ukenge waachiwe manjesta na 7hag, Luton, Everton na Sean Dyche

Hapa Pep alipiga goti baada ya Kuingia Trosaard ,Fabio Vieira,Smith Rowe

Na mfumo kubadilika kuwa 2-2-6

Manjesta akicheza hivo anapigwa 10-0
20231006_201856.jpg
 
“Any team in the Premier League has the tools and the qualities to beat you.”

Mikel Arteta on Wolves beating Manchester City last weekend.
 
“Arsenal - The biggest rival last season. They have already arrived and they will stay there for a long time.”

Pep Guardiola says Mikel Arteta’s young Arsenal side will remain fighting for the biggest titles for a ‘long time’.
 
Arsenal
Liverpool

Pep Guardiola names the two biggest contenders to challenge Manchester City for their Premier League title this season.
 
Goli la jana la kwanza la Liva jinsi lilivyopatikana Arsenal hatuuwezi ule mpira. Lakini sisi tushafungwa magoli ya vile.

Na timu complete inatakiwa iexploit kila fursa. Kuanzia long balls, transitional na JDP. Sisi tumebase sana kwenye JDP, ingawa tuna wachezaji wa kucheza kivyovyote.

In theory ni kwamba timu inayomiliki mpira backline ikifika katikati kisha forwards pinzani wakaupata mpira basi kuna nafasi ya hiyo move kua goli. Msimu uliopita tulifanya hivyo dhidi ya Brighton.

Na sisi pia tushaconcede magoli ya hivyo. Backline inapanda hadi kati watu wakiunasa mpira ni 1,2 thru balls mpaka chuma. Kwanini hatuwezi kuexploit mpira wa hivyo?
 
Last season Pep alisema Arsenal ipo kwenye mbio za ubingwa na anaiheshimu kisha msimu ulivyoisha akasema Arsenal imeshinda taji lake kubwa zaidi (kushiriki UEFA)

Msimu huu anatuita title contenders.

Ni same script
 
Nketiah ana finishing nzuri kuanzia lini? Anamzidi Trossard?
Actually yes.

Ni haiingii akilini kwa macho ila ndiyo ipo hivyo. Yaani kuna uwezekano mkubwa Nketiah akaconvert chance kua goli consistently kuliko forwards wengine
 
Actually yes.

Ni haiingii akilini kwa macho ila ndiyo ipo hivyo. Yaani kuna uwezekano mkubwa Nketiah akaconvert chance kua goli consistently kuliko forwards wengine
Na moves anazouaga hauzioni? Wakati mwingine tunataka striker ambaye asiposcore, ana uwezo wa kucreate chances za magoli au mashambulizi. Nketiah hana uwezo kama wa Trossard. Trossard ana uwezo wa kufunga sehemu yoyote na anacreate magoli
 
Last season Pep alisema Arsenal ipo kwenye mbio za ubingwa na anaiheshimu kisha msimu ulivyoisha akasema Arsenal imeshinda taji lake kubwa zaidi (kushiriki UEFA)

Msimu huu anatuita title contenders.

Ni same script
Jamaa ana maisha yake Hollywood.anajua kuigiza mno.kuna muda natazama akili yake na alivyo decent liar najikuta namuona TOM CRUISE mjinga anaweza sana mind game

Kesho atatushangaza kwa kikosi ambacho hatukukitarajia kabisa
 
Na moves anazouaga hauzioni? Wakati mwingine tunataka striker ambaye asiposcore, ana uwezo wa kucreate chances za magoli au mashambulizi. Nketiah hana uwezo kama wa Trossard. Trossard ana uwezo wa kufunga sehemu yoyote na anacreate magoli
Yaani hapo ni finishing pekee haijaangaliwa kulink up play, kusumbua mabeki na vitu kama hivyo.

Ndiyo maana Nketiah asiposcore hauoni chochote alichofanya kwakua huko kwingine ni mbovu
 
Back
Top Bottom