PSG inamforce Mbappe kucheza pale.
Yaani jamaa hakabi.
Hana effort.
Dk ya 6 wenzake wanakimbiza mpira yeye katoka nje kwenda kunywa majib
Hata zidane, alikuwa akipasha na vijana wake pale MadridView attachment 2755988
Namuona Arteta anashiriki kwenye rondo na akipokonywa anaingia kati bila upendeleo. Ila nadhani huyu kocha mwenyewe ndiye anawaumizaga kina Partey na wengine kweye training.
si unaona hiyo studs up challenge ya ArtetaHata zidane, alikuwa akipasha na vijana wake pale Madrid
ishu si team, ishu ni stage. ndio maana nikasema tunaweza kuwa na mawenge kwanzaNdo kwa PSV?
Yaani Newcastle akomae kwa Milan sisi tupigwe na PSV tunayopishana nayo Europa?
Kwa wingi wa mashindano na ubora alionao acha wagawane majukumu! Sioni cha ajabu hapoSami Mokbel81 alisema kwa kiwango Cha Raya mazoezini nafasi ya Ramsdale ipo mashakani ,akasema Wiki zijazo Raya ataanza kukaa Golini
Juzi kasema Baryen na Chelsea wanamtaka Lakini Arsenal haitamuuza chini ya £60m
Leo Raya kaanza tena View attachment 2756279
Huyu Kenge mbona kaongea kwa kujiamini Sana hizo paragraph mbili za mwisho
Ina maana hatuogopi ata kidogo? Yan hatetemeki uko alipo?