Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Acha uganga ndugu, wameipata ?
Hvi vitimu vidogovidogo....sijui kina Brentford sijui Bournemouth sijui kina Man U sijui Chelkenge....vitapata tabu sana msimu huu kucheza na arsenal....vinaanza na moto mwingiii...ikifika dakika ya 15 wanakata moto....tunaanza kutoa shule ya bolu Sasa....tunakufunga huku tunakufundisha namna ya kucheza bolu🤠🤠
 
Naona swala la Kai kufunga penati halizungumziwi kabisa. Flano na genge lake sijui wako wapi?!
KAI ni mchezaji wa kawaida sana,niliwahi kuandika humu kwamba ili afikishe magoli angalau matano basi inabidi kila Penati awe anapewa yeye,zaidi ya hapo ni Mtumishi Hewa pale hana jipya analoliongeza,ni mzigo kama mizigo mingine tu
 
KAI ni mchezaji wa kawaida sana,niliwahi kuandika humu kwamba ili afikishe magoli angalau matano basi inabidi kila Penati awe anapewa yeye,zaidi ya hapo ni Mtumishi Hewa pale hana jipya analoliongeza,ni mzigo kama mizigo mingine tu
Ni mawazo/maoni yako, naheshimu.
 
Mwendo ni ule ule tu upangaji wa kikosi ni kurusha jezi juu atakaewahi hata kama ni majeruhi atacheza

Rice

Saka

Saliba wamewahi jezi na wameubonda vile .
 
Nimependa saka, alivyompa Odegard apige penalty
Na pia akampa Kai apige penalty

Inanikumbusha Messi na vijana wake Neymar na Suarez
Upendo wa hali ya juu Sana, hakuna ubinafsi
.

Waambieni manshit hatuna shida na kiatu
 
Back
Top Bottom