Rice kaumia calfKuna mtu ana sababu kwanini joginho ameingia badala ya rice
Ziwe za kipumbavu au technically
Usisahau Liverpool nao wako vizuriTukiweka ushabiki pembeni bado city ni bingwa tena kwa Mara ya 4 mfululizo tu.
japo kukubali ndo uwa ni ngumu Ila sioni timu ya ku battle na city msimu pamoja na injury lakini bado wapo imara inaumiza kwa timu nyingine kuwa tumekuwa wasindikizaji tu.
Liverpool tuko paleTukiweka ushabiki pembeni bado city ni bingwa tena kwa Mara ya 4 mfululizo tu.
japo kukubali ndo uwa ni ngumu Ila sioni timu ya ku battle na city msimu pamoja na injury lakini bado wapo imara inaumiza kwa timu nyingine kuwa tumekuwa wasindikizaji tu.
Supercomputer ilimpa 60% chance ya kubeba tena hilo kombe kiuhalisia labda pep aondoke na mwakan anaweza libeba tena tusipokua seriousTukiweka ushabiki pembeni bado city ni bingwa tena kwa Mara ya 4 mfululizo tu.
japo kukubali ndo uwa ni ngumu Ila sioni timu ya ku battle na city msimu pamoja na injury lakini bado wapo imara inaumiza kwa timu nyingine kuwa tumekuwa wasindikizaji tu.
Hizi dakika 90+ Arsenal wanabahati nazo sana ngoja tuone na leo
Hii Liverpool siioni ya kukimbizana na city ukicheki Liverpool ana gundu Sana na kombe bado nafasi ya city kubeba ubingwa Ni kubwa sana kumbuka misimu yote city kabeba ubingwa Ila akuanza Moto Kama msimu huu.Usisahau Liverpool nao wako vizuri
Kweli?Arsenal msimu huu kazi anayo