Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Upande wa saka naona mechi ya juzi haujawa active sanaa.

Alivoingia tomiyasu kidogo kukawa na movements.

Sjajua kati ya Ben whites na tomiyasu yupi anaweza kucheza na saka vzuri.


Tomiyasu naona hapewi kipaumbele na arteta au itakua anazingua mazoezini.
No ,Tomi aliingia kucheza upande wa Zinny

Saka hakuwa vzr sababu alicheza na Beki anayetumia right foot ,

Winger wa kulia akicheza na Beki anayetumia right foot huwa Ni ngumu kufurukuta , Ni mpaka alipoingia Jesus ndio Ule upande ukawa active ,Saka akarudi Kama false 9,Jesus akaenda Right winger,

Hata saka alikosa clear chance akiwa Kama false 9
 
Liverpool wapo mtegoni ,hii ofa ya pili ya wasaudia £200m wakiikataa noma, wakiikubali wajiandae ku struggle
 
Bukayo Saka:

"I love playing for Arsenal. I love playing at (Emirates) Stadium. Only the people that have put the shirt on and played in front of these fans will understand what it means."

Happy birthday Bukayo!
20230905_133800.jpg
 
Bado najiuliza why bado Ulimwengu wa soka unatembea na ujinga kuwa baryen ana makali kama zamani

Wanaoangalia Bundesliga watakuwa wanaelewa namaanisha Nini

20230905_133911.jpg
 
Ødegaard Ni talent halafu anauelewa mkubwa Sana tofaut na umri wake

Arteta alisema alimpa ukaptain sababu ukimpa maelekezo anayatekeleza kwa usahihi lakini ana uwezo pia wakuyafikisha kwa wengine

Ndio mchezaji ambaye anakuwa karibu Sana na kocha mazoezini kuliko wengine ,

Lakin kwa Zinchenko yule talent ya kuzaliwa ,ipo tu ,huwa sichoki kumuangalia ,atapiga pass kwenye mazingira yoyote Yale ,ana invert holding, winger , attacking midfielder ,

Mwisho binafsi Zinny anabaki most talented player kwenye timu ya Arsenal , wapo wengi Kama Fabio Vieira, Øde, Smith Rowe ,but Zinny hata mazoezini mpira huwa unamtii
Ukitaka kumuogopa Zinny Nenda Youtube katafuta Clip za Game ya Arsenal vs Nyukesto last season ile ya 0-0 Emirates zinazomuhusu Zinny ndo utajua jamaa anapiga pasi kwa kutumia Uchawi, sio kawaida kabisa uyo kiumbe.
 
Ukitaka kumuogopa Zinny Nenda Youtube katafuta Clip za Game ya Arsenal vs Nyukesto last season ile ya 0-0 Emirates zinazomuhusu Zinny ndo utajua jamaa anapiga pasi kwa kutumia Uchawi, sio kawaida kabisa uyo kiumbe.
Wachezaj wa Newcastle walisema walikuwa hawaelewi anachowafanya

Kuna ile mech na manjesta Emirates,alikuwa anapiga pass za kutosha ,ilifika muda wakawa wanataka sare maana wamechoka na Moto wanaletewa

Huwa anakuja katikati atapiga pass angle zote ,atasogea no.10 atapiga pass kila muda ,Timu huwaga inachangamka Sana

Akiwepo huwa nafurahi Sana
 
Sasa na mimi najiona kama arteta kwa kai..
Sio siri mimi namuamini saana jesus, hata akicheza kawaida naamini si wa kukaa benchi.
Jesus mara chache San kukupa game mbovu, sikumbuki lini, Jesus wengi wanataka awe Kama halland ,Jesus asipokupa magoli ,atakusaidia kuwa kiungo ,winga , atafanya kuunganisha Timu, sikumbuki lini alikuwa na game mbovu
 
Sijui kwa nini watu wanamuonaga JESUS ni mchezaji wa kawaida ? kwangu kati ya wachezaji watano muhimu wa arsenal mwaka jana Jesus yupo.wakati tunamtaka madrid nao walikuwa wanamtaka.kama unaangalia mpira vizuri hakuna beki anayeweza kumkaba Jesus.ni foward pekee anayeweza kupangua beki wza timu pinzani wanaokaba kwa kurundikana.kati ya wachezaji tuliopata kwa bei rahisi ni Jesus,tuombee asiumie hizo goal ishirini anafikisha,ninachofurahi amesaidia sana kuinua kiwango cha nketiah.na kwa sasa kitu kizuri kuhusu timu yetu benchi letu lote linaweza kuathiri mchezo yoyote akiingia uwanjani
 
Jesus mara chache San kukupa game mbovu, sikumbuki lini, Jesus wengi wanataka awe Kama halland ,Jesus asipokupa magoli ,atakusaidia kuwa kiungo ,winga , atafanya kuunganisha Timu, sikumbuki lini alikuwa na game mbovu
Anachofanya jesus, si halaand wala osimhen wanaweza fanya..

Kitu pekee kwa jesus ni magoli machache tu, hii kwangu huwa naifuka kwa aina yake ya uchezaji.
 
Back
Top Bottom