Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

wewe kila siku hoja yako ni hiohio tu mlisema hatuingii top 6.
Wewe wenyewe ulisema Man Utd haingii top 4 kwa pila lake la papatupapatu vipi hatukuingia?
Vipi mechi ya jumapili kauli mbiu yako itakua ni ileile ya "mkitufunga ni sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta safari inaendelea" au umekuja na kauli mbiu mpya?
Huyo Masingeli somtym anakuaga amelewa, anakwambia wanacheza mpira mzuri eti ndio kigezo cha kushinda mechi?! Seriously??
Kwani babu Wenger alikua ancheza mpira mbaya, kwanza wenger alikua anaupga mwingi kuliko hata huyu failure master class. mbona hakuchukua hiyo UEFA.
 
Timu ikipangwa pot 2 inamaanisha haitapangwa na timu iliyokuwa pot 2 timu zitatoka pot 1,3, na 4
Uefa hio Pot 2 waliyowekwa ni ya moto hatari, tusubiri mpaka saa 4 usiku watakua wameshapanga makundi tayari.
Nina imani Asenyo atapangwa kundi moja na Madrid halafu wakimuongeza Inter kwenye kundi lao ndio rasmi itakua safari yao ya mwisho kwenye Uefa.
 
Uefa hio Pot 2 waliyowekwa ni ya moto hatari, tusubiri mpaka saa 4 usiku watakua wameshapanga makundi tayari.
Nina imani Asenyo atapangwa kundi moja na Madrid halafu wakimuongeza Inter kwenye kundi lao ndio rasmi itakua safari yao ya mwisho kwenye Uefa.
UCL Hakuna timu yakutusumbua , mpinzani halis Ni mancity wengine unga unga mwana

Lini utakaa na kuelewa

Barca tulimfungia Gia no.1 akalalamika Sana
 
Arsenal atacheza Fainal uwanja wa nyumbani Wembley,ukibisha huna akili


Matchday 1: 19/20 September 2023
Matchday 2: 3/4 October 2023
Matchday 3: 24/25 October 2023
Matchday 4: 7/8 November 2023
Matchday 5: 28/29 November 2023
Matchday 6: 12/13 December 2023

The final is at Wembley this season. 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
 
Arsenal inawaumiza wengi humu, na tunapenda kuona hicho
20230830_223840.jpg
 
Tunangoje kiande wa mwisho akamilishe grupu

Points 15-18

Tuanze kuangalia mipango ya Round 16


GROUP B

ARSENAL
SEVILLA
PSV EINDHOVEN

#UCLdraw
 
Newcastle ataburuza mkia

Group F of the #UCL

PSG
Dortmund
Milan
Newcastle 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
 
Baryen na Gala watapita

Group A:

Bayern
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man United
Copenhagen
Galatasaray
 
Kwa Arsenal hii ,18 points hazikwepeki

FULL GROUP B

ARSENAL
SEVILLA
PSV EINDHOVEN
RC LENS

#UCLdraw
 
Back
Top Bottom