hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,271
- 26,653
Arteta Leo akiwa mazoezini,halafu anatokea mtu mmoja mla mihogo yupo ikwiriri anataka Mikel apange kwa kumsikiliza yeye
anakwambia Arteta panga hivi panga vile
Hao wachezaji uliwasajili wewe
Je unajua wachezaji hucheza kutokana na mfumo
Ukitaka kujua Hilo kaangalie sajili za Ten egg na anachocheza
anakwambia Arteta panga hivi panga vile
Hao wachezaji uliwasajili wewe
Je unajua wachezaji hucheza kutokana na mfumo
Ukitaka kujua Hilo kaangalie sajili za Ten egg na anachocheza




From @SamiMokbel81_DM: 