Mmeona hafungi anazurura tu uwanjani ikabidi mumpe penalt.Dah mashabiki wamempigia kura Kai ya MOT?[emoji1787][emoji1787]
Nimependa hii sapoti
Nani alisikia ule wimbo alikuwa anaimbiwa Kai wa wakawaka
Waka waka, eh, eh,
£60M down the drain,
Kai Havertz scores again
[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]View attachment 2768500