Huyo Masingeli somtym anakuaga amelewa, anakwambia wanacheza mpira mzuri eti ndio kigezo cha kushinda mechi?! Seriously??wewe kila siku hoja yako ni hiohio tu mlisema hatuingii top 6.
Wewe wenyewe ulisema Man Utd haingii top 4 kwa pila lake la papatupapatu vipi hatukuingia?
Vipi mechi ya jumapili kauli mbiu yako itakua ni ileile ya "mkitufunga ni sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta safari inaendelea" au umekuja na kauli mbiu mpya?
Kwani babu Wenger alikua ancheza mpira mbaya, kwanza wenger alikua anaupga mwingi kuliko hata huyu failure master class. mbona hakuchukua hiyo UEFA.

Matchday 1: 19/20 September 2023


GROUP B



Copenhagen
Galatasaray