Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna timu hazitaleta timu uwanjani.

Akirudi na Timber ndo kabisaa watakubali yaishe watupe kombe letu.
Yule mwamba mpk mwakani mwezi wa tatu huko....angekuwepo Timber aisee mpk Sasa mechi ambayo tungekuwa tumeruhusu goli ni ile ya Tottenham....hzi nyngne isingetokea...maana tumefungwa kienyejienyeji sana
 
Declan Rice and Thomas Partey Will be Available for selection against Manchester City next
IMG-20231001-WA0022.jpg
 
Vitu tunavyopenda kusikia hivi🤠🤠🤠...halafu ndugu zetu Liverpool kama nimesikia mechi ijayo wanacheza na Brighton 🤠🤠
Na Brighton walivyo unpredictable, utashangaa hiyo game wanabadilika linapigwa boli hatari.

Msimu uliopita Liverpool hawakupata point hata moja kwa Brighton, na walikutana mara 3.. kwenye ligi mara 2 na FA/EFL mara 1.

Brighton aliondoka na alama 6 kwenye ligi na ushindi kwenye cup.
 
nafikiri nelson kutokupata dk nyingi uwanjani mbele ya jesus licha ya kuumia kwa trossard na martinelli ni energy ya kupambna..

ile role inataka uwe na nishati ya kutosha mda wote mana ni upande unaokuwa upo isolated sana mara nyingi wkt wa mechi.
 
Sanchez alipotua unyumbuni hayakuoita ata masaa 6, alimuambia wakala wake wakatengue mkataba arudi zake the Gunner

Arsenal is a big lovable family, real meaning of home sweat home
Havertz kufunga bao ilikua ni hamu ya kila mchezaji na mtu ndani ya Club ya Arsenal na hilo limeonekana baada ya Post yake Instagram ambayo ilijibiwa na wachezaji pamoja na viongozi wa Arsenal kwa furaha na kuonesha imani kubwa kwake.

#Umoja

20231001_192736.jpg
 
Havertz kufunga bao ilikua ni hamu ya kila mchezaji na mtu ndani ya Club ya Arsenal na hilo limeonekana baada ya Post yake Instagram ambayo ilijibiwa na wachezaji pamoja na viongozi wa Arsenal kwa furaha na kuonesha imani kubwa kwake.

#Umoja

View attachment 2769026
Huyu ni MTUMISHI HEWA tu anakula Mshahara wa bure,hana impact yoyote kwenye Timu hivyo awepo au asiwepo ni SAWA tu,huyu ndio inatakiwa AUMIE awe nje hata msimu mzima hakuna shida,ni UHARO tu kama MIHARO mingine
 
Huyu ni MTUMISHI HEWA tu anakula Mshahara wa bure,hana impact yoyote kwenye Timu hivyo awepo au asiwepo ni SAWA tu,huyu ndio inatakiwa AUMIE awe nje hata msimu mzima hakuna shida,ni UHARO tu kama MIHARO mingine
Hili ndo tatizo kuangalia mpira kwa kukariri, unaposema Kai ni mtumishi hewa unamaanisha nini?

Hadi sasa Kai bado hajawa vizuri miguuni akipokea mpira kama wenzake (anacheza kawaida siyo vibaya, wala sio vizuri), lakini defensively Kai ana mchango mkubwa kuliko Viera.

Wa kumuweka Kai benchi ni hadi Partey apone, namba yake acheze Declan Rice, au kwa mechi zisizo hitaji physicality kubwa, acheze Fabio Viera
 
Hili ndo tatizo kuangalia mpira kwa kukariri, unaposema Kai ni mtumishi hewa unamaanisha nini?

Hadi sasa Kai bado hajawa vizuri miguuni akipokea mpira kama wenzake (anacheza kawaida siyo vibaya, wala sio vizuri), lakini defensively Kai ana mchango mkubwa kuliko Viera.

Wa kumuweka Kai benchi ni hadi Partey apone, namba yake acheze Declan Rice, au kwa mechi zisizo hitaji physicality kubwa, acheze Fabio Viera
Namaanisha hana mchango wowote kwenye Timu zaidi ya kurukaruka tu
 
Namaanisha hana mchango wowote kwenye Timu zaidi ya kurukaruka tu
Hadi sasa kitu anachonikera Kai ni kuwa na kama low confidence akiwa na mpira, hauwezi ukamuona anapiga penetration pass kama Fabio Viera.

Lakini mwangalieni vizuri tunapokuwa tunashambuliwa au wanagombea mipira (hasa ya juu, jinsi anavyowin kirahisi), utagundua kimtindo flani Kai ameimprove workrate yake. Kaangalie Tena marudio ya game iliyopita alafu ujiulize Tena kwa workrate ile kusema ni mtumishi hewa ni sawa?
 
Back
Top Bottom