Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
We could have been ahead by a bigger margin
Sema madogo nao wapo njemaUEFA waturuhusu tutor kikosi chote cha kwanza tuingize cha pili wamalizie kucheza...hii mechi tunavyocheza ni kama tupo training ground....wanatupotezea mda tu Hawa jamaa![]()
Huyu jamaa ni mzigo kabisa sijui tulimsajili kwa kazi gani hasa. Alafu Arteta kamng'ang'ania hatari.Ila nyie huyu Kai watakuja kumpiga siku
😁😁😁Nketiah akimuangalia Jesus atakua anajiuliza hivi namuwekaje benchi huyu jamaa
Arteta kwa Kai ni JINGA sanaHuyu jamaa ni mzigo kabisa sijui tulimsajili kwa kazi gani hasa. Alafu Arteta kamng'ang'ania hatari.
Bado yupo uwanjani!?Arteta kwa Kai ni JINGA sana
Jinga tuKai leo mmtendee haki, kacheza vizuri
Nimecheki Kai, touch take sio mbaya, labda huko kutokufungaArteta kwa Kai ni JINGA sana
Kawatoa wachezaji muhimu kwa ajili ya game ya spursKwahiyo Arteta kamtoa mtu mwenye goli na assist halafu kamuacha mtu anayekimbia kimbia tu