Kuna mtu nlishawahi kumwambia hmu ndani...hyu jamaa akiwepo pale mbele huwa tunapata kitu cha tofauti sana....maana ni msumbufu na anacheza namba zte pale kuanzia CF hdi LW na RW....na hyu huwa akiwepo unaona na namna Martinelli anavyobadilika kabisa tofauti na akiwepo Nketiah....Sasa ikitokea January tukafanikiwa kumpata Ivan Toney....watupangie mechi mbili tucheze na Man City atqkayemfunga mwenzake hyo ndo bingwa....maana Hawa wengine tutakuwa tunapotezeana muda kupeleka timu uwanjani


Aiseeeee ndugu zetu mmefikia kutamani kwenye ligi zichezwe mechi 2 tu halafu mshindi akabidhiwe kombe!!!!Arteta asijichanganye akampanga Kai mechi na Spurs.
Atakuja kutukanwa matusi ya nguoni.
Nipo paleee!


Kai kiungo ya boli, kila nikimtazama Kai jinsi alivyo mnyumbulifu naona miguu ya Ozil kwenye mwili wake. Mbona Kai iyo game anapiga bao tena kali sana aisee.Arteta asijichanganye akampanga Kai mechi na Spurs.
Atakuja kutukanwa matusi ya nguoni.
Nipo paleee!
Labda apige bao ndotoni.Mbona Kai iyo game anapiga bao tena kali sana aisee.
Yuko sahihi. Yaani tucheze tu na City best of 3, mshindi apewe kombe, loser apewe 2nd place. Ligi iendelee kwa timu zingine kutafuta mshindi wa tatu hadi wa mwisho. FA Cup na Carabao ziendelee ila Arsenal na Mancity waende final moja kwa moja. Wengine wote waendelee kupambana kufika semi final ili tujue tu nani alifika fika japo hapo.Aiseeeee ndugu zetu mmefikia kutamani kwenye ligi zichezwe mechi 2 tu halafu mshindi akabidhiwe kombe!!!!
Yuko sahihi. Yaani tucheze tu na City best of 3, mshindi apewe kombe, loser apewe 2nd place. Ligi iendelee kwa timu zingine kutafuta mshindi wa tatu hadi wa mwisho. FA Cup na Carabao ziendelee ila Arsenal na Mancity waende final moja kwa moja. Wengine wote waendelee kupambana kufika semi final ili tujue tu nani alifika fika japo hapo.
Ww endelea kupiga ramli🤠🤠🤠....kipindi unapambanapambana kubaki nafasi ya saba Man U asiichukieHizi tunazihifadhi for further use. Siku si nyingi tutaanza kuzirudisha pale ambapo wengine wanashikana mashati na wengine mmekimbilia mafichoni.
Tuongee yote ila kuna huyu Gabriel Jesus, juzi kapiga mpira mwingi sana.
Ukiacha lile goli kali, kuna nafasi moja alichekecha kwenye tight space ndani ya 18 akapiga curled shot kipa akacheza..
Hayo mambo tulizoea kuyaona kwa kina De Lima.
View attachment 2758070

Kwanini Arteta Alienda na Raya na sio Ramsdale

numerical overloads &press resistance.
Facing high press
Jukumu la Ziada la Raya:
2-3-2/1-1-3-2, huku Raya akiunda mhimili miwili muhimu au kama mchezaji wa mwisho anayeanza kucheza.
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
kwa mujibu Mchezaji wa Zamani wa Arsenal na Balozi wa Arsenal kwa sasa pia mchezaji anayeshika nafasi pili kufunga magoal mengi akiwa Arsenal nyuma Henry huyu ni Ian Wright
Anasema " When Gabriel Jesus is full fit is undroppable" hii statement ina uzito fulani ukizingatia aliyeongea hivi ni nani
Yote hii inakuja kwa performance ya Jesus juzi UCL ni Mchezaji ambae ni Mnyumbulifu ambae anaweza kuwafanya wanao mzunguka kuwa bora hapa ndipo kuna utofauti wake na Nketiah
Ball Control Jesus ni kiwango kikubwa mno Ni mchezaji ambae anaweza kujitengenezea nafasi kufunga yeye mwenyewe ategemei tap ins tu
Ndio maana Wright anasema jamaa akiwa full Fit ni hatari wengine kufikia hatua kufananisha aina uchezaji wake na Delima Nazario
Lakini pia ukitaja wachezaji ambao wamesaidia kiasi kikubwa kuleta improvement kikosi msimu jana na huu basi Zin pamoja Jesus hawawezi kukosa
Kilichopo Nketiah kwa vile ni crinical basi akipata nafasi ahakikishe anaitumia one mistake uyu Jesus akirudi uwanjani anachukua nafasi kiulaini sababu ni flexible sio limitedWala sio usnitch mkuu, upo sahihi Ramsdale anaenda kucheza Carabao na FA , Arsenal inajengwa kwenye swala la standard Kila eneoBinafsi kwenye uefa na epl namkataa ramsdale
Ata mkiniona snitch, poa tu



" Nimeitazama Bayern Munich lakini bado sioni ile Bayern iliyozisumbua timu za Uingereza hapo nyuma, Hii ni Bayern ya Kawaida inafungika Vizuri kama Ingekuwa inacheza na Man City au Arsenal kwa ilivyocheza jana naimani wangefungwa kabisa"
Jamie Carragher Mchambuzi.Media za UK zimecharuka Sana hili swala la Ramsdale kupigwa benchVyombo vya habari vya UK vinazidi kupambisha suala la Ramsdale kukaa benchi kisa ni muingereza mwenzao.
Sisi fans tunasema: "Anaestahili kucheza akae golini, kwa faida ya timu"
Timu ishaanza kujijenga vizuri halafu kuna kundi la wahuni linataka kutuharibia.


Waingereza watulieMedia za UK zimecharuka Sana hili swala la Ramsdale kupigwa bench
Mbona tumepiga kelele sana wampe nafasi national team walikuwa kimya ,
Ramsdale kashapoteza nafasi , Arsenal inaenda kubadilika kabisa uchezaji Kuna points watu wa analysis wanajua kabisa kipa alizipoteza , wenzetu wanazingatia Sana details ndogo ndogo
Ramsdale asuburi Carabao na FA
Nimeona Leno Kama anafurahia Ramsdale kuwa dropped
Bernd Leno:
"It (changing goalkeepers) has happened (again) after the international break. I was thinking: ‘That’s more or less the same as with me!’
I was thinking about Aaron (Ramsdale), he’s a very good guy. I know how he feels, there are some similarities." [Times]
Sababu pekee ya Toney kwenda ukengeni ni kumuoffer hela nyingi ambayo Arsenal haiwezi kuifikia. Na sidhani kama arsenal tutashindwaKenge washatuvamia kwenye dili la Toney