mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Arsenal ina mashabiki hai na ina nguvu Sana kwa wachezaji wake kuliko timu yoyote ile dunianiArsenal walificha kesi ya Partey pamoja na kelele za yule Malaya kwenda mitandaoni kutaka Partey azuiwe bado Arsenal walisimama na Partey ,yule Malaya alikula spana kutoka kwa mashabiki wa Arsenal mpaka aka deactivate account
Shutuma za yule Malaya hazina tofauti na hizi za Anthony masebene
Anthony masebene ana shutuma karibu 3
Shughuli yake imeisha hapo
Manjesta wanaendeshwa Sana na Feminist
Ata kwenye usajiri, mashabiki huwa wanaingilia kati kuongeza ushawishi
Patoranking alimtumie meseji partey ili ajiunge arsenal
Mudryk tulimpambania aje arsenal ya NDOO, asali na maziwa. Amechagua mateso ya ukengeni fc

Case Kama hizo zipo nyingi sana
Ata leo ikitokea saka amebaka demu


, hataachwa kinyonge. Atapambaniwa Hadi aonekane innocentPartey alipiga yule Malaya wa moroco kihuni, demu akaona Kama ame- be dumbed, akataka a-take advantage. Alichokipata kwa mashabiki wa the gunners hatakuja kusahau


Na uzuri body ya arsenal ilimkumbatia partey mwanzo mwisho



Nyumbu Wana vingi vya kujifunza kutoka kwetu, jinsi ya ku-handle situations Kama hizi
#COYG

