Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimejikuta nabubujikwa na machozi ya furaha baada ya kukuona tena humu ndugu yangu hamis77
Baada ya ukimya wako tokea asubuhi nikajua tayari umeshakula kona mapema kabla halijawakuta jambo saa 06:30
Aisee Nilikuwa bize na shemeji yako ili ninaposhangilia magoli Leo niwe mwepesi
 
FULL Arsenal XI:

Ramsdale, White, Saliba, Gabriel, Zinchenko, Rice, Odegaard, Havertz, Saka, Eddie, Martinelli.
 
Mkuu unapataje kikosi mapema yote hii

Partey Yuko wapi?
Nina vyanzo nyeti ,Partey injury

kwa manjesta ,nasikia martial kaumia

So lineup Yao ataanza yule bwege aliyefunga Goli 9 mechi 32
 
Nina vyanzo nyeti ,Partey injury

kwa manjesta ,nasikia martial kaumia

So lineup Yao ataanza yule bwege aliyefunga Goli 9 mechi 32
eti NYETIuna vituko dogo, mwanzoni ulimuweka Jesus,sasa umemtoa Jesus na kumuweka Nketiah
 
Kwa beki ya manjesta hatutakiwi kushinda chini ya goli 3
20230903_172133.jpg
 
eti NYETIuna vituko dogo, mwanzoni ulimuweka Jesus,sasa umemtoa Jesus na kumuweka Nketiah
nilikosea

Lineup ya leo Eddie must start,namkubali Sana Jesus ila kwasasa apambanie namba , Eddie amekuwa super
 
Hawa jamaa leo nikuwakanda kisawasawa


#mufc XI vs Arsenal: Onana, Wan-Bissaka, Lindelöf, Martínez, Dalot, Casemiro, Eriksen, Antony, Bruno, Rashford, Martial

Subs: Bayındır, Reguilón, Maguire, Evans, Gore, Hannibal, Garnacho, Højlund
 
Thomas Partey is absent from the squad due to a groin injury.
 
@Manjesta wajitahidi washikilie bomba first half

Sub za 2nd half Ni kwenda kusiliba chumvi kidonda
 
Back
Top Bottom