kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
Nachokiona kwa sasa . Arteta ni mtu mwenye akili sana.Hivi kwa akili zako timamu ushawahi kujiuliza kwa nini Gabriel hajaanza mechi tatu za mwanzo. Je unafikiri itakuwa hvyo hadi mwisho wa msimu. Unahisi kwa nini mechi na City Partey , Rice na Ode walicheza pamoja . Kama upo timamu utaamini kabisa hii ndo Formation yetu ya kwanza Msimu huu. Lakini je kila mechi utaingia hivi Baadae kuna timu Zitakupasua tu Baada ya kuelewa jinsi ya kukuzuia. Arteta kaamua kuja na mbinu kwamba kila mchezaji ajue kwamba anauwezo wa kukosa namba akileta masikhara . Na atafanyaje kama plan yake A itakapofeli . Kai hajasajiliwa kama M badala wa Xhaka . Jaribuni kuliona hilo ila arteta anataka kumfanya awe na uwezo wa kutumika nafasi zaidi ya moja. Ili kuleta ushindani na kuweza kutumika mda wowote mbinu zinapobadilika . Hujiulizi kwa Nini ushawahi kumuona Fabio akicheza kwa Saka.



