Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mtarambwa mbaya.
Arsenal tumepewa timu za Uropa huko Champions league ,Lakini waliozoea kulalamika hawakosekani ,

Kizaz Cha malalamiko kilimsumbua Sana Nabii Musa kule jangwani ...




itoshe kusema tumetinga ndani ya Round of 16.
1693546513929.jpg
 
Wewe uefa upo level za team gani? Nijibu tu team 2 ambazo upo level moja nao UEFA nipe na vigezo 2 tu.

Top 4 tupo pale kwa miaka 20 ijayo with EPL trophies na sio kama nyinyi 0 trophies kwa 20 years.
Kaangalie stats za probability walopewa nafasi ya kufika mbali kwny michuano hii kwa Sasa halafu ndo tuongee vzuri...tumia smartphone yako vzuri mkuu🤠🤠🤠....mmeanza na mechi ngumu sana Ligi kuu sitaki kuwa judge ila kuanzia Sasa kwenda mbele tuone huo mpira wenu wa kukimbiza upepo🤠🤠🤠...nyny bdo watoto wadogo sana....EPL huwezi kubeba na kile kikundi chako cha amapiano🤠🤠🤠....kwmba Almiron na Gordon wakupe kombe sio....ww bhana level zako ni zilezile tu... Brentford huko...kina Sheffield na wenzie Wolves....hao ndo masela wako Sasa....bdo hujafika level za kukaa na kuzungumza na wakubwa....narudia bado sana
 
Kaangalie stats za probability walopewa nafasi ya kufika mbali kwny michuano hii kwa Sasa halafu ndo tuongee vzuri...tumia smartphone yako vzuri mkuu🤠🤠🤠....mmeanza na mechi ngumu sana Ligi kuu sitaki kuwa judge ila kuanzia Sasa kwenda mbele tuone huo mpira wenu wa kukimbiza upepo🤠🤠🤠...nyny bdo watoto wadogo sana....EPL huwezi kubeba na kile kikundi chako cha amapiano🤠🤠🤠....kwmba Almiron na Gordon wakupe kombe sio....ww bhana level zako ni zilezile tu... Brentford huko...kina Sheffield na wenzie Wolves....hao ndo masela wako Sasa....bdo hujafika level za kukaa na kuzungumza na wakubwa....narudia bado sana
Halafu umesema nna 0 trophies ligi kuu for 20 yrs🤠🤠....ww una mangapi mkuu toka mpira uanze kuchezwa pale Uingereza....achana na kipindi cha miaka 20 ilopiga🤠🤠🤠....
 
dadamlamayao hua nakukubali sana pale unapoamua kusimamia ukweli wa mambo, ila kua makini tu humu kuna watu wamejimilikisha hii timu utafikiri wao ndio wana hati miliki ya Arsenal, sasa hivi wataanza kukuita mamluki shauri yako.
Kuna watu humu wameaminishwa ukiwa shabiki wa Arsenal basi wewe kazi yako ni kuisifia tu timu pamoja na kumsifia god faza Arteta, ukijaribu kukosoa utashambuliwa kama nyuki, na mbaya zaidi sasa hivi mashabiki wa Arsenal wanalazimishwa kwa nguvu wamsifie na kumshabikia Kai Harvez kua ni mchezaji mzuri kwenye aerial duel, pia ni mnyumbulifu, anajua kuinvert kiungo, na kuinterchange play.
Hili jukwaa sasa hivi linaendeshwa kwa udikteta wa hali ya juu sana, shabiki wa Arsenal ili uwe na amani humu basi hauruhusiwi kutoka nje ya box kazi yako iwe ni kusifia tu.


tapatalk_-1158663258_360x420.jpg
 
Jumapili arsenal atamkalisha man u . Maana sio kwa kikosi hiki cha ndugu zangu unitd.Ila twende mbele zaidi sioni arsenal akitoboa kwa sevilla. Msimcheke sana newcastle..Alisikika shabiki wa liver akiropoka.
 
Mechi ngumu kwa arsenal ni Sevilla tena away....Hawa PSV kipindi kile tumeenda kucheza nao tulikuwa tume relax maana tulikuwa tumesha qualify wao ndo wakawa wanakaza miguu...tusipoongoza hili kundi maswali yte niulizwe mm
Hakuna mechi ngumu mkuu

Sevilla kwanza kaondokewa na key players

Sasa hivi anaburuza mkia Laliga

Pili Sevilla hajawahi kuwa ngumu kwa Arsenal


Tusipochukua points 6 niulizwe Mimi

Kwasasa tuwaze round 16


Halafu ratiba yetu nzuri mechi za home UCL zinafata na mechi za home za EPL , so nadhan tutakuwa timu yakwanza kufuzu
 
Halafu umesema nna 0 trophies ligi kuu for 20 yrs....ww una mangapi mkuu toka mpira uanze kuchezwa pale Uingereza....achana na kipindi cha miaka 20 ilopiga....

Miaka 20 huna EPL halafu unajiita timu kubwa hio ni EPL bado hatujazungumzia UEFA ambayo ulikuwa unashiriki tu kusikiliza nyimbo ya mashindano na si kushindana ukawa una kula vyuma vya kutosha mara 10 mara unafungwa goli 4 na mtu 1 wakaona upewe pumziko la miaka saba .

UEFA wameona kabisa tuunde ka group tuweke vitimu vya europa ili tusiharibu ladha ya mashindano maana mkichanganywa na UEFA teams itakuwa aibu ya magoli.
 
TRANSFER -

Crystal Palace are in talks to sign Arsenal centre-back Rob Holding on a permanent deal.

Holding is available for transfer and wants the move although he was ruled out of a potential switch to Luton on Thursday.

A loan move to Sevilla is also an option for him if the Palace transfer does not progress.

(@SkySportsPL )skysports.com/transfer-centre
 
Sevilla wanaomba wapewe na Arsenal holding kwa mkopo


Halafu mtu anakwambia hii timu itaisumbua Arsenal ,

Hii sio manjesta ambayo hata pass 10 haiwezi kupiga

Unazungumzia Arsenal inayoweza kupiga pass 25 had goli
20230831_224420.jpg
 
Arsenal are working hard for one more signing on Deadline Day but it all depends on outgoings first.
 
Back
Top Bottom