Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna mtu nlishawahi kumwambia hmu ndani...hyu jamaa akiwepo pale mbele huwa tunapata kitu cha tofauti sana....maana ni msumbufu na anacheza namba zte pale kuanzia CF hdi LW na RW....na hyu huwa akiwepo unaona na namna Martinelli anavyobadilika kabisa tofauti na akiwepo Nketiah....Sasa ikitokea January tukafanikiwa kumpata Ivan Toney....watupangie mechi mbili tucheze na Man City atqkayemfunga mwenzake hyo ndo bingwa....maana Hawa wengine tutakuwa tunapotezeana muda kupeleka timu uwanjani
Aiseeeee ndugu zetu mmefikia kutamani kwenye ligi zichezwe mechi 2 tu halafu mshindi akabidhiwe kombe!!!!
 
Arteta asijichanganye akampanga Kai mechi na Spurs.

Atakuja kutukanwa matusi ya nguoni.

Nipo paleee!
Kai kiungo ya boli, kila nikimtazama Kai jinsi alivyo mnyumbulifu naona miguu ya Ozil kwenye mwili wake.
Mechi na Spurs Kai ndie mkombozi wetu lazima aanze na acheze dakika zote 90.
Mechi na Spurs Kai asipopiga hatrick niulizwe mimi.


#Arsenyo Kondoo
#Nketiah Kiatu
#Kai Ballon d'Or
 
Aiseeeee ndugu zetu mmefikia kutamani kwenye ligi zichezwe mechi 2 tu halafu mshindi akabidhiwe kombe!!!!
Yuko sahihi. Yaani tucheze tu na City best of 3, mshindi apewe kombe, loser apewe 2nd place. Ligi iendelee kwa timu zingine kutafuta mshindi wa tatu hadi wa mwisho. FA Cup na Carabao ziendelee ila Arsenal na Mancity waende final moja kwa moja. Wengine wote waendelee kupambana kufika semi final ili tujue tu nani alifika fika japo hapo.
 
Yuko sahihi. Yaani tucheze tu na City best of 3, mshindi apewe kombe, loser apewe 2nd place. Ligi iendelee kwa timu zingine kutafuta mshindi wa tatu hadi wa mwisho. FA Cup na Carabao ziendelee ila Arsenal na Mancity waende final moja kwa moja. Wengine wote waendelee kupambana kufika semi final ili tujue tu nani alifika fika japo hapo.

Hizi tunazihifadhi for further use. Siku si nyingi tutaanza kuzirudisha pale ambapo wengine wanashikana mashati na wengine mmekimbilia mafichoni.
 
Hizi tunazihifadhi for further use. Siku si nyingi tutaanza kuzirudisha pale ambapo wengine wanashikana mashati na wengine mmekimbilia mafichoni.
Ww endelea kupiga ramli🤠🤠🤠....kipindi unapambanapambana kubaki nafasi ya saba Man U asiichukie
 
Mchambuzi Nguli


1/4: Kwanini Arteta Alienda na Raya na sio Ramsdale


Kwa kusajiliwa kwa Raya, chaguzi za kimbinu za Arsenal zimepanuka sana. Hivi ndivyo uwepo wa Raya unavyofaidisha mkakati wa Arteta:

2/4: numerical overloads &press resistance.

Kujumuishwa kwa Raya kunairuhusu Arsenal kuunda idadi kubwa katika build-up play, and make them press resistant.

Arteta Anaweza kwenda na 1-3-2-4 au 2-3-2-4 kwa kujiamini.

3/4: Facing high press

Katika mechi dhidi ya PSV, PSV walitumia high press Sana, walijaribu kufanya man marking kwa wachezaji wa Arsenal ili kuvuruga uchezaji wao.

Arteta alitarajia hili na ndio maana alimtumia Raya kuliko Ramsdale kwa sababu maalum.

Mpaka kufikia kipindi Cha kwaza kwisha PSV Tayari walishapotezwa


4/4: Jukumu la Ziada la Raya:

Huku Raya akiwa golini, Arsenal kimsingi walikuwa na mchezaji wa ziada wa nje ya box (Raya)

Angeweza kukaribisha pressure, kulazimisha PSV kuja kumkaba, na kisha kutoa pasi kwa usahihi, sawa na afanyavyo Onana, Ederson, au Alisson.


Hii inabadilisha sura ya Arsenal ya awamu ya 1 kutoka kwenye build-up ya kawaida ya 3-2/2-3 hadi 2-3-2/1-1-3-2, huku Raya akiunda mhimili miwili muhimu au kama mchezaji wa mwisho anayeanza kucheza.



IMG-20230922-WA0009.jpg
 
Kwa wazoefu wa Arsenal,hata ukiwasikiliza kina Henry

Ni wazi Aaron Ramsdale safari yake imeishia hapa ,asubiri Carabao na FA cup

Ana mkataba mrefu na Arsenal ,timu nyingi kwasasa hazina GK wazuri

Ramsdale ana umri mdogo ana room ya kukua , ameingia kwenye kikos Bora EPL,tuzo za Yashin ballon dor

Kutokana na uhaba wa makipa ,Arsenal haitamuachia chini ya £50m-60m
 
Vyombo vya habari vya UK vinazidi kupambisha suala la Ramsdale kukaa benchi kisa ni muingereza mwenzao.

Sisi fans tunasema: "Anaestahili kucheza akae golini, kwa faida ya timu"

Timu ishaanza kujijenga vizuri halafu kuna kundi la wahuni linataka kutuharibia.
 
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

kwa mujibu Mchezaji wa Zamani wa Arsenal na Balozi wa Arsenal kwa sasa pia mchezaji anayeshika nafasi pili kufunga magoal mengi akiwa Arsenal nyuma Henry huyu ni Ian Wright

Anasema " When Gabriel Jesus is full fit is undroppable" hii statement ina uzito fulani ukizingatia aliyeongea hivi ni nani

Yote hii inakuja kwa performance ya Jesus juzi UCL ni Mchezaji ambae ni Mnyumbulifu ambae anaweza kuwafanya wanao mzunguka kuwa bora hapa ndipo kuna utofauti wake na Nketiah

Ball Control Jesus ni kiwango kikubwa mno Ni mchezaji ambae anaweza kujitengenezea nafasi kufunga yeye mwenyewe ategemei tap ins tu

Ndio maana Wright anasema jamaa akiwa full Fit ni hatari wengine kufikia hatua kufananisha aina uchezaji wake na Delima Nazario

Lakini pia ukitaja wachezaji ambao wamesaidia kiasi kikubwa kuleta improvement kikosi msimu jana na huu basi Zin pamoja Jesus hawawezi kukosa

Kilichopo Nketiah kwa vile ni crinical basi akipata nafasi ahakikishe anaitumia one mistake uyu Jesus akirudi uwanjani anachukua nafasi kiulaini sababu ni flexible sio limited

Amigos
 
Binafsi kwenye uefa na epl namkataa ramsdale

Ata mkiniona snitch, poa tu
Wala sio usnitch mkuu, upo sahihi Ramsdale anaenda kucheza Carabao na FA , Arsenal inajengwa kwenye swala la standard Kila eneo

Anayefata kula panga Ni Nketiah ,analetwa Toney kupambana na Jesus

Nketiah safari yake ipo karibu ,anaenda kuuzwa

Mikel Ni katili Sana sababu na yeye Ni Arsenal fan sio muajiriwa tu
 
Flano na Genge lako msikilize Mchambuzi Jamie Carragher, Maana niliposema Mimi Baryen na Madrid wamekuwa kawaida ulinishambulia Sana na chawa wako mkohoti ,

Ni lini utanipa heshima yangu mchambuzi nguli?

Soma hapa

" Nimeitazama Bayern Munich lakini bado sioni ile Bayern iliyozisumbua timu za Uingereza hapo nyuma, Hii ni Bayern ya Kawaida inafungika Vizuri kama Ingekuwa inacheza na Man City au Arsenal kwa ilivyocheza jana naimani wangefungwa kabisa"

" Man United ilicheza Vizuri isipokuwa Presha tu ya mchezo na Labda kwa sababu ya Jina la Allianz Arena lakini sioni Bayern Munich yakuchukua zote alama sita kwa Man United, Old Trafford itakuwa ngumu kushinda kama Man United itakuwa kamili"

" Unaweza usinielewe namaanisha nini kwa kuwa Bayern Munich imeshinda lakini tazama mchezo ulivyokuwa utakuja kuniamini baadae maana ya kusema hivyo Bayern Munich hii ni ya kawaida sana

Jamie Carragher Mchambuzi.
 
Vyombo vya habari vya UK vinazidi kupambisha suala la Ramsdale kukaa benchi kisa ni muingereza mwenzao.

Sisi fans tunasema: "Anaestahili kucheza akae golini, kwa faida ya timu"

Timu ishaanza kujijenga vizuri halafu kuna kundi la wahuni linataka kutuharibia.
Media za UK zimecharuka Sana hili swala la Ramsdale kupigwa bench

Mbona tumepiga kelele sana wampe nafasi national team walikuwa kimya ,

Ramsdale kashapoteza nafasi , Arsenal inaenda kubadilika kabisa uchezaji Kuna points watu wa analysis wanajua kabisa kipa alizipoteza , wenzetu wanazingatia Sana details ndogo ndogo

Ramsdale asuburi Carabao na FA

Nimeona Leno Kama anafurahia Ramsdale kuwa dropped
Bernd Leno:

"It (changing goalkeepers) has happened (again) after the international break. I was thinking: ‘That’s more or less the same as with me!’

I was thinking about Aaron (Ramsdale), he’s a very good guy. I know how he feels, there are some similarities." [Times]
 
Media za UK zimecharuka Sana hili swala la Ramsdale kupigwa bench

Mbona tumepiga kelele sana wampe nafasi national team walikuwa kimya ,

Ramsdale kashapoteza nafasi , Arsenal inaenda kubadilika kabisa uchezaji Kuna points watu wa analysis wanajua kabisa kipa alizipoteza , wenzetu wanazingatia Sana details ndogo ndogo

Ramsdale asuburi Carabao na FA

Nimeona Leno Kama anafurahia Ramsdale kuwa dropped
Bernd Leno:

"It (changing goalkeepers) has happened (again) after the international break. I was thinking: ‘That’s more or less the same as with me!’

I was thinking about Aaron (Ramsdale), he’s a very good guy. I know how he feels, there are some similarities." [Times]
Waingereza watulie
 
Back
Top Bottom