lumbi lumbi
Senior Member
- May 30, 2017
- 173
- 160
Spurs mtori sana aisee Yaan red card mbili kufunga anashindwa..alitukazia sana ile Game..
Daah liva amwcheza kiume sana lakini ndio hivyo wamejifunga dakika za jioniSpurs mtori sana aisee Yaan red card mbili kufunga anashindwa..alitukazia sana ile Game..
Daah liva amwcheza kiume sana lakini ndio hivyo wamejifunga dakika za jioni
️ 
Hana dreadNketiah, Chelsea hawamuoni??
VAR ina ajenda gani, kila nikiangalia goli la Diaz naona alikuwa ONSIDE..
Msimu uliopita ilitunyonga sisi.
Msimu Liverpool anachukua kombe alipewa goli la offside nadhani ilikuwa game na west ham sijui, sina hakika.
Dhidi ya Liva Spurs anacheza kwa kurelax kuliko alivyocheza na sisi.
City kafa
Nyumbu kafa
Jesus ana threat pia akicheza pembeni kama LW.Martinell out
Troussard out
Jesus LW
Why not Nelson???
Nyie Kima timu kubwa zote jana zimefungwa, kama umekaona katimu kako jana kameshinda basi jipige kifuani mara tatu kisha useme sisi ni Mid Table Team(MTT)City kafa
Nyumbu kafa
Huyo mwamba nimemkubali, ana utulivu wa hali ya juu SanaKwa ninavyoona performance ya Raya, ni dhahiri Ramsdale anaenda kumuachia no. 1 spot.
Raya anatishia amani aisee, anapiga mipasi kama hana akili nzuri.
Huwa ananifurahisha zaidi akienda kucheza mipira ya juu.. nyiee!
View attachment 2767987
Anachokifanya Raya kwenye hizi mechi nne mashabiki wa United wamekisubiri kwa onana kwa miaka 8Kwa ninavyoona performance ya Raya, ni dhahiri Ramsdale anaenda kumuachia no. 1 spot.
Raya anatishia amani aisee, anapiga mipasi kama hana akili nzuri.
Huwa ananifurahisha zaidi akienda kucheza mipira ya juu.. nyiee!🙌
View attachment 2767987
In terms of kutibua build up sisi tulikua vyema kuliko Liva.Ishi humu……North London derby