Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nachokiona kwa sasa . Arteta ni mtu mwenye akili sana.Hivi kwa akili zako timamu ushawahi kujiuliza kwa nini Gabriel hajaanza mechi tatu za mwanzo. Je unafikiri itakuwa hvyo hadi mwisho wa msimu. Unahisi kwa nini mechi na City Partey , Rice na Ode walicheza pamoja . Kama upo timamu utaamini kabisa hii ndo Formation yetu ya kwanza Msimu huu. Lakini je kila mechi utaingia hivi Baadae kuna timu Zitakupasua tu Baada ya kuelewa jinsi ya kukuzuia. Arteta kaamua kuja na mbinu kwamba kila mchezaji ajue kwamba anauwezo wa kukosa namba akileta masikhara . Na atafanyaje kama plan yake A itakapofeli . Kai hajasajiliwa kama M badala wa Xhaka . Jaribuni kuliona hilo ila arteta anataka kumfanya awe na uwezo wa kutumika nafasi zaidi ya moja. Ili kuleta ushindani na kuweza kutumika mda wowote mbinu zinapobadilika . Hujiulizi kwa Nini ushawahi kumuona Fabio akicheza kwa Saka.
 
Nachokiona kwa sasa . Arteta ni mtu mwenye akili sana.Hivi kwa akili zako timamu ushawahi kujiuliza kwa nini Gabriel hajaanza mechi tatu za mwanzo. Je unafikiri itakuwa hvyo hadi mwisho wa msimu. Unahisi kwa nini mechi na City Partey , Rice na Ode walicheza pamoja . Kama upo timamu utaamini kabisa hii ndo Formation yetu ya kwanza Msimu huu. Lakini je kila mechi utaingia hivi Baadae kuna timu Zitakupasua tu Baada ya kuelewa jinsi ya kukuzuia. Arteta kaamua kuja na mbinu kwamba kila mchezaji ajue kwamba anauwezo wa kukosa namba akileta masikhara . Na atafanyaje kama plan yake A itakapofeli . Kai hajasajiliwa kama M badala wa Xhaka . Jaribuni kuliona hilo ila arteta anataka kumfanya awe na uwezo wa kutumika nafasi zaidi ya moja. Ili kuleta ushindani na kuweza kutumika mda wowote mbinu zinapobadilika . Hujiulizi kwa Nini ushawahi kumuona Fabio akicheza kwa Saka.
Arteta hana akili kihivyo,acha kumpa sifa asizostahili
 
Arteta yupo sana...na ninachokiona Emile Smith Rowe atabaki na Gabriel naye atabaki....tumecheza mechi tatu tu za msimu....si Kila mtu atacheza...tuna michuano mingi safari hii...mingi mno...Kila mtu atapata dakika za kutosha....mbona David Raya watu hawalalamiki hachezi mechi ya pili hii...Kai will deliver with time....j2 tunaanza kushinda mfululizo huku watu wakitoka na possession ya 80% kwa 20%....kuna mtu mwingine mmoja atasajiliwa kabla ya dirisha kufungwa.....nahisi on deadline day
Nakubali mkuu.
 
Ww chawa wa masingeli na wenzio mbona mnapelekwa kama makondoo hivi chelsea kwa akili yako wanaweza kumtoa Mudryk plus hela
Unataka tufanane mawazo mkuu🤠🤠🤠...nyny mnaopinga mbona siwashukii kama ni chawa wa kitu flani au mamluki....nimeshabikia Arsenal tangu mwaka 2000...kwa Sasa timu ilipo naona kabisa tunarudi zile zama za 2000-2004...Sasa kwnn nisiwe optimistic....sikulalamiki vpindi vigumu nilalamike Sasa kwli??🤠🤠🤠....HAPANA....glory days are ahead...Kai mtu na nusu🤣🤣🤣
 
Masingeli tutake radhi mashabiki wa Manchester na Chelsea.
Duniani hakuna mashabiki wastaarabu na wanaojielewa kama mashabiki wa hizo timu kubwa mbili.
Tunaposemaga kila siku humu kua Arsenyau ni kigenge cha wavuta bhangi mue mnaelewa basi.




#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
 
Mkuu kama unataka ulete tamaduni za lile jukwaa Lenu hmu tutawajibu tu kwa namna mnavyokuja😅😅😅...Mount flop...Kai mtu na nusu🤠🤠...j2 mjiandae hatutaki lawama muanze kumporomoshea kocha wenu lawama
J2 mapema tushamaliza mwchi Rashford hat trick ila yule mwanetu anayepiga spana humu namuachia kitengo aendelee kutembeza spana za ugoko😂
 
From left back to best right winger in the Premier League. It’s about time Bukayo Saka got his flowers
 
Masingeli tutake radhi mashabiki wa Manchester na Chelsea.
Duniani hakuna mashabiki wastaarabu na wanaojielewa kama mashabiki wa hizo timu kubwa mbili.
Tunaposemaga kila siku humu kua Arsenyau ni kigenge cha wavuta bhangi mue mnaelewa basi.




#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
Mnakaribia kumchukua Manywele Cucurella aje kuwasaidia kazi....imagine back line ya Cucurella...wan bissaka...Magwaya🤠🤠...na Martinez...kuna kitu kizito kitawakuta mkuu😅😅😅
 
Masingeli tutake radhi mashabiki wa Manchester na Chelsea.
Duniani hakuna mashabiki wastaarabu na wanaojielewa kama mashabiki wa hizo timu kubwa mbili.
Tunaposemaga kila siku humu kua Arsenyau ni kigenge cha wavuta bhangi mue mnaelewa basi.




#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
Hakuna mashabiki msijua mpira Kama manjesta na wa ukengeni

Hili nalo linahitaji mjadala
 
Hawa machawa kazi kupelekwa kama makondoo wanaleta story zao za vijiweni humu wanajiona wao wanajua kufatilia habari kumbe ni za uongo
Wewe shabiki wa ukengeni kumfunga Luton tayari Umeanza kutembelea jukwaa hili
 
J2 mapema tushamaliza mwchi Rashford hat trick ila yule mwanetu anayepiga spana humu namuachia kitengo aendelee kutembeza spana za ugoko😂
Mumcheze na hyo Halaand wa mtumba mliyemleta....apandwe mara mbili na Saliba arudi kwny meza ya matibabu kutibiwa tena pingili za mgongo🤠🤠🤠....itakuwa ni maajabu ya nane ya Dunia Man U akipata matokeo J2
 
Ww chawa wa masingeli na wenzio mbona mnapelekwa kama makondoo hivi chelsea kwa akili yako wanaweza kumtoa Mudryk plus hela
Hamna akili ,ndio maana huwa nawaambia ukweli

Mfano jukwaa la manjesta wote wanakomaa 7hag Ni kocha wa maana hawataki ukweli

Je hao ni machawa wa nani
 
Humu ndani ni mwendo wa kusifu kama makondoo ukipinga Teta boli unatishiwa maisha
Kama kwenu kule mnasifu 7hag Ni kocha Bora wakat hata timu kucheza haieleweki inacheza Nini


Yaani mnataka tulazimishe 7hag sawa na Arsenal hii ya Masterclass
 
Back
Top Bottom