Arteta ametumia £400m kuunda timu shindani na kikos ghali duniani chenye thaman ya £1.2BWenger orphans wakiona Kama hivi mapain yanaingia Mpaka kwenye nafasi
Hafu wakicheki arteta ni mkongwe hapo EPL mwenzie msimu wa kwanza tu.View attachment 2734628


Wenye mpira wao wanasema Arsenal anapewa nafasi ya 4 kubeba , yaani anaweza kufika nusu au fainal kabisaMasingeli acha kuwapa false hope makondoo yako ya humu, hio pot2 Arsenyau pamoja na Nyumbu wanafungasha virago vyao mapema kabisa.
Hapa wa kupewa pole nyingi ni Arsenyo maana ameikosa hii michuano kwa miaka 7 mtawaliwa na baada ya kufungasha virago vyake kwenye hatua ya makundi anaenda kuyakosa tena haya mashindano kwa miaka 7 tena mingine inayofata.
View attachment 2734625


Wenye mpira wao wanasema Arsenal anapewa nafasi ya 4 kubeba , yaani anaweza kufika nusu au fainal kabisa
Sasa jiulize manjesta ambao mna Eriki Seven hag mbona wanawaona Kama wasindikizaji
Hujiuliz Why Arsenal hajacheza muda mrefu lakin yupo Pot 2
Ulishajiuliza Hilo swali



Daaahhh Masingeli kwa kupenda kwako kujitoa ufahamu ndio unasababisha timu ikiboronga wenzio wanakujia juu humu. Mimi naweka kumbukumbu sawaDaaahhh Masingeli kwa kupenda kwako kujitoa ufahamu ndio unasababisha timu ikiboronga wenzio wanakujia juu humu.
Haohao wenye mpira wao ndio walisema Arsenyo msimu ulioisha atachukua Epl, haya tuonyeshe hilo kombe la Epl ambalo wenye mpira wao walisema mtachukua?
| Eddie Nketiah: Mimi naweka kumbukumbu sawa
90% ukiwepo wewe mlisema hatuingii top 6
Lakin kushinda no.2 mkadai tumefeli
Hamuoni nyie Ni wanafiki na matapeli ?
Nilisema tutapigania Ubingwa EPL na alikuwa hivo
Msimu huu tutapigania Ubingwa EPL na UCL
Na kile kikombe ambacho 7hag amejifichia tutakitolea macho ili akose kichaka View attachment 2734655



wewe kila siku hoja yako ni hiohio tu mlisema hatuingii top 6.Mbona ipo Waz kuingia top 4 mlipigania had mechi 2 za mwisho sababu ya upuuzi wa Newcastle ,wewe kila siku hoja yako ni hiohio tu mlisema hatuingii top 6.
Wewe wenyewe ulisema Man Utd haingii top 4 kwa pila lake la papatupapatu vipi hatukuingia?
Vipi mechi ya jumapili kauli mbiu yako itakua ni ileile ya "mkitufunga ni sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta safari inaendelea" au umekuja na kauli mbiu mpya?
Flano na Genge lake wanajiuliza mbona hawajacheza miaka 7 Lakini wanapewa nafasi kuliko manjesta ya tapeli 7hag
Mbona wamewekwa Pot 2
View attachment 2734658



Bodi ya Uefa kuwaweka Arsenyau Pot2 malengo ni kuwarudisha mapema mkacheze futuhi, hio wala haihitaji rocket science kuelewa ndugu yangu Masingeli.Bila kombe ni upumbavu tu this season kipaumbele ni EPL no excuse ya kusema kuwa target yetu ilikuwa ni TOP 4 na Champions league angalau quarter final sio haba!Arsenal tumechoka maneno sasa tunataka kombe either EPL au UCL.... winners celebrate, losers explain, nyie no losers yaani hamis77 Unaongea kama losers na msimu ukiisha huna kombe, nyie ni timu ya maneno mko top kwa mdomo.... last season ETH ndio kaingia united na match 2 za kwanza alifungwa lkn alipambana timu ikashika nafasi ya tatu nyuma yako wewe mdomo mdomo fc, bora utulie ETH ana profile kubwa kuliko huyo baba yenu arteta na atafanikiwa kabla ya hyo arteta wenu....uzuri ETH alipofika alisema wapinzani wake wakubwa ni liverpool na man city, yeye hawafikirii timu za vipind km arsenal.
Liverpool tayari tumemzidi mafanikio season ya kwanza, saiv mdg mdg tunamfata man city huko huko juu, hizo style of playing au talent ID mtabaki nazo nyie mdomo mdomo fc sisi ni possession na makombe km Atletico Madrid au madrid yenyew.
Kwa kocha wenu yule nawaona mkiishia makundiBodi ya Uefa kuwaweka Arsenyau Pot2 malengo ni kuwarudisha mapema mkacheze futuhi, hio wala haihitaji rocket science kuelewa ndugu yangu Masingeli.
Kuanzia 12 na nusu nadhaniDraw ni Sa ngap kwani
Arsenal msimu huu anaenda kupigania ubingwa EPL na UCLBila kombe ni upumbavu tu this season kipaumbele ni EPL no excuse ya kusema kuwa target yetu ilikuwa ni TOP 4 na Champions league angalau quarter final sio haba!
"Kumekuwa na nyakati nyingi, hata wakati [Takehiro] Tomiyasu aliposaini, siku hiyo hakuna kitu kilichotarajiwa na kisha ghafla, Tomiyasu alisaini siku ya mwisho ya dirisha."
"Ninarudi wakati Thomas Partey aliposaini, niliingia katika siku hiyo ya mwisho nikifikiri Arsenal haitafanya chochote, huo ndio ujumbe tuliokuwa tukipata(kutoka ndani ya Arsenal), kisha wakaenda na kumsajili Thomas Partey."
"Huwezi kamwe kukataa na ikiwa nafasi nzuri itatokea, ambayo Arsenal itaangalia na kufikiria kwamba inatupa kifaa kizuri kwa msimu, basi wanaweza kufanya hivyo."