Tactically tunahitaji mtu mmoja wa pemben ambaye Ni Runner tumtumie kwenye transition ,thus why Mikel anapenda kuanza na Martinelli over Trossard
Mancity wakipoteza mpira wanarud kwenye rest defence Yao yenye 4CBs , bila kuwa na runner inakuwa ngumu kuwafungua
Kaangalie magoli wanayofungwa lazima awepo Runner ,Juz Pedro Neto kawakimbiza kutoka mbali Hadi Goli .
Saka anategemea 1v1 huwez kumkuta kwenye kutanguliziwa mpira mbele ,
Trossard the same
Nime prefer Jesus sababu

Atacheza Kama Winger asilia

Atatusaidia kufanya pressing Ni best kwenye pressing ,plus Kai Ni best kwenye pressing, na saka
So tutakuwa na pressing nzuri pale mbele
Lakini tukifanya transition ,Jesus Ni mzuri kukimbia nyuma ya mabeki
Hii ndio sababu na prefer tuanze na
Jesus Kai Saka