Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Tukiwa na Jorginho kiungoni tunakua unstable and easily exposed!Jorginho aisee hizi sio mech zake ,asubiri Carabao
Katufanya tupotee kiungo
Tukiwa na Jorginho kiungoni tunakua unstable and easily exposed!Jorginho aisee hizi sio mech zake ,asubiri Carabao
Katufanya tupotee kiungo
Pale angetoka nketiah,Jesus arud Kati, Nelson pembenFloppy Nketiah anamaliza 90'
Mikel, are you mad!???
Kwanini
Sababu Manchester City na Liverpool inaonekana still ni wa moto last season Arsenal alikuwa wa moto 4 points vs City ni dalili mbaya licha ligi bado ipo mapema sanaKwanini
Yaan Bora acheze na Partey ,tumekuwa timu tofaut 2nd halfTukiwa na Jorginho kiungoni tunakua unstable and easily exposed!
Nenda kacheze wewe kama rahisiPale angetoka nketiah,Jesus arud Kati, Nelson pemben
Toka first half hakuwa sharp kabisa dah
Mkuu kwa pale nje kulikuwa hakuna zaidi in my view.Floppy Nketiah anamaliza 90'
Mikel, are you mad!???
Sikutarajia arudi kabisa 2nd halfFloppy Nketiah anamaliza 90'
Mikel, are you mad!???
Rice nahisi kapata knock , kutomrisk ndio maana katokaJorginho alitakiwa acheze na rice. Viera au nketia mmoja wao hakutakiwa kuanza
Nenda kacheze wewe Sasa kama rahisi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sikutarajia arudi kabisa 2nd half
Ruthless aliyoifanya kwa Ramsdale impitie na nketiah
Mapema sana ilikua atoke Nketiah aingie Nelson/ESR.Mkuu kwa pale nje kulikuwa hakuna zaidi in my view.
Kuna wenzio wanasema rodri suspended bernado kdb wameumia kwaio ni mtelezo tuPengo la Partey limeonekana kabisa leo.... Jorginho sijui huwa anawaza nn yule jamaa....ametuchomesha goli la kipumbavu kabisa....point 4 ni nyng sana kumfukuza City....na naona watu wanatoka wanachechemea kabisa....tuombe wiki mbili hzi tuwe na kikosi kamili vngnevyo tukikutana na wale mabraza....tutawaeleza vzuri ile siku ya community shield kile kimbelembele tulikitoa wapi