Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hamisi na wenzake walisema Arsenal kapangwa group jepesi mno kuna Sevilla mechi 2 away na home zinafuata ndio atajua champions league sio mashindano ya mdomoni
Hilo grupu point uhakika Ni 15-18

Mechi zilizobaki uje hapa

Usitokee tukifungwa tu
 
Point 15 zipo pale pale

Kufungwa Leo Ni bahati mbaya tu

Lens Emirates anakuja kula kipigo

Sevilla anaacha points 6


Anayebisha ajitokeze hapa,sisi sio manjesta
 
wanakwambia finali wanacheza na City. Fake hopes

Pastor mackenzie alikua anakuambia madrid hatishi then timu yake haiachi point mpaka wafikishe 15 vijana wakalishwa false hope wakazipokea kwa mikono 2.

Hao ni lens tu mazee ambao wapo chini huko lakini mambo ndo kama mnavyoona.
 
Maneno ya mkosaji haya mkuu🤠🤠...tukubali tu defensively leo tumefanya makosa mengi na yametugharimu...magoli yte mawili ni uzembe tu...Man U kufungwa sio habari tena ila arsenal kufungwa ndo habari kubwa kwa leo....wacha waje watusagie kunguni na kina Labyrinth 84...ila kesho na sisi tutakuwa pamoja na Mbappe atufute machozi 🤠🤠🤠
Afadhali nyumbu nayeye kafa
 
Nobody cares kuhusu nyumbu, nowdays nyumbu kupigwa ni Jambo la kawaida
Ila akipigwa arsenal ni habari ya kutikisa jiji
 
Au nyie kuna msimu hamkufungwa Group Stage? Okay kufungwa game 1 grouo stage ni tafsiri kuwa hatutofuzu.?


Points 15 zipo pale pale
 
Kaka katika kitu siwazi ni kufungwa leo wallah hata sijaumia maana najua bado tuna mechi za kucheza
 


#Arsenyo Uefa champions
#Kai Harvez Balon D'or
Jukwaa lenu mmetelekeza kule


Mmekuja humu kusaka furaha feki dah mnaishi maisha magumu Sana

Arsenal ataongoza hili kundi mzee baba


Jiulize manjesta hata Europa ataenda
 
Back
Top Bottom