Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahaa very funny.
Kwa arsenal iliyopita miaka kadhaa nyuma anakosa key players kama
partey
Timber
Trossard
Martinell


Na bado kwenye Derby kama hii unapata draw.Its not ready but we see the light. Spurs walikuja wana uhakika kwamba hii game wanashinda.
They outplayed us yes but tumepata point moja
Epl ya sasa inabidi ushinde hata kama unakosa key players, na ndo kitu kimefanya arsenal muachie ubingwa msimu uliopita.

Pep msimu huu ana majeruhi
KDB
Stones
Bernado silva
Grealish
Kovacic

Ila kachukua 18 zote
 
FB_IMG_16955722442834856.jpg
 
yaani ARTETA kwa akili zake za KIMATAKO akaona kafanya jambo la maana sana kumuingiza Kai na Jorginho na kumuacha UHARO Nketiah ndaniArteta ana USENGE baridi sana,nitaendelea kuandika humu kwamba Kai Harvert ni FURUSHI kama FURUSHI la MAVI,halafu anakuja MJINGA anakwambia Kai ni sawa na Ozil,khaaa
 
Kama hyu unayeongea naye ni Man U tyri walishacheza naye na matokeo yanajulikana ila kama ni Chelsea nawashauri hata wasipeleke timu uwanjani maana watakachofanywa na hivi vijeba watajuta
Hata kujibu tayari au bado anaogopa
 
Back
Top Bottom