hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,302
- 26,696
No ,Tomi aliingia kucheza upande wa ZinnyUpande wa saka naona mechi ya juzi haujawa active sanaa.
Alivoingia tomiyasu kidogo kukawa na movements.
Sjajua kati ya Ben whites na tomiyasu yupi anaweza kucheza na saka vzuri.
Tomiyasu naona hapewi kipaumbele na arteta au itakua anazingua mazoezini.
Saka hakuwa vzr sababu alicheza na Beki anayetumia right foot ,
Winger wa kulia akicheza na Beki anayetumia right foot huwa Ni ngumu kufurukuta , Ni mpaka alipoingia Jesus ndio Ule upande ukawa active ,Saka akarudi Kama false 9,Jesus akaenda Right winger,
Hata saka alikosa clear chance akiwa Kama false 9


……