Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Kuna timu hazitaleta timu uwanjani.Ramsdale muoga kucheza Kama Beki wa Kati tofaut na Raya
Tuna mechi ngumu vs City ,ikipita hiyo , Partey anarejea , nataka Midfield ya Party Rice na Ødegaard kwenye mfumo huu 4-3-3 ,
Akirudi na Timber ndo kabisaa watakubali yaishe watupe kombe letu.



