Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi nishazifunga timu kubwa ulaya na nikabeba makombe ambayo tangu Arsenal ianzishwe haijawahi kubeba na story zenu za vijiweni
Wewe huna timu bhana ,umemfunga Luton ushaanza kuona una timu ya ubingwa
 
Huyo ndio hamis77, kwanini mlimuuza?
Ulitaka Leno abaki acheze wapi?

Tulimuuza Emi ,mpaka kesho anaichukia Arsenal ,itakuwa Leno ?

Halafu na wewe umehama Arsenal ?maana unasema tulimuuza wa Nini

Umekuwa Kama yule anayesema amehamia PSG mwingine Newcastle
 
Mimi hua siwajibu mashabiki wa United.

Nyumbu hua wana tabia moja.

Wakifungwa wanajifanya wanaponda.

Wakishinda wanadai timu yao ipo on fire

Hawa watu kuwajibu ni kupoteza muda
 
Mimi hua siwajibu mashabiki wa United.

Nyumbu hua wana tabia moja.

Wakifungwa wanajifanya wanaponda.

Wakishinda wanadai timu yao ipo on fire

Hawa watu kuwajibu ni kupoteza muda
Sasa hivi wanadai 7hag Hana tatizo mwenye tatizo ni Graza,

Nyumbu ni kuwapiga spana tu

Walipopigwa msako na Spurs wakasema wanakaa pemben mpaka 7hag atakapoacha kumpanga Anthony masebene

Cha ajabu Sasa hivi wamerudi

Nyumbu ni nyumbu tu
 
Flano huu ndio muda pekee wa nyumbu kufurahi
Jpili sio mbali mnakupa chuma 3 kavu
Midhali Chidi benz na Masebene wapo fit sina wasiwasi, pale mbele kama akisimama mnyama Højlund mjue kabisa zile 8 zinarudiwa tena.
Press-resistant Kukulela nae anakuja kuunga mkono juhudi za double Agent mbona jumapili shida mnayo jumapili.


#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
 
Wewe kweli huna akili

Sasa ulitaka niwasifie Liverpool wakati wamemkosa , Mimi napiga banter na nilifurahi baada ya shabik wa Liverpool kuja kunitukana ,
Bado hujasema!😂
Chuki zako kwangu hazisaidii kitu , Wala huwezi niona naweka chuki maana sikufahamu ila kutwa kuniandama
Sasa mi nikuchukie wewe ile iweje. Au hupendi kuambiwa ukweli?

Haya ngoja twende sawa basi.

Tatizo lako wewe jamaa unamuona Arteta kama malaika vile?

Kai sijui unamuona kama nani. Unasema anapambana sijui anasaidia kwenye kukaba, kukaba wapi?
Watu wanaenda mbele yeye anarudi nyuma, ana-loose balls easily, akienda kukaba anasababisha foul, mzito kufanya maamuzi hata kuweka pasi kwenye right space anashindwa.. kwani huoni? Au mpira unausikilizia redioni!

Ile game vs Crystal Palace ndio iliniuma kweli.
Yani tupo 1-man down, Arteta anamtoa Martinelli anauacha msukule wake uwanjani anasubiri nini? Imetokea transition still mtu yuko lazy unajiuliza alimuachia nini akamtoa Martinelli?

Halafu tuna drop back kulinda goli, mpira unachezwa kwenye half yetu, tunabaki kuomba dua tu goli lisichomolewe.

Tujiulize Guardiola akiwa down to 10-men anafanya drop back? Tumeshindwa hata kufanya rest defense? Halafu still tunamfananisha Arteta na Guardiola.

Liverpool wenyewe walikua ugenini vs Newcastle, na upungufu wao still wamefunguka wamechomoa na kushinda, tungekua sisi kwa tunavyocheza sasa ile mechi ndo ingekua imeisha!

I never questioned uwezo wa Arteta tangu ajiunge 2019, lakini kwa kinachoendelea sasa na imani zake za kijinga atatu-cost huu msimu. Kule kuijenga kote our broken Arsenal team will be for nothing.

Na nyie watu mlioko nyuma yake kama wewe hamis77 ndio mnazidi kutuchanganya, msitufanye wajinga. Timu yetu tunaijua vizuri ilikotoka!
 
Bado hujasema!

Sasa mi nikuchukie wewe ile iweje. Au hupendi kuambiwa ukweli?

Haya ngoja twende sawa basi.

Tatizo lako wewe jamaa unamuona Arteta kama malaika vile?

Kai sijui unamuona kama nani. Unasema anapambana sijui anasaidia kwenye kukaba, kukaba wapi?
Watu wanaenda mbele yeye anarudi nyuma, ana-loose balls easily, akienda kukaba anasababisha foul, mzito kufanya maamuzi hata kuweka pasi kwenye right space anashindwa.. kwani huoni? Au mpira unausikilizia redioni!

Ile game vs Crystal Palace ndio iliniuma kweli.
Yani tupo 1-man down, Arteta anamtoa Martinelli anauacha msukule wake uwanjani anasubiri nini? Imetokea transition still mtu yuko lazy unajiuliza alimuachia nini akamtoa Martinelli?

Halafu tuna drop back kulinda goli, mpira unachezwa kwenye half yetu, tunabaki kuomba dua tu goli lisichomolewe.

Tujiulize Guardiola akiwa down to 10-men anafanya drop back? Tumeshindwa hata kufanya rest defense? Halafu still tunamfananisha Arteta na Guardiola.

Liverpool wenyewe walikua ugenini vs Newcastle, na upungufu wao still wamefunguka wamechomoa na kushinda, tungekua sisi kwa tunavyocheza sasa ile mechi ndo ingekua imeisha!

I never questioned uwezo wa Arteta tangu ajiunge 2019, lakini kwa kinachoendelea sasa na imani zake za kijinga atatu-cost huu msimu. Kule kuijenga kote our broken Arsenal team will be for nothing.

Na nyie watu mlioko nyuma yake kama wewe hamis77 ndio mnazidi kutuchanganya, msitufanye wajinga. Timu yetu tunaijua vizuri ilikotoka!
Mpira haupo hivo unavyofikikiria kila mech na tactics zake

Sidhan kama.umewahi hata kufundisha timu ya kanisa

Unanilisha maneno ,wapi nimesema Arteta ni malaika

Yaan unataka nikubaliane na wewe mla mihogo ambaye huwez kupewa hata gwambina ila nikikubaliana na Arteta bas amekuwa malaika

Onesha lesen yako kwanza


Otherwise wewe piga kelele humu ,hoja ndio zitashinda


Huna uwezo wa ku question mbinu za Arteta ,labda uweke lesen yako hapa tutakusikiliza ,zaidi ya hapo wewe piga porojo ukizidiwa usi attack mtu

Tulikuwepo humu kipind Cha Wenger ,hata Emery na tulimuandama kwa uchezaji mbovu na ilikuwa kweli na alitimuliwa

Leo hii pale Emirates watu wanalipa kiingilio kikubwa na Hawa questions tactics za Mikel ,wewe mla mihogo tunaanzaje kukusikiliza?
 
Midhali Chidi benz na Masebene wapo fit sina wasiwasi, pale mbele kama akisimama mnyama Højlund mjue kabisa zile 8 zinarudiwa tena.
Press-resistant Kukulela nae anakuja kuunga mkono juhudi za double Agent mbona jumapili shida mnayo jumapili.
Bado sijaona manjesta yakuvumilia msako wa nyani

Fulham kapata sare lakin kaulize alishikiliaje bomba
 
Bado hujasema!

Sasa mi nikuchukie wewe ile iweje. Au hupendi kuambiwa ukweli?

Haya ngoja twende sawa basi.

Tatizo lako wewe jamaa unamuona Arteta kama malaika vile?

Kai sijui unamuona kama nani. Unasema anapambana sijui anasaidia kwenye kukaba, kukaba wapi?
Watu wanaenda mbele yeye anarudi nyuma, ana-loose balls easily, akienda kukaba anasababisha foul, mzito kufanya maamuzi hata kuweka pasi kwenye right space anashindwa.. kwani huoni? Au mpira unausikilizia redioni!

Ile game vs Crystal Palace ndio iliniuma kweli.
Yani tupo 1-man down, Arteta anamtoa Martinelli anauacha msukule wake uwanjani anasubiri nini? Imetokea transition still mtu yuko lazy unajiuliza alimuachia nini akamtoa Martinelli?

Halafu tuna drop back kulinda goli, mpira unachezwa kwenye half yetu, tunabaki kuomba dua tu goli lisichomolewe.

Tujiulize Guardiola akiwa down to 10-men anafanya drop back? Tumeshindwa hata kufanya rest defense? Halafu still tunamfananisha Arteta na Guardiola.

Liverpool wenyewe walikua ugenini vs Newcastle, na upungufu wao still wamefunguka wamechomoa na kushinda, tungekua sisi kwa tunavyocheza sasa ile mechi ndo ingekua imeisha!

I never questioned uwezo wa Arteta tangu ajiunge 2019, lakini kwa kinachoendelea sasa na imani zake za kijinga atatu-cost huu msimu. Kule kuijenga kote our broken Arsenal team will be for nothing.

Na nyie watu mlioko nyuma yake kama wewe hamis77 ndio mnazidi kutuchanganya, msitufanye wajinga. Timu yetu tunaijua vizuri ilikotoka!
MalcolM XII sasa hivi na wewe utapigwa marufuku usiquote Masingeli.
Masingeli na Arteta humu ndani ni alfa na omega hairuhusiwi kuwakosoa kwa lolote, sasa hivi ameongezeka na Kai Harvez, ukitaka ulione hili jukwaa ni chungu basi kosoa hizo mtu 3 hapo.



#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
 
Focus on Sunday kuipiga nyumbu goli 3+
20230830_165214.jpg
 
MalcolM XII sasa hivi na wewe utapigwa marufuku usiquote Masingeli.
Masingeli na Arteta humu ndani ni alfa na omega hairuhusiwi kuwakosoa kwa lolote.
Ulishajiuliza why maadui ni wengi ?

Kule kwenu wanaona aibu Sasa hivi kukubali Anthony masebene mlipigwa na 7hag ni kocha wakawaida Sana/tapeli


Sababu wakati nasema hayo niliandamwa Sana lakin nilisimamia msimamo huo huo

Hata wewe ulipinga sana ,ila sasa hivi unakubali huku unacheka


Sasa humu taarifa kwa waropokaji ,Mikel yupo 20+yrs tuombe uzima
 
Mudrky hana goli hata la offside

Halafu shabiki la ukengeni linakwambia hawawez kukubali swap na Generational Talent Smith

Nilipoona hii habari nilijua Maisha Mikel hawez kukubali huu ujinga
 
nketiah jpo simkubali kivile ila mechi ijayo inabidi arteta amuanzishe mana yuko form kwa sasa kwenye kufunga kulinganisha na washmbuliaji wengine.

angalizo ;kwa sasa arteta asithubutu kuwaanzisha kai na ode kama namba 8 wawili mana mmja atamuingilia mwenzie kwenye role yake na atakuwa mzururaji tu.
 
Ulishajiuliza why maadui ni wengi ?

Kule kwenu wanaona aibu Sasa hivi kukubali Anthony masebene mlipigwa na 7hag ni kocha wakawaida Sana/tapeli


Sababu wakati nasema hayo niliandamwa Sana lakin nilisimamia msimamo huo huo

Hata wewe ulipinga sana ,ila sasa hivi unakubali huku unacheka


Sasa humu taarifa kwa waropokaji ,Mikel yupo 20+yrs tuombe uzima
10 Hag yule ni kocha wa ball level moja na Pep, ndani ya msimu mmoja tu tayari ametupea kombe, nyinyi Arteta amewapia nini kwenye msimu wake wa kwanza? ndani ya miaka yake minne hapo emirates zaidi ya mwanaFA na kudanganywa na fezi mna nini kingine?
Kinachoendelea Man Utd hivi sasa ni hujuma tu za waziwazi ili kumlazimisha Gilaza auze timu.
Tumia akili Masingeli, punguza unazi ndugu yangu




#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
 
10 Hag yule ni kocha wa ball level moja na Pep, ndani ya msimu mmoja tu tayari ametupea kombe, nyinyi Arteta amewapia nini kwenye msimu wake wa kwanza? ndani ya miaka yake minne hapo emirates zaidi ya mwanaFA na kudanganywa na fezi mna nini kingine?
Kinachoendelea Man Utd hivi sasa ni hujuma tu za waziwazi ili kumlazimisha Gilaza auze timu.
Tumia akili Masingeli, punguza unazi ndugu yangu




#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
Capital one sio kombe la kujivunia mkuu, Sisi Arsenal Bora tumalize msimu bila chochote kuliko kushinda capital one.
 
kweli kabisa kuna ID huwa anajisuport mwenyewe mana unakuta mtu anamsaport kw kitu cha kipuuzi, kitu hata mtoto mdogo hawez kusuport, unajiuliza anaesuport zimetimia kweli??!
Acha wivu na kupangia watu Cha ku comment

Mimi nipo tayari kuwa against wote humu nimeshafanya hivo sio Mara moja ,

Humu watu sio wajinga wawasikilize nyie matapeli ,watu wanatumia brain


Nakupa mfano last season most wakiwepo Arsenal fans ambao ukweli ni mamluki maana wanadai walihama walisema hatuningii top 6 na wewe ukiwepo

Mimi na Baadhi wachache tulipinga ,mwisho wa siku nan alishinda?

Kule jukwaa la manjesta nilisema waziwazi Anthony masebene Ni mchezaji wakawaida Sana na 7hag Ni kocha Kama David Moyes ,nilipingwa na 99%

Leo wanagapi wanaungana na nilichosema?

Kule jukwaa la Chelsea had mlinichukia nilisema toka pre season timu yenu ni mbovu , na mtakuwa mnashinda Kama binary Number

Nini kilitokea ?12th


Sasa ndio ujue Mpira sijaujulia kwenye mabanda ya kubeti
 
Back
Top Bottom