verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,126
- 6,179
Spursy jumapili natamani wafunguke tupishane ili iwe fundisho kwamba nyuki hapigwi busu
PSV alikabia high line kala 4G safi tu
PSV alikabia high line kala 4G safi tu
Lile la kdb linazuilika kama kipa anajiposition vizuri goliniEm acheni utani asiee lile goli la KDB huwez zuia palemtu kapiga mua alf chini pembeni unasemaje angeweza kuia, Ode magoli anayofungaga ya aina ile tunampa sifa sana ila kwa KDB unasema angeweza kuzuia lile huwez kuzuia mzee


️ Official: Martin Ødegaard has signed new long term deal at Arsenal — valid until June 2028.

Mnahangaika sana jirani zetu sasahv....yaani Kila siku mnakuja na utabiri mpya...mara hv mara vile🤠🤠🤠....timu ni yetu mnatupangia na WA kucheza tena.... Ramsdale anapumzika....mwaka jana kadaka sana...inatosha....ale pensheni wadake wengine....kuna tatizo kwni....halafu hzo timu unazozisemea sijui zinaopaki basi sijui zinatoka ligi mbovu...zimekutana na kabumbu safi...unafungwa na kufundishwa namna ya kucheza bolu....kama Everton wanapaki basi ngoja wakutane na Chelsea afu tuone matokeo yatakuwaje🤠🤠🤠...mwaka huu timu shindani ni 2 tu...Liverpool isipopata majeruhi ya mda mrefu na braza Man City....lakini nyny wengine...mnakamilisha idadi ya timu tutakazocheza nazo...ize tu 🤠🤠Nyie kondoo ngoja huyo golikipa wenu akishaanza kutoboka goli nyingi mtaanza kumkumbuka Ramsdile, Raya hamna kitu mule. Yaani ukamsifie kipa kw timu ya Everton hii inayopaki basi, nyie kweli ni kondoo. Au PSV hii ambayo inatoka ligi dhaifu.
Kuna mtu nlishawahi kumwambia hmu ndani...hyu jamaa akiwepo pale mbele huwa tunapata kitu cha tofauti sana....maana ni msumbufu na anacheza namba zte pale kuanzia CF hdi LW na RW....na hyu huwa akiwepo unaona na namna Martinelli anavyobadilika kabisa tofauti na akiwepo Nketiah....Sasa ikitokea January tukafanikiwa kumpata Ivan Toney🤠🤠🤠....watupangie mechi mbili tucheze na Man City atqkayemfunga mwenzake hyo ndo bingwa....maana Hawa wengine tutakuwa tunapotezeana muda kupeleka timu uwanjaniTuongee yote ila kuna huyu Gabriel Jesus, juzi kapiga mpira mwingi sana.
Ukiacha lile goli kali, kuna nafasi moja alichekecha kwenye tight space ndani ya 18 akapiga curled shot kipa akacheza..
Hayo mambo tulizoea kuyaona kwa kina De Lima.
View attachment 2758070
Huyu jamaa anajua Sana Ni very underrated sijui kwanini ,Tuongee yote ila kuna huyu Gabriel Jesus, juzi kapiga mpira mwingi sana.
Ukiacha lile goli kali, kuna nafasi moja alichekecha kwenye tight space ndani ya 18 akapiga curled shot kipa akacheza..
Hayo mambo tulizoea kuyaona kwa kina De Lima.
View attachment 2758070


Uko sahihi, ila kama chezaji, Kai apewe muda, idadi ya mechi ikifika kweli ataonekana hopeless mazima. Ila kwa sasa tumwache kwanza, apewe muda, anajuaKuna ndugu zako humu kazi yao ni kumsifia Kai kama vile hapo Arsenal hakuna wachezaji wenye uwezo kuliko Kai, mbaya zaidi wanalazimisha kumfananisha Kai na fundi Ozil, hawa jamaa mimi ndio sikubaliani nao na nikiwaambia Kai ni average player wanakasirika na wengine wanasusa mpaka kula. View attachment 2757874View attachment 2757875