
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

kwa mujibu Mchezaji wa Zamani wa Arsenal na Balozi wa Arsenal kwa sasa pia mchezaji anayeshika nafasi pili kufunga magoal mengi akiwa Arsenal nyuma Henry huyu ni Ian Wright

Anasema " When Gabriel Jesus is full fit is undroppable" hii statement ina uzito fulani ukizingatia aliyeongea hivi ni nani

Yote hii inakuja kwa performance ya Jesus juzi UCL ni Mchezaji ambae ni Mnyumbulifu ambae anaweza kuwafanya wanao mzunguka kuwa bora hapa ndipo kuna utofauti wake na Nketiah

Ball Control Jesus ni kiwango kikubwa mno Ni mchezaji ambae anaweza kujitengenezea nafasi kufunga yeye mwenyewe ategemei tap ins tu

Ndio maana Wright anasema jamaa akiwa full Fit ni hatari wengine kufikia hatua kufananisha aina uchezaji wake na Delima Nazario

Lakini pia ukitaja wachezaji ambao wamesaidia kiasi kikubwa kuleta improvement kikosi msimu jana na huu basi Zin pamoja Jesus hawawezi kukosa

Kilichopo Nketiah kwa vile ni crinical basi akipata nafasi ahakikishe anaitumia one mistake uyu Jesus akirudi uwanjani anachukua nafasi kiulaini sababu ni flexible sio limited
Amigos