Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,875
- 16,442
Mayai7 yule ni dalali sio kocha, hata ukimuuliza style anayocheza yeye mwenyewe hajui atakujibu tu papatu papatu gegen pressing.Tumjadili ili atakapoendelea kupigwa goli za kutosha ,lawama wasipewe Graza family
Hivi mpaka Sasa 7hag anacheza aina gani ya mpira
Ila kwa Kai Harvez kuwaaminsha watu humu kua ni new version of Ozil hio dhambi haita kuacha salama ndugu yangu Masingeli[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]