arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Zimebaki mechi 3...mkidundwa hzo🤠🤠🤠...rasmi top 4 muisahau mgombanie nafasi ya conference league huko....hzo mechi 3 ni dhidi ya Man City...Liverpool na Chelsea....yaani mjitahidi mbebe points 9🤠🤠Nyie Kima timu kubwa zote jana zimefungwa, kama umekaona katimu kako jana kameshinda basi jipige kifuani mara tatu kisha useme sisi ni Mid Table Team(MTT)
FA jana waliweka mtego kwa timu zinazotakiwa kuingia top4 msimu huu lazima zidondoshe 3points, mlivyokua na akili mbuzi mkashindwa hata kusanuka, Akili mtu wangu sio kila kitu mpaka mfundishwe darasani.
View attachment 2768054


).
Hapa Villa wata piga pesaa kubwa


