Akiku2mia tu mkuu unitag, na sina uhakika hata kama kwnye line up kama alikwepo.Nimemwambia mwenzio aachane na blogs na ww umerudia yaleyale.
Tunaomba basi picha yake akiwa na hio uefa super cup.
Akiku2mia tu mkuu unitag, na sina uhakika hata kama kwnye line up kama alikwepo.Nimemwambia mwenzio aachane na blogs na ww umerudia yaleyale.
Tunaomba basi picha yake akiwa na hio uefa super cup.
Laana hii 🤣😁Huyo shabiki wa manjesta ,wanakwambia 7hag Ni kocha Bora wakati mwaka wa 2 Hana playing style,anasajili kwa kubahatisha
Mimi siwakopeshi nawachana ,7hag hana uwezo wa kudevelop talent yoyote na toka afike manjesta Hakuna talent aliyo idevelop ,Zaid analalamika wachezaji wabovu
Anasajili yeye Ni wabovu zaidi![]()
Umewahi kuona Rashford kafunga 30 goals kwa msimu??
Arteta hatokuja kudevelop mtu kufika level hii.
Mna bahati Maino kaumia, huyu alikua anakuja kuonyesha nini maana ya Rodri- pro max. Tusibishane hadi arudi


Eti maino acha ujinga Hii wiki Hawa nyumbu na kenge niachie Mimi , nawamudu vizuri ,Mkuu hizi nyumbu Pina snapa kotekote, humu waone kituo Cha polisi
2019/20Misimu mitano ipi , Arteta kaja 2019 December
7hag kazoea makombe gani , hivi unajua 7hag Ni umri wa kina pep Guardiola lakin mafanikio yake ni Ajax ambayo hata mgunda ukimpa Ajax anabeba Makombe
7hag Hana tofauti na David Moyes
Yaan unamsifia kufika nusu fainal UCL
Kuna Dimateo huyo alilibeba kabisa
Kuna Avram Grant anawafundisha kina Chama na Musonda hapo Zambia , yeye alifika Fainal kabisa
7hag msimu wa 2 katumia £400m lakin anaelekea kutimuliwa soon
na long waited Champions League spot after 7 years
Spana ulizopiga jukwaa la nyumbu, nikawa nasoma huku nachekaHii wiki Hawa nyumbu na kenge niachie Mimi , nawamudu vizuri ,
Kashindwa kumdevelop Sancho ambaye alikuwa ana fanya vzr BVB, kashindwa kumdevelop Elanga , Mactominay,Fred ,Umewahi kuona Rashford kafunga 30 goals kwa msimu??
Arteta hatokuja kudevelop mtu kufika level hii.
Mna bahati Maino kaumia, huyu alikua anakuja kuonyesha nini maana ya Rodri- pro max. Tusibishane hadi arudi
Umerudi na picha ya troll football,, inaonekana we ni mtu wa mizaha.


Ndio mnadanganyanya na wenzenu Arteta ana misimu mitano ili kuficha 7hag aonekane ana Mwaka mmoja EPL2019/20
2020/21
2021/22
2022/23
2023/24
Arteta ni mkongwe Epl mafanikio yake ni Bottlena long waited Champions League spot after 7 years
![]()
Yani First eleven ya Arsenal wamezidiwa appearance za Champions League na Mbwana Samatta.
Manjesta bado hauna timu hata yakuvuka makund UCLWenger orphans bwana
Huyo saka kashika tuzo za watu, Waingereza wanabebana.Eti maino acha ujinga
Rashford ameanza kufanya vizuri na kurudi default settings toka kwa Mourinho
Mwaka Jana Rashford alikuwa kwenye Form ya maisha ,kwasasa amerud kwenye default settings,tegemea Sasa kuona sura halisi ya tapeli 7hag
7hag kashamkuta Rashford ana cheza hivo hivo
7hag hawez develop talent Kama hizi
Hawez tengeneza a world class RW and LW wingers in the world
Ndio Maana tunaona anatumia €100m anasajili tapeli yule mpanda mpiraView attachment 2734024
Waombe Sana Jumapili tusishinde ,nitawapiga spana mpaka jukwaa lao lifungiweSpana ulizopiga jukwaa la nyumbu, nikawa nasoma huku nacheka
Mkuu ongeza ulinzi, nyumbu wanakuwinda Sana Nina uhakika huo
Eti wanabebanaHuyo saka kashika tuzo za watu, Waingereza wanabebana.
Young player of the season iko wazi ni Halaand
Best RW ni Mo Salah


Ramsdale anamuogopa huyu,, Huyu ameanza kucheza brazil Martinelli akiwa trial Man u.Ndio mnadanganyanya na wenzenu Arteta ana misimu mitano ili kuficha 7hag aonekane ana Mwaka mmoja EPL
Hii haiondoi ukweli pale kocha wenu ni tapeli
Anaenda kununua hii mutu kwa €100m halafu lawama anapewa grazaView attachment 2734026
Draw kwao ni UshindiWaombe Sana Jumapili tusishinde ,nitawapiga spana mpaka jukwaa lao lifungiwe
Saka ni winger kitambo tokea Academy na kwa Unai,, Genius wa mchongo arteta ndo alimpeleka left back, Bila kufokewa na mabosi angepoteza kipaji cha dogo.Eti wanabebana
Sikia 7hag a Dutch David Moyes Erik 7 Egg Hana uwezo wa kutengeneza talent Kama hii
Mikel anamuangalia saka kutoka beki anamuona anaenda kuwa RW Bora duniani
7hag angempoteza
Tuliona anamuondoa CR7 anamleta mpwa wake Weghost anaondoka manjesta na goli 0
Uliza ufundishweSaka ni winger kitambo tokea Academy na kwa Unai,, Genius wa mchongo arteta ndo alimpeleka left back, Bila kufokewa na mabosi angepoteza kipaji cha dogo.