Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,485
- 2,752
Team toka nikiwa shule msingi mpaka leo sijaona ikiichukua ubingwa hii laana kwa kweli.
Ni kweli Shaka angekuwepo angesaidia sana,unamuuza Shaka unamnunua Kai na Joghno!Arteta mpumbavu sijui kwa nini alimuuza Xhaka.
Jamani suala la ubingwa subirini hata 10 games kupita hasa hasa wale top 5 wakutane wao wao kwa sasa tutunze akiba ya maneno..Team toka nikiwa shule msingi mpaka leo sijaona ikiichukua ubingwa hii laana kwa kweli.
Huna timu ya kugombea ubingwa changamkieni top 4Timu yako ishacheza na Spurs?
Epl ya sasa inabidi ushinde hata kama unakosa key players, na ndo kitu kimefanya arsenal muachie ubingwa msimu uliopita.Hahaa very funny.
Kwa arsenal iliyopita miaka kadhaa nyuma anakosa key players kama
partey
Timber
Trossard
Martinell
Na bado kwenye Derby kama hii unapata draw.Its not ready but we see the light. Spurs walikuja wana uhakika kwamba hii game wanashinda.
They outplayed us yes but tumepata point moja
Huo ni upuuzi wenu kwanini msiwazuie kufunga ebu acheni kutafuta excuses za kipumbavuNdiyo umegundua leo hii ni mbeleko FC last season kuna mechi imeisha kabisa refa hamalizi mpira mpaka Arsenal arudishe goli.
Na wewe ni shabiki la AsenaneHuo ni upuuzi wenu kwanini msiwazuie kufunga ebu acheni kutafuta excuseNa wewe ni shabiki la Asre8s za kipumbavu
Simjui aisee ila nahisi aliyemcoach Martinelli bado yupoHivi kocha wa strikers pale arsenal ni nani?
Arteta ana USENGE baridi sana,nitaendelea kuandika humu kwamba Kai Harvert ni FURUSHI kama FURUSHI la MAVI,halafu anakuja MJINGA anakwambia Kai ni sawa na Ozil,khaaa
Timu yako imecheza na spurs?Huna timu ya kugombea ubingwa changamkieni top 4
Jibu: Huna timu ya kuchukua ubingwa pambania top 4Timu yako imecheza na spurs?
Hilo ndiyo swali
Unaona aibu kujibu?
4 points off the league leader with only 6 games been played. Bado mna safri ndefu Arsenane. Mmedondosha point 4 mapemaUnaona aibu kujibu?
Timu yako imecheza na spurs?4 points off the league leader with only 6 games been played. Bado mna safri ndefu Arsenane. Mmedondosha point 4 mapema
Kama hyu unayeongea naye ni Man U tyri walishacheza naye na matokeo yanajulikana ila kama ni Chelsea nawashauri hata wasipeleke timu uwanjani maana watakachofanywa na hivi vijeba watajutaTimu yako imecheza na spurs?
Hata kujibu tayari au bado anaogopaKama hyu unayeongea naye ni Man U tyri walishacheza naye na matokeo yanajulikana ila kama ni Chelsea nawashauri hata wasipeleke timu uwanjani maana watakachofanywa na hivi vijeba watajuta