Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji2788] “I don’t think Arsenal will fear too many clubs on the continent.”

@HarrySymeou says Arsenal fans can expect their side to go deep into this season’s UEFA Champions League. [emoji189]
 
David Raya starts for Arsenal

Arsenal team: Raya, White, Saliba, Gabriel, Zinchenko, Odegaard, Rice, Havertz, Saka, Jesus, Trossard.
 
4-3-3

20230920_205549.jpg
 
Sami Mokbel81 alisema kwa kiwango Cha Raya mazoezini nafasi ya Ramsdale ipo mashakani ,akasema Wiki zijazo Raya ataanza kukaa Golini

Juzi kasema Baryen na Chelsea wanamtaka Lakini Arsenal haitamuuza chini ya £60m


Leo Raya kaanza tena
20230920_205919.jpg
 
Madrid Hana Timu yakusumbua UCL mwaka huu,nikisema hivi watu wanaona tunaropoka tu

Timu haina world. Class GK,CF,CB
 
Sami Mokbel81 alisema kwa kiwango Cha Raya mazoezini nafasi ya Ramsdale ipo mashakani ,akasema Wiki zijazo Raya ataanza kukaa Golini

Juzi kasema Baryen na Chelsea wanamtaka Lakini Arsenal haitamuuza chini ya £60m


Leo Raya kaanza tena View attachment 2756279
Kwa wingi wa mashindano na ubora alionao acha wagawane majukumu! Sioni cha ajabu hapo


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
FC Bayern gonna pay tonight for what they did to professor na Orphans wake[emoji23][emoji23][emoji23]
1694615656642.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom