Eddie ameongea leoSijui kwa nini watu wanamuonaga JESUS ni mchezaji wa kawaida ? kwangu kati ya wachezaji watano muhimu wa arsenal mwaka jana Jesus yupo.wakati tunamtaka madrid nao walikuwa wanamtaka.kama unaangalia mpira vizuri hakuna beki anayeweza kumkaba Jesus.ni foward pekee anayeweza kupangua beki wza timu pinzani wanaokaba kwa kurundikana.kati ya wachezaji tuliopata kwa bei rahisi ni Jesus,tuombee asiumie hizo goal ishirini anafikisha,ninachofurahi amesaidia sana kuinua kiwango cha nketiah.na kwa sasa kitu kizuri kuhusu timu yetu benchi letu lote linaweza kuathiri mchezo yoyote akiingia uwanjani
Eddie Nketiah on Gabriel Jesus -Kawaida ndugu...nachelewaga sana kulala😁Rolum hulali mzee
Spurs Ni timu yakwenda kucheza nayo kwa makini
Wanacheza mpira wa kisasa
Wamefanya maamuz magumu kufukuza Conte na mpira wake wa ujanjaujanja wamenunua GK mzuri kwenye footwork
Kwasasa game na Spurs yakwenda kwa Akili
West Ham.....watarudi kwny nafasi yao wanayostahili...ni suala la mda tu....Spurs hawa ni kuwapa mda tuone...Kweli mkuu ,naona msimu huu hawa jamaa wamekuja kivingine sana.
Vp kuhusu westham nao??.
Wako serius au ni upepo tu??View attachment 2740516
Yeah ni wazuri Sana aisee, ila huwa najiuliza hivi team kubwa hazimuoni huyu???Spurs Ni timu yakwenda kucheza nayo kwa makini
Wanacheza mpira wa kisasa
Wamefanya maamuz magumu kufukuza Conte na mpira wake wa ujanjaujanja wamenunua GK mzuri kwenye footwork
Kwasasa game na Spurs yakwenda kwa Akili
David Moyes sio wa kumchukulia POA, ana ufahamu mkubwa jinsi ligi inavyo kwenda.West Ham.....watarudi kwny nafasi yao wanayostahili...ni suala la mda tu....Spurs hawa ni kuwapa mda tuone...
Westham watarudi nafasi zao , wamesajili wachezaji wazuri wengi ,tatizo lao moja bado defensive minded team ,Wana wachezaji wakuamua matokeo Kama James Ward Prowse ,Kudus , n.kKweli mkuu ,naona msimu huu hawa jamaa wamekuja kivingine sana.
Vp kuhusu westham nao??.
Wako serius au ni upepo tu??View attachment 2740516
David Moyes bado Ni defensive minded coach , uchezaji wake Kama ten hag wanasubiri kukua kwa kaunta ,David Moyes sio wa kumchukulia POA, ana ufahamu mkubwa jinsi ligi inavyo kwenda.
Kumbuka kawa bingwa wa Europe conference league mzee.
Hata msimu uliopita kafeli kidogo Sana, Kutokana na kwamba Hana experience players
Nashangaa Kuna watu Wana mu under rate aisee 😀🤒David Moyes bado Ni defensive minded coach , uchezaji wake Kama ten hag wanasubiri kukua kwa kaunta ,
Moyes safari hii ataokota Sana point sababu ana wachezaj wengi wazuri Kama James Ward Prowse , Kudus,
Spurs nawahofia tu hawatakubali kukaa nyuma ,West Ham.....watarudi kwny nafasi yao wanayostahili...ni suala la mda tu....Spurs hawa ni kuwapa mda tuone...
Kuna Ile kauli alitoa Hadi Nika ona huyu Jamaa hatari.Westham watarudi nafasi zao , wamesajili wachezaji wazuri wengi ,tatizo lao moja bado defensive minded team ,Wana wachezaji wakuamua matokeo Kama James Ward Prowse ,Kudus , n.k
Kwasasa naogopa Sana kukutana na Brighton
Huyu mbona haonekani kwa team kubwa??Spurs nawahofia tu hawatakubali kukaa nyuma ,
Huyo ni Di zerbi jamaa anajua SanaKuna Ile kauli alitoa Hadi Nika ona huyu Jamaa hatari.
Alisema you can acquire our big players with your big money, but you can't take the winning bless from us.
Ngumu Sana kumchomoa Spurs ,baryen kahangaika Sana kumpata Kane ,
Sema ramsdale kawa wa moto jamani, hii haitaleta mgongano 🤔Kuna taarifa zinasema David Raya kwakiwango anachoonyesha mazoezini anakaribia kuanza kudaka Kama no.1
Binafsi nashawishika Rasmdale hatakiwi kuwa dropped ,kuja kwa Raya kaimarika Sana ,
Pili ,Kuna sauti inaniambia Raya atakuwa no.1 kwenye michuano ya UCL na Carabao
Ramsdale EPL & FA cup
Ijamaa Ange enda Madrid ange imbwa Sana 🤒💪Ngumu Sana kumchomoa Spurs ,baryen kahangaika Sana kumpata Kane ,
Na Sasa Son ana miaka 30 au 31 , atastafia Spurs huyu