Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Una picha yoyote ya Ødergaad akiwa na taji la UEFA??

Huyo mtoto 25 yrs kitu kafanikiwa maisha yake ya mpira kuingia top 4 tu ya epl.

Kama kuna mafanikio yoyote tunaomba uthibitisho wa picha.

Arteta na th tofauti yao ni nywele tu.
Usimfanishe Arteta na tapeli Wakiholanzi

7hag hakuna mchezaji yeyote pale manjesta aliyemtoa point A kwenda B


Unawaona hawa kwenye picha ni kazi ya Mikel

Na sasa anajiandaa kumleta fundi Ethan Nanweri, Fabio Vieira, n.k ,7 hag kapewa Sancho talent kaipeleka shimoni

7hag level zake kina David Moyes,Tony pulis ,Big Sam ,
20230830_074352.jpg
 
Possible, ila tatizo timu anacheza inaitwa Arsenal. Tim inakaa miaka 7 haijaingia champions league.

Ni mchezaji mzuri sana lakini. Ikitokea ameenda tim kubwa ni pottential baloon d'or winner
Timu kubwa manjesta?

Arsenal isharudi kwenye ushindani

Tumekaa nje ya UCL ,tumerejea tunapewa nafasi kuliko manjesta aliyekuwa anaingia

Ødegaard yupo mikono salama ndio maana aliuzwa £30m Sasa hivi ana thaman ya £100m+

Angekuwa kwa 7hag na makocha wa mchongo ,Sasa hivi angekuwa Kama Elanga tu
 
Kama kocha angekuwa anasikiliza makelele ya hawa mashabiki mimi nawaita mashabiki uchwara

Hapa Saka angekuwa ana struggle eneo la Beki , Ødegaard aliandamwa ni mlain hataiweza EPL ,anayefaa Ni buendia

Rams hafai atatushusha daraja

Uzuri Arsenal haisikilizagi makelele ,

View attachment 2733342
Hili picha la kutisha unajua limepigwa jijini Manchester? Yaani tumeenda kubeba mazawadi huko huko kwenye jiji lao manyumbu na kuwaacha wao wenyeji bila kitu. Siku hizi tuna roho mbaya sana sisi gunners.
 
Kuna yule jamaa yao Madueke anaonyesha ana kitu, ila anajaziwa raia pale aisee ni hatari
Mkuu niamini pale Hakuna timu ,wanasajili kila wanayehisi anajua mpira

Ile timu isharudi kwenye Zama zake za mid table team

Wakati nakua Chelsea alikuwa anagombea nafas na kina Bolton ,ndio karejea huko


Madirisha matatu wametumia €950m lakin timu inajitafuta tu
 
Na Bruno je kapten wako mlalamishi miaka 27 kafanikiwa Nini , Ødegaard ndio safari anaianza


Still ana honors hizi hapa



Martin Odegaard trophies list

English Super Cup winner. Arsenal 2023.

Europa League participant. Arsenal 2022-2023. Arsenal 2020-2021.

Champions League participant. Real Madrid 2020-2021.

Spanish cup winner. Real Sociedad 2019-2020.

UEFA Supercup Winner. Real Madrid 2016-2017.

Champions League Winner. Real Madrid 2016-2017.
Acha uongo wewe.

Champions league debut ya Òdergaard ni 2020. Jifunze kutembelea trusted sources achana na blogs.
 
Hili picha la kutisha unajua limepigwa jijini Manchester? Yaani tumeenda kubeba mazawadi huko huko kwenye jiji lao manyumbu na kuwaacha wao wenyeji bila kitu. Siku hizi tuna roho mbaya sana sisi gunners.
Hao watoto ukimpa 7hag anawapoteza ,

7hag ananikumbusha Unai Emery pale Arsenal , pira makande
 
Hili picha la kutisha unajua limepigwa jijini Manchester? Yaani tumeenda kubeba mazawadi huko huko kwenye jiji lao manyumbu na kuwaacha wao wenyeji bila kitu. Siku hizi tuna roho mbaya sana sisi gunners.
Hao watoto ukimpa 7hag anawapoteza ,

7hag ananikumbusha Unai Emery pale Arsenal , pira makande
 
Acha uongo wewe.

Champions league debut ya Òdergaard ni 2020. Jifunze kutembelea trusted sources achana na blogs.
Bruno malalamiko ana Nini had Sasa umri anasogea 30yrs soon
 
Usimfanishe Arteta na tapeli Wakiholanzi

7hag hakuna mchezaji yeyote pale manjesta aliyemtoa point A kwenda B


Unawaona hawa kwenye picha ni kazi ya Mikel

Na sasa anajiandaa kumleta fundi Ethan Nanweri, Fabio Vieira, n.k ,7 hag kapewa Sancho talent kaipeleka shimoni

7hag level zake kina David Moyes,Tony pulis ,Big Sam , View attachment 2734011
Baada ya misimu mitano ya
Arteta genius haya ndo mafanikio yake.

Bado unamfananisha na mtu ambae huu ni msimu wake wa kwanza. Kama humjui vizuri 10hag, huyo ni champions league semi finalist na makombe ameyazoea. Ngoja mwarabu apewe tim awaonyeshe nini maana ya mpira.
 
Huyo shabiki wa manjesta ,wanakwambia 7hag Ni kocha Bora wakati mwaka wa 2 Hana playing style,anasajili kwa kubahatisha

Mimi siwakopeshi nawachana ,7hag hana uwezo wa kudevelop talent yoyote na toka afike manjesta Hakuna talent aliyo idevelop ,Zaid analalamika wachezaji wabovu

Anasajili yeye Ni wabovu zaidi
 
Baada ya misimu mitano ya
Arteta genius haya ndo mafanikio yake.

Bado unamfananisha na mtu ambae huu ni msimu wake wa kwanza. Kama humjui vizuri 10hag, huyo ni champions league semi finalist na makombe ameyazoea. Ngoja mwarabu apewe tim awaonyeshe nini maana ya mpira.
Misimu mitano ipi , Arteta kaja 2019 December

7hag kazoea makombe gani , hivi unajua 7hag Ni umri wa kina pep Guardiola lakin mafanikio yake ni Ajax ambayo hata mgunda ukimpa Ajax anabeba Makombe


7hag Hana tofauti na David Moyes

Yaan unamsifia kufika nusu fainal UCL

Kuna Dimateo huyo alilibeba kabisa


Kuna Avram Grant anawafundisha kina Chama na Musonda hapo Zambia , yeye alifika Fainal kabisa


7hag msimu wa 2 katumia £400m lakin anaelekea kutimuliwa soon
 
Huyo shabiki wa manjesta ,wanakwambia 7hag Ni kocha Bora wakati mwaka wa 2 Hana playing style,anasajili kwa kubahatisha

Mimi siwakopeshi nawachana ,7hag hana uwezo wa kudevelop talent yoyote na toka afike manjesta Hakuna talent aliyo idevelop ,Zaid analalamika wachezaji wabovu

Anasajili yeye Ni wabovu zaidi
Umewahi kuona Rashford kafunga 30 goals kwa msimu??

Arteta hatokuja kudevelop mtu kufika level hii.

Mna bahati Maino kaumia, huyu alikua anakuja kuonyesha nini maana ya Rodri- pro max. Tusibishane hadi arudi
 
Umehamia kwa Bruno ghafla sana.

Umekosa picha la captain na makombe au sio. Achana na blogs za udaku
Umekuja mbio mbio unamponda Øde

Sawa ,Bruno ana Nini ,au huwez jibu tukusaidie
 
Back
Top Bottom