arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Uache kwnda kucheza na Odegaard na fundi Rice na mzee wa busara Partey....ukacheze na Madueke na Mudiriki kwli????....utakuwa Huna akili timamuKenge washatuvamia kwenye dili la Toney
Uache kwnda kucheza na Odegaard na fundi Rice na mzee wa busara Partey....ukacheze na Madueke na Mudiriki kwli????....utakuwa Huna akili timamuKenge washatuvamia kwenye dili la Toney
Wameanza kumfatilia aisee ,ngoja tuone JanuaryUache kwnda kucheza na Odegaard na fundi Rice na mzee wa busara Partey....ukacheze na Madueke na Mudiriki kwli????....utakuwa Huna akili timamu

| Pep Guardiola on Martin Ødegaard: “He’s an exceptional player! Exceptional! His talent’s really good.”Wameshaambukizwa undondocha na kaka zao...hii ni fedheha kwakwliJack Wilshere na vijana wake wanaua nyumbu huko
Dk 40 had Sasa
4-0
Nanweri hayupo atakuwa bench kesho kwenye senior teamView attachment 2759459
Hivi aaron arsenal aliendaga wapibora umwambie mapema kabisa ndugu yetu Masingeli, maana hua anapenda kuchukulia mambo kiurahisi rahisi na kuwaaminisha watu vitu ambavyo hata yeye mwenyewe hua hana uhakika navyo, halafu mambo yanapoenda ndivyo sivyo analikimbia jukwaa na kuwaachia msala wenzake humu ndani
![]()
Mkuu kuwa ujui ndo yule bwana hm77 vipigo vikikolea ndo ukimbia ID hii kwenda ID nyingineHivi aaron arsenal aliendaga wapi


Aaron arsenal ndio Masingeli mwenyewe, baada ya kuwalisha matango pori humu members wenzake kipindi kile cha usajili wa Mudryk alivyobebwa na Chelsea likamshuka akaja kudanganya humu kaibiwa simu hivyo hataonekana tenaHivi aaron arsenal aliendaga wapi



ila Masingeli ana utoto mwingi sana aiseeeee.Aisee nyie watu mbona tunapakaziana SanaAaron arsenal ndio Masingeli mwenyewe, baada ya kuwalisha matango pori humu members wenzake kipindi kile cha usajili wa Mudryk alivyobebwa na Chelsea likamshuka akaja kudanganya humu kaibiwa simu hivyo hataonekana tenaila Masingeli ana utoto mwingi sana aiseeeee.
Aisee nitake radhi Mimi sikimbii ,huwa nawaacha mpige kelele tu,Mkuu kuwa ujui ndo yule bwana hm77 vipigo vikikolea ndo ukimbia ID hii kwenda ID nyingine![]()
Muongo ,Mimi Ni brand na hii hamis77 nikampuni tupo wengi ,Ni brand ya wachambuzi nguli tuAcha bhasi![]()
Aisee nyie watu mbona tunapakaziana Sana
Kucheza na Burney Leo tayari mshajionana point 3 ,tayari mna hati miliki ya kuvamia humu na kubwabwaja


Ila Masingeli kukosena kwa Masebene pale unyumbuni timu imeyumba sana, yule jamaa pamoja na mapungufu yake ila uwepo wake uwanjani hua unasaidia sana, hata nyinyi mlipata jeuri ya kutufunga baada ya masebene kutolewa na hii inajirudia hata msimu ulioisha mambo yalikua hivihivi ni vile Mayai7 tu anapenda kukaza fuvu, Ila Masebe kwenye timu yetu ni kama centre bolt akikosekana lazima gari ilale upande mmoja.Huyo Havertz anafanya nini hapo?Nasikia Trossard kaumia
Predicted lineup for tomorrow:
Raya
White
Saliba
Gabriel
Zinchenko
Rice
Vieira
Ødegaard
Saka
Havertz
Jesus
Muongo ,Mimi Ni brand na hii hamis77 nikampuni tupo wengi ,Ni brand ya wachambuzi nguli tu



sawa tutorial wake Ambangile. Mbona Trossard nimemuona mazoeziniNasikia Trossard kaumia
ID yako ya Aaron ndiyo imekaa kiuchambuzi nguli hii ya MC hamis imejaa mipasho😂Muongo ,Mimi Ni brand na hii hamis77 nikampuni tupo wengi ,Ni brand ya wachambuzi nguli tu