BONNIE GOLD
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 467
- 937
Wapuuzi ukisoma comments zao humu, unawesa ghairi kupeleka timu uwanjani. Wanadai watamaliZa kundi na points 15 mpaka 18.
Hilo grupu point uhakika Ni 15-18Hamisi na wenzake walisema Arsenal kapangwa group jepesi mno kuna Sevilla mechi 2 away na home zinafuata ndio atajua champions league sio mashindano ya mdomoni
Kila mtu abaki kwny group lake huku group la Arsenal unafata nn...nendeni kule kwenu mkaangalie namna ya kufanya msipoteze mechi zilizosalia za kundi ndugu zetu Man U
Vijana wanawaza mambo makubwaKwa hiyo mna wazo la kumfunga City...akili ya KENGE bana.
![]()
Tusijali wanangu Footwork ya Raya lazima itupe ubingwa kama sio footwork ya raya ni hizo clean sheet zake.
Arsenal UEFA
KAI kiatu.
COYG




wanakwambia finali wanacheza na City. Fake hopesTusijali wanangu Footwork ya Raya lazima itupe ubingwa kama sio footwork ya raya ni hizo clean sheet zake.
Arsenal UEFA
KAI kiatu.
COYG
Sio kweliRamsdale is better than Raya.
Ni aibu kujifananisha na nyumbu ,hao hawana timuAfadhali nyumbu nayeye kafa
wanakwambia finali wanacheza na City. Fake hopes
then timu yake haiachi point mpaka wafikishe 15 vijana wakalishwa false hope wakazipokea kwa mikono 2.Sio kweli
Mnakera timu ikifungwa mnakuja na Ngonjera zakijinga
Mbona ikishinda mnapotea humu
Afadhali nyumbu nayeye kafa
Nketiah Balon D'or



unajua hii timu ni ya kiwango kingine kabisa kama tulivyoambiwa yaani hata first 11 ni mpaka jezi zirushe juu .Jukwaa lenu mmetelekeza kule
#Arsenyo Uefa champions
#Kai Harvez Balon D'or