Kwhyo wameona wawaweke Man U na Newcastle wacheze wnyewe kwa wnyewe sio.....hii game Newcastle anadundwaHIKI KIKOMBE MWAKA HUU TUNAPITA NACHO
𝗖𝗔𝗥𝗔𝗕𝗔𝗢 𝗖𝗨𝗣 𝗗𝗥𝗔𝗪
MansfieldPort Vale
IpswichFulham
Manchester UnitedNewcastle
BournemouthLiverpool
ChelseaBlackburn
West HamArsenal
EvertonBurnley
ExeterMiddlesbrough
#CarabaoCup
tunakutaka wewe sisi liver hatumtakiKai kaubonda mwingi sana, alikua anagawa miassist kama yote ila mfungaji ndio hakuna, Tomiyasu leo kapiga kazi kwelikweli akitoka uwanjani moja kwa moja anaenda kujitupia kitandani na viatu vyake.
Daaaahhh mwanangu mwenyewe Mwaisa (Wissa) pamoja na Mbouma leo migoli ilikua inawakatalia kuingia wavuni yaani kila wakilenga goli mpira unaishia kugonga besela au unatoka nje.
Jini katoka ila mganga hana hamu yu taabani.
Arsenyo mechi inayofata wacheze tu na Liverpool kisha wapewe kombe lao maana Masterclass, The genius, Tactician hata akiwapanga Ball boys first eleven bado ana uhakika wa kuchukua 3points.
#Arsenyo Treble
#Nketiah Kiatu
#Kai Ballon D'or
Big club in England sio arsenal tu, zipo zaidi ya 6 brother....huyo kazivutia zote top sixVictor Osimhen [2020]
“I spoke with Arsene Wenger after the tournament (Under-17 World Cup) ended and he wanted me to come to Arsenal...Of course, one day I'd like to play for a big club in England”
Kwa kauli kama hii ndio hua unawatbua kina Flano na genge lake![]()


huyo Masingeli ni Motivational speaker wala hatupi tabu tumeshamzea. Hata kama ndoto yake ni kucheza England ila sidhani kama Madrid wakimtaka kwenda kuziba pengo la Benzama atachomoa.Big club in England sio arsenal tu, zipo zaidi ya 6 brother....huyo kazivutia zote top six
Wewe haugopi kucheza na bingwa mtetezi?tunakutaka wewe sisi liver hatumtaki




Ofkoz gemu na Nyukesto mtashinda vzuri tu na sisi wale watoto wadogo West Ham tutaenda kuwafundisha bolu pale kwao🤠🤠🤠....baada ya hapo tutakutana na nyny na nna wasiwasi mtakuja tena Imarate....tuje kuwafundisha tena nn maana ya kuovalodi kiungo🤠🤠Wewe haugopi kucheza na bingwa mtetezi?
Mwenzio Masingeli anaomba dua tutolewe na Newcastle ili asijekukutana na mbogo alietoka kujeruhiwa![]()
Natamani iwe ivo lakini karoho kananisutaKai kaubonda mwingi sana, alikua anagawa miassist kama yote ila mfungaji ndio hakuna, Tomiyasu leo kapiga kazi kwelikweli akitoka uwanjani moja kwa moja anaenda kujitupia kitandani na viatu vyake.
Daaaahhh mwanangu mwenyewe Mwaisa (Wissa) pamoja na Mbouma leo migoli ilikua inawakatalia kuingia wavuni yaani kila wakilenga goli mpira unaishia kugonga besela au unatoka nje.
Jini katoka ila mganga hana hamu yu taabani.
Arsenyo mechi inayofata wacheze tu na Liverpool kisha wapewe kombe lao maana Masterclass, The genius, Tactician hata akiwapanga Ball boys first eleven bado ana uhakika wa kuchukua 3points.
#Arsenyo Treble
#Nketiah Kiatu
#Kai Ballon D'or
Tunao ijua arsenal tunaelewa haina madhara kwenye makombe, licha ya mashabiki wake kupiga nduru humu ila matokeo ya mwisho tunajua mnamaliza trophy less.0-1 vs. Brentford
2-2 vs. Tottenham
4-0 vs. PSV
0-1 vs. Everton
3-1 vs. Manchester United
2-2 vs. Fulham
0-1 vs. Crystal Palace
2-1 vs. Nottingham Forest
Ukiwasikiliza watu humu unaweza dhani arsenal imepoteza mechi 7
Unataka ku discuss nn....mechi zinachezwa kesho....Mmeshaanza kupakimbia humu ndani mapema hivi.😁
Kabla ligi haijaanza uzi ulikuwa unapata baridi kileleni. Baada ya mechi kadhaa wanakuja kila baada ya ya masaa saba. Ikifika December uzi ushasahulika kama ule wa TottenhamMmeshaanza kupakimbia humu ndani mapema hivi.![]()

Nabii Kibajaji01Tunao ijua arsenal tunaelewa haina madhara kwenye makombe, licha ya mashabiki wake kupiga nduru humu ila matokeo ya mwisho tunajua mnamaliza trophy less.
😳😳Nasikia saliba nae Amepata Injury![]()
Aisee 🤔Nasikia saliba nae Amepata Injury![]()