Arsenal (The Gunners) | Special Thread

La kwanza hilo...hyo bek yenu kama ya Mji Mpwapwa...naona mnashika matama vijana.
 
Kusema kweli siku hizi nikiona line up ya Arsenal inatia huruma sana
 
Mimi hua niko neutral
Arsenal kwa leo wako tayari kichwa wameweka kuchinjwa kama yatapungua basi matatu kama yatazidi ni matano kwendea juu
kwani hata ule mpira wao wanaocheza kila siku leo haumo
 
Van persie penati gani hile sasa? mpaka penati tunapiga kwa uoga?

Duh 2-0 Arsenal ndio basi wanaweza kufunga ila kufungwa wasipotizama yatazidi.. unajuwa kwanini Van parsie kakosa ile penalt kamtizama mshabiki wa united mwenye kitambaa upande wake wa kulia anatingisha akaamuwa asipige kule ndio navyofikiri ila pia good save kwa de gea i hope Arsenal watapata draw.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…