hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,253
- 26,641
AiseeNimejikuta nabubujikwa na machozi ya furaha baada ya kukuona tena humu ndugu yangu hamis77
Baada ya ukimya wako tokea asubuhi nikajua tayari umeshakula kona mapema kabla halijawakuta jambo saa 06:30

Nilikuwa bize na shemeji yako ili ninaposhangilia magoli Leo niwe mwepesi
FULL Arsenal XI: