hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,657
Usimfanishe Arteta na tapeli WakiholanziUna picha yoyote ya Ødergaad akiwa na taji la UEFA??
Huyo mtoto 25 yrs kitu kafanikiwa maisha yake ya mpira kuingia top 4 tu ya epl.
Kama kuna mafanikio yoyote tunaomba uthibitisho wa picha.
Arteta na th tofauti yao ni nywele tu.
7hag hakuna mchezaji yeyote pale manjesta aliyemtoa point A kwenda B
Unawaona hawa kwenye picha ni kazi ya Mikel
Na sasa anajiandaa kumleta fundi Ethan Nanweri, Fabio Vieira, n.k ,7 hag kapewa Sancho talent kaipeleka shimoni


7hag level zake kina David Moyes,Tony pulis ,Big Sam ,



